When Kenyans claims this interchange is in Nairobi


Ahaaa haaa haaa
mi sina wivu bana. ningekuwa na wifu ningekuwa na kitambi!!!??? (just a joke).
Teh teh teh tihiii
 
Linchi likubwa pamoja na population kubwa na madini ila kwa infrastructure ni bure kabisa Geza Ulole itabidi muiuze nchi yenu muhamie hapa Kenya tutawapa makao haa mkiwa omba omba nasi tuichukuwe nchi yenu muone vile tutaistawisha hadi mchonge.

mumeshindwa nini kuisitawisha Kenya. kila siku watu wanakufa njaa, corruption kubwa mpaka askari wanajiuliza anticorruption watatukamateje wakati wenyewe ndiyo wanaoongoza kula rushwa!!??, nepotism, tribalism na unemployment enyewe iko at epidemic proportions.
bure kabisa. ukimaliza hayo mauzauza ndiyo uje hapa kuropoka ropoka.
pambaf.
 
anafanya kazi kitengo cha propaganda pale lumumba........


humu mitandaoni usibishane sana na watu, some of them are paid trolls...... its their life!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…