joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kama ambavyo Kenya inaitegemea Tanzania kupata chakulaYani mnawategemea zaidi kama vile kupe na ng'ombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ambavyo Kenya inaitegemea Tanzania kupata chakulaYani mnawategemea zaidi kama vile kupe na ng'ombe.
Wana pesa gani hao wakati millions wanaishi kwenye slums na wengine wanakufa njaa kila siku?, rais wao anazunguka dunia nzima kuomba mikopo ya kujenga reli ambayo Tanzania inaijenga kwa kutumia pocket money.Hapo ndio mnakosea mnafikiri pesa ni kila kitu, North Korea na "pesa-mbili" walio nayo wanaishi na kutetemesha dunia.
Hapana sisi tunalipa cash so that is a mutual relationship between us. Hiyo yenyu na SA ni parasitic sababu munafurika huko na vijibakuli omba omba.Kama ambavyo Kenya inaitegemea Tanzania kupata chakula
Kwanini mlishindwa kulipa pesa ya 2014, na kwanini bado mnaendelea kututia aibu tunaonekana tumepakana na jirani mwenye njaa wakati Bongo tuna ziada ya chakula?Hapana sisi tunalipa cash so that is a mutual relationship between us. Hiyo yenyu na SA ni parasitic sababu munafurika huko na vijibakuli omba omba.
Ilisambaratishwa na TZ[emoji3] coalition of the willing. hivi bado ipo?
Wenzetu pesa kwanza utu baade. Man eat man.Wana pesa gani hao wakati millions wanaishi kwenye slums na wengine wanakufa njaa kila siku?, rais wao anazunguka dunia nzima kuomba mikopo ya kujenga reli ambayo Tanzania inaijenga kwa kutumia pocket money.
Link tafadhali.Kwanini mlishindwa kulipa pesa ya 2014, na kwanini bado mnaendelea kututia aibu tunaonekana tumepakana na jirani mwenye njaa wakati Bongo tuna ziada ya chakula?
Hiyo ndio njia ya dunia mzima hiyo yenu ya utu exists in Utopia.Wenzetu pesa kwanza utu baade. Man eat man.
Muambie Uhuru alipe pesa yetu kwanza ndiyo nikutumie link, msituambukize njaa yenuLink tafadhali.
[emoji23] povuHiyo ni Embassy yetu so hapana let's nyoko nyoko hapa tutawafunza adabu vilivyo Wana LDC. Kwani nini kubwa unaweza Fanya ispokuwa kutokwa povu na matusi? You are nothing to me wewe ni kama kinyesi barabara ni tuuu.
And you keep to your hunger stricken zoneHill tu? Nilijua hauna jipya au kubwa unaloweza fanya. Keep to your LDC lane.
Ya mauaji ya kikabilaKenyatta ana akili saaana.
Ni kweli kabisa, wangeamua kupiga kura ya NDIYO au HAPANA. Ila kukimbia kunaonyesha unafiki wa kidiplomasiaHypoctric Country...
Kenya mmeonyesha jinsi mnavyoweza kuuza utu wenu kwa mali.....better you could vote against the resolution kuliko kuabstain kabisa...poor kenyans
swallow that bitter pill.And you keep to your hunger stricken zone
Muambie Uhuru alipe pesa yetu kwanza ndiyo nikutumie link, msituambukize njaa yenu
Inajulikana kama Free will. Haulazimishwi kwa mjeledi kupiga kura unaweza susia.Ni kweli kabisa, wangeamua kupiga kura ya NDIYO au HAPANA. Ila kukimbia kunaonyesha unafiki wa kidiplomasia
Yapi hayo na aliachiliwa na mahakama Ya ICC iliyomfunga kina Taylor na milosevic.Ya mauaji ya kikabila
Yah,pills for you,mpone ugonjwa wa ukabilaswallow that bitter pill.
Ila kuna umuhimu wa kunyesha msimamo wa nchi. Kukimbia ni unafiki na uogaInajulikana kama Free will. Haulazimishwi kwa mjeledi kupiga kura unaweza susia.
Hao CRIMINALS,waliwahonga,kuwaua na kuwatisha mashaidi wasiende kutoa ushahidi ICC ndo unaongelea hapa?mmejaza criminals state house alafu mnapiga kelele humu,shame on you.Yapi hayo na aliachiliwa na mahakama Ya ICC iliyomfunga kina Taylor na milosevic.