Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
Naona baada ya injinia wenu wa kibera kushindwa umeibuka mnywa chang'aa wa kibera .haya basi tuelimishe inatengenezwaje hapo kibera???najua kinacho wasumbua nyinyi washamba wa dunia....hii hapa chini
ndege ilitua kisa hali ya anga ila nyie washamba mnathan ni neema toka mbinguni...ama kweli umaskini ni ugonjwa...iafrika tuna kazi sana
its only in tz where a plane landing on an airport inaitwa maendeleo ya kuwafanya wengine waskie wivu...nyie mna akili timamu kweli?😀😀😀😀😀
hapa kibera tuna akili....hatuwezi kamwe kusherehekea upumbavu😀😀😀😀maybe ukawaulize wenzako ktk maeneo ya tandale na manzese...watakupa majibu unayotafta😀😀😀Naona baada ya injinia wenu wa kibera kushindwa umeibuka mnywa chang'aa wa kibera .haya basi tuelimishe inatengenezwaje hapo kibera???
And that's what bothers them n believe if the current growth in tourism is sustained, I see that big bird landing in JNIA also in KIA n Znz.No A380 has ever landed in JKIA or any airport in kenya. Whether its a silly thing or whatever thats the fact
Endelea kusherehekea Only brt from kibera injiniahapa kibera tuna akili....hatuwezi kamwe kusherehekea upumbavu😀😀😀😀maybe ukawaulize wenzako ktk maeneo ya tandale na manzese...watakupa majibu unayotafta😀😀😀
sawa mkaazi wa manzese...maisha yakazidi kuwa magumu vuka border tu hata AY aliimba navuka border...au sio?😀😀😀😀Endelea kusherehekea Only brt from kibera injinia
Unadhani sisi tunavuka boda ili tuwe gay Kwa wazungu kama nyinyi hadi mnasema"bora kuwa shoga ulaya kuliko kuludishwa Kenya"sawa mkaazi wa manzese...maisha yakazidi kuwa magumu vuka border tu hata AY aliimba navuka border...au sio?😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] waaah noma sanamtanzania ni mtu wa ajabu narudia...hawa hapa watu wazima wenye akili timamu wameenda kufanya uzinduzi wa lift ya kwanza.....wamemualika mpaka meya na wanasiasa toka kila pembe ya mkoa kisa uzinduzi wa lift😀😀😀😀😀😀 niambie kama wewe ungekuwa mzungu, mjerumani, mrusi, mjapani au mchina, hivi utakosaje kuwadharau hawa limbukeni na kukosa kuwatilia maanani?
usishangae wana celebrate mpaka lift na emergency landing..hawa watu ni watu funny sana😀😀😀😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] waaah noma sana
Hebu punguza povu na uelewe hoja!sasa ni kipi cha kuwa jealous hapa...yaani ndege kutua tu kwenye runway? duh! miafrika bado tuna kazi....fikiria mtu ana jivunia emergency landing...maajabu ya musa haya...kisha tunashangazwa na wazungu wanapotudharau ila tabia zetu hizi hapa za kutia aibu🙁leo tunajivunia ukuta kesho emergency landing...duh!!!
mbona kenya airways inatua kote duniani??...yaani mtu mwenye akili punguani tu ndiye anaweza kushangilia upumbavu kama huu..tabia za ki LDC hizi....mi sioni jambo la kusikia wivu...emirates flights kwa ni ni za dhahabu au? kutua kwake kunamsaidia kivipi mtz au nchi kwa ujumla????? maswali yanayonikumba ni haya...ukijibu bila ujinga wa matusi ya peni mbili, nakuheshimu...fikiria mwarika kusini anashangilia kisa flight ya emirates imetua OR Tambo au mchina anasherehekea kisa ukuta umejengwa..hahaha...si watamwona mwendawazimu huyo? nyie huwa mnajishusha hadhi saa zingine...sometimes jiheshimuni ndio mheshimiwe angalau
Mlisema kwamba Airbus380 haiwezi kutua JNIA, sasa hii ni kuthibitisha kwamba ninyi ni debe tupu, hamjui mnalosema
utumwa ni kusherehekea ndege za ngambo zinapotua kwenu...mbona south african airways wana ndege kubwa kubwa zinazotua dar? mbona hamshangilii?Hebu punguza povu na uelewe hoja!
Hakuna mtu hapa anajivunia suala la emergency landing, bali kinachojadiliwa hapa ni uwezo wa JNIA kumudu kutua kwa ndege yenye ukubwa kama huo. Utakumbuka wakenya wenzio hapa wamekuwa wakibwabwaja hapa kuwa uwanja huu hauna uwezo kwa ndege ya aina hiyo kutua! Hivyo kitendo cha ndege hii kutua iwe kwa dharula au kawaida inadhihirisha kuwa uwezo upo.
Pili kuhusu suala la ukuta wa mererani, hakuna kitu cha maana kama kulinda rasilimali zako. Ngoja nikukumbushe;
Moja ya sera za Donald Trump wakati wa kampeini zake ilikuwa ni kujenga ukuta kati yake na Mexico. Jambo hilo wamarekani walilipenda na kumpa trump ridhaa ya kuongoza.
Sasa wewe unavyotushangaa sisi kujenga ukuta na kuongea inabidi tukushangae maana wazungu hao unaowaabudu wanafanya mambo kama haya haya.
Cha mwisho acha kuhusisha kila kitu unachokiona kwa upeo wako kuwa kibaya na uafrika. Huu ni utumwa. Naamini wewe hapo unatamani kila siku ungekuwa mzungu.
Yaani siku hizi hata sina muda wa kuchangi humu. Yaani mtu anajigamba eti emergemcy landing imefanywa kwa runway. Ingekuwa ni scheduled flight basi kungekuwa na jambo la kusherehekea; kwani, ingekuwa onesho ya kuwa kuna kukua kwa miundo mbinu. Halafu argument hii ni ya kusikitisha sana:
Yaani huyu mtu kwa kweli hajui emergency landing yaweza kufanywa hata kwa mto?
Mwaka wa 2009, denge huko marekani ilifanya emergency landing juu ya mto Hudson. Kwa kweli sitaki kuamini ujinga fulani unapatika pahala hapa.
Mibongo bwana....ndo maana wanatawaliwa na wahutu