When Kenya runs away from UN resolution, it’s time to assess the quality of our leadership

When Kenya runs away from UN resolution, it’s time to assess the quality of our leadership

Kenya Mupo Sawa. Huo Mkutano ni wa Kiislam so kuvote against Israel ni kosa. kukaa Pembeni ni kuonesha kuwa hizo Kura hazina uhalali wowote... zaidi wa Wapumbavu Uturuki na Misri kuandaa huo ujinga.. Jerusalem ni Mji Mkuu wa Israel kila mtu anafahamu Kura za kujaribu kupindisha ukweli uwe uongo ni bora kutopiga kura. Hongera Uhuru Raisi wa Kweli Africa
Huu ushabiki sijui kweli tunashirikisha akili zetu. Kwahiyo Hao Wapalestina kwa vile ni Waislamu hawastahili kuishi hapo?

Usiruhusu hisia kutawala akili yako, kwahiyo tangu hiyo Israeli iwepo kwanini haikuufanya mji wa Jerusalem kuwa Capital yake? Huoni hata wao waliona kuna tatizo furani ndo wakaupeleka Tel Aviv? Baada ya kuona Wapalestina wametengwa na wenye nguvu ndo wanaanza kufanya wayatakayo bila kujali haki za watu wengine.
 
Kenya Mupo Sawa. Huo Mkutano ni wa Kiislam so kuvote against Israel ni kosa. kukaa Pembeni ni kuonesha kuwa hizo Kura hazina uhalali wowote... zaidi wa Wapumbavu Uturuki na Misri kuandaa huo ujinga.. Jerusalem ni Mji Mkuu wa Israel kila mtu anafahamu Kura za kujaribu kupindisha ukweli uwe uongo ni bora kutopiga kura. Hongera Uhuru Raisi wa Kweli Africa
Aisee una akili sana ww, wenzako watakuponda ila ukweli wanaujua!
 
sijawahi ona mKenya kama huyu anaye value humanity and equity. your fellow Kenyans will stone you coz you support something that is not your culture.

good brother, let's go on embracing love and togetherness.
Hahah hajielewi huyo!
 
Wakiambiwa wanategemea misaada kutoka USA mapovu yanawatoka. Ninyi mmeona hayo tu, sikilizeni voa swahili wanavyosifu uamuzi wa kenya. Rwanda ni nchi ndogo, lakini waliacha unafiki wao wakaiambia Ufaransa kuwa ilihusika kwenye mauaji ya kimbili, na wakatishia kumtimua barozi wa Ufaransa. Hata South Africa walipojaribu kuwahifadhi wa Kagame kila mtu anajua kilichotokea. Msimamo thabiti ndio silaha ya kiume, sasa hawa Kenyans tuwaiteje
Kimbili na barozi ndo nn??[emoji3] jaribu kuficha ujinga mswahili!
 
Kenyans, abstaining, actually running away from being seen voting to denounce the decision of Trump administration to recognize Jerusalem as the capital of Israel and hence shifting its embassy to the city was a cowardly decision. To me this tests the competence and quality of our leadership. We are human beings, we know what was happening inside the grey jerry of these individuals.

Our neighbours voted enthusiastically, reading loudly their decisions, confidently. In east Africa Kenya brags to have good economy and influence to steering the community towards where it is required to be. However, with this type of leadership, this type of decisions, there is no way Kenya will be a respected state. A country where the leadership struggles to impress the US regardless of the quality of prescription handled to them. Leaders who couldn’t recognize the humiliating prescription or who tolerated the humiliation for no tangible reason!

What benefits are we getting from this relation with the US? Getting VISA to the US? Is the benefits that much heavier to sacrificing the country’s integrity and respect? NO! NO!
Wewe na wakenya wenzako ni wanafiki Sana, kama nchi ilitakiwa kuwa wazi, wanakubaliana na Trump au la, sio kuacha watu kwenye mabano kisa misaada, kesho ndoa ya jinsia moja inawafuata
 
Kenya did not abstain, the kenya office at the UN was closed for holiday hence we did not participate in the vote at all, but if we had we would have probably abstained, this is because the resolution was useless and it was stupid for any country to think that voting for or against actually had any power, If the US woke up tomorrow and decided that palestine doesn't exists anymore, trust me, no one in the UN would do shit! I mean just look at this situation, the whole UN had to call for a special meeting just to vote on one single issue where the sovereign state of US decided that it would move its embassy, how weak is the rest of the world that we have to all gather to pass a useless resolution that doesn't carry any weight just for one country
Stupidity thread
 
Pesa zangu zinaniwezesha kutembeza makalio hiyo nchi yako ya LDC.
Kwanini usijenge choo kwanza kabla ya kusafiri, au umezoea kujisaidia katika mifuko ya plastic?, kumbuka siku hizi imepigwa marufuku haipatikani Kenya.
 
Mtu ajisemee pande yake... sema Tanzania ni masikini hohe hahe Tena wa kutupwa sio kujishikilia na Nchi zingine so as not to feel lonely au kujifariji.
I'm nt just talking, I have stats to prove it. You are just talking what you have been fed since childhood by your primitive, tribal society that is known for dome-giving.
But it's the brown-nosing that we are talking about here and I know you are ashamed of it.
 
Sasa tuna nini cha kujifunza kutoka tz? Nchi ambayo haina hata clear foreign policy? Kimataifa, tz hata haijulikani iko bara gani. We got respect home and abroad man. What is Tanzania? Just a local confused banana country led by a dictator with a funny forehead .
 
Kwanini usijenge choo kwanza kabla ya kusafiri, au umezoea kujisaidia katika mifuko ya plastic?, kumbuka siku hizi imepigwa marufuku haipatikani Kenya.
Umesahau Tz inaorodheshwa ya 8 kati ya nchi zisizo na vyoo duniani mzima...yani 80%ya Tz wanajisaidia pale ubungo na kwa beach.
 
I'm nt just talking, I have stats to prove it. You are just talking what you have been fed since childhood by your primitive, tribal society that is known for dome-giving.
But it's the brown-nosing that we are talking about here and I know you are ashamed of it.
Provide us with your stats man.
 
Sasa tuna nini cha kujifunza kutoka tz? Nchi ambayo haina hata clear foreign policy? Kimataifa, tz hata haijulikani iko bara gani. We got respect home and abroad man. What is Tanzania? Just a local confused banana country led by a dictator with a funny forehead .
Without Tanzania, Africa wouldn't't the way it is today, all freedom fighters started their liberation movements from Tanzania, you mention any, tell us you Kenyans, what have you done for Africa?

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom