joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Imetusaidia sana kutokumbwa na njaa ya mara kwa mara, pia tunafanya biashara na nchi za SADC na vijana wetu wqnapata ajira kwa wingi na kwa urahisi zaidi, hiyo ni sababu mojawapo inayofanya unemployment rate huku ipo chini ikilinganishwa na Kenya.Has that stopped KENYA from being a leader of East and Central Africa economically? Sio kila Saa kurushia Kenya vijisababu...what have you gained from SADC ama mnatumika kama kifagio na South Africa?
Amin alikuwa anaogopeka sana Africa nzima kwa vitisho na utawala wake katili, haikuwa rais kwa nchi ambazo viongozi wake hawana msimamo kama Kenya kuweza kupambana na Amin, leo hii wakenya mnasema waganda ni ndugu zenu, mbona wakati wanachonjwa na Idd Amin hamkuwasaidia?, hakuna hata kundi moja au chama kilichokua kinampinga Amin kilichokuja kuishi Nairobi ili kuanzisha mapambano ya kumtoa Amin, wote walikimbilia Tanzania, tukawahifadhi, tukwapa mafunzo ya kijeshi na silaha, Kenya inasuburi kukishakuwa na usalama na amani ndiyo inaenda kufanya biashara, very selfish and opportunistic country, no one trusts you.And why would kenya think you can't beat Uganda. It's Uganda that attacked TZ.. It's them who thought of you as weak. Remember Aminu threatening to attack Kenya? He was just told to do his worst na akakunja mkia. But you guys spend so much time discussing Kenya.. It's worrying.
Nilidhani utatueleza Tz ilivo nchi tajiri sana kuliko Kenya na Kenya ilivo nchi masikini zaidi ya hata Somalia. Watz saa zingine huwa mnatupa akili zenu kulee. Afu kinachofata huwa ni full pumba.mkuu mi ndo nataka niwashangae hawa wakenya wanaotaka kujiona wao matajiri hali ni masikini wa kutupwa. africa hapa kutoa South Africa labda na Egypt kidogo wengine masikini tu .sema tunazidiana viwango vya umasikini.
A simple question to you, when did vote any thing in UN against USA? Or when did Kenya object to any of American interest apart from telling Obama you reject homosexuality. This was chance to show the world that Kenya standing for the good of this world. But instead Kenya chose AGOA deal, KQ route to America, military assistance, American tourists.Kenya has been very instrumental is supporting Saharawi, we also used to have military observers at the israeli-palestine border, also at Iraq-Iran border, we do things differently and we help in our own way... And as for your question, your answer is already in the history books, what did Kenya do when rouge Uganda curved part of Tanzania and called it theirs, remember at that time Uganda had also threatened Kenya so they were our enemies too, it had nothing to do with UK or US, And Tz had done nothing against us, but did you see us getting involved? Did you see us rais the issue with AU or UN...No, so why is everyone acting all emotional, Kenya feels all the emotions that palestinians feel, that's why we made palestine the only exception but don't lie to yourself that the vote that happened the other day was about palestine, that vote was about the US, even the palestine president said so himself, that the US made it about them and that's why the voting happened the way it did, and Kenya doesn't get involved in drama, when a real vote happens concerning the plight of palestinians Kenya will be there to support
Aliye kwenye Kenyan section ya JF badala ya Tanzania.hivi Kenya na Tanzania nani mwenzie masikini?
Hapana shindana na Ndovu kunya utapasuka msamba babaa. Kenya na GDP ya $75 b against $16 trillion Lazima tuwe wajanja na kama ujuavyo wajinga ndio waliwao.A simple question to you, when did vote any thing in UN against USA? Or when did Kenya object to any of American interest apart from telling Obama you reject homosexuality. This was chance to show the world that Kenya standing for the good of this world. But instead Kenya chose AGOA deal, KQ route to America, military assistance, American tourists.
Haha, which history books are those which shows Kenya played a role in Tanzania Ugandan war? At that time Tanzania was more than ready to go war with Kenya. Mind you Tanzania Kenya border was closed
Kenya-Tanzania Border Tension Rises
Yani mnawategemea zaidi kama vile kupe na ng'ombe.Imetusaidia sana kutokumbwa na njaa ya mara kwa mara, pia tunafanya biashara na nchi za SADC na vijana wetu wqnapata ajira kwa wingi na kwa urahisi zaidi, hiyo ni sababu mojawapo inayofanya unemployment rate huku ipo chini ikilinganishwa na Kenya.
Ambayo hio JF ya Mtanzania pua nyang'auAliye kwenye Kenyan section ya JF badala ya Tanzania.
Mtu ajisemee pande yake... sema Tanzania ni masikini hohe hahe Tena wa kutupwa sio kujishikilia na Nchi zingine so as not to feel lonely au kujifariji.Wote ni masikini, tena ni masikini wa kutupwa.
Acheni kujidanganya eti Kenya ni Tajiri. On what standards? Msitake kuhamisha topic, hehe
KENYA ikatengewa sehemu yake Danganyikan.Ambayo hio JF ya Mtanzania pua nyang'au
Ni kama kwenye nyumba yako utenge chumba cha wageni sasa mgeni akija atasema yupo kwake?? Mmewekwa huku ili msituletee tabia zenu za ajabu na viswahili vyenu fekifeki kwenye majukwaa mengineKENYA ikatengewa sehemu yake Danganyikan.
Hapo ndio mnakosea mnafikiri pesa ni kila kitu, North Korea na "pesa-mbili" walio nayo wanaishi na kutetemesha dunia.Hapana shindana na Ndovu kunya utapasuka msamba babaa. Kenya na GDP ya $75 b against $16 trillion Lazima tuwe wajanja na kama ujuavyo wajinga ndio waliwao.
Hapa unafurahi kwa sababu UN is against Turkey, juzi UN imekua against USA unaanza kuja na sababu kibao za kuipinga UN ili tu kuipa support USA hata kama dunia nzima is against USA
turkey is not arabic country, turks are very proud people hata edorgan haongeagi kizunguOur foreign policy has always been that two countries at war should solve there problems through negotiation between themselves, that's why Kenya has never voted for or against any resolution at the UN which pitted two countries against each other.
Anyway, like I said, if Kenya's office was opened, we would have abstained, not because of the US threats of a dying horse but because of our relations with Israel.
In the history of Kenya at the UN, kenya has always abstained in any vote that was specific to a country, with only two exceptions in history and one of them was on Palestine and this has always been the exception but this particular vote was specific to the US/Israel and thus the embassy wouldn't even have called the president, they would have abstained, this is because Kenya has the belief that this kind of votes are always bieng manipulated by the big countries, and the rest of us small countries are just pons so Kenya chose not to play the game.
For eg. Turkey has been wanting to become the leader of the Arab world, and as such and spearheading this pointless campaign certainly puts them at a nice geopolitical position to cement their position as the leader of middle east so to a point, it wasn't about palestine, they just wanted to use that situation to score some geopolitical points and small countries foolishly join the campaign thinking they are fighting for what's right when we just serve the masters of manipulation
we mtoto wa kike hujafunzwa adabu kwenu?Aliye kwenye Kenyan section ya JF badala ya Tanzania.
Hiyo ni Embassy yetu so hapana let's nyoko nyoko hapa tutawafunza adabu vilivyo Wana LDC. Kwani nini kubwa unaweza Fanya ispokuwa kutokwa povu na matusi? You are nothing to me wewe ni kama kinyesi barabara ni tuuu.Ni kama kwenye nyumba yako utenge chumba cha wageni sasa mgeni akija atasema yupo kwake?? Mmewekwa huku ili msituletee tabia zenu za ajabu na viswahili vyenu fekifeki kwenye majukwaa mengine
Kila mtu na style yake si ati jirani akirusha jiwe na wewe ufanye hivo.Hapo ndio mnakosea mnafikiri pesa ni kila kitu, North Korea na "pesa-mbili" walio nayo wanaishi na kutetemesha dunia.
Sawa mamaa najua unanikubali ndo maana umekuja kujiegesha magetoni kwangu ropoka utakavyo maana naona umepagawa na shoo za upande huu subiria na mwakani tunawaongezea na gheto la wajaluo na wakikuyu tukiingia tu tunajua nani wakumchapa vizuriHiyo ni Embassy yetu so hapana let's nyoko nyoko hapa tutawafunza adabu vilivyo Wana LDC. Kwani nini kubwa unaweza Fanya ispokuwa kutokwa povu na matusi? You are nothing to me wewe ni kama kinyesi barabara ni tuuu.
Njoo unifunze na usije na kibakuli.we mtoto wa kike hujafunzwa adabu kwenu?
Hill tu? Nilijua hauna jipya au kubwa unaloweza fanya. Keep to your LDC lane.Sawa mamaa najua unanikubali ndo maana umekuja kujiegesha magetoni kwangu ropoka utakavyo maana naona umepagawa na shoo za upande huu subiria na mwakani tunawaongezea na gheto la wajaluo na wakikuyu tukiingia tu tunajua nani wakumchapa vizuri