rais wako
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 605
- 513
Hakuna mkenya anaweza kukusanya kijiji namna hii akiwa Tz...
ila watanzania ni kawaida kwao kuwakusanya wakenya wakajazana mpaka maghorofani ili wamuangalie mtanzania
mwenye video ya mkenya au wakenya wakipokelewa na umati wa wa Tanzania naomba ailete hapa namaanisha video ya mkenya yoyote kuanzia rais wao
View attachment 6089142095efaac4ea9c5e22beeda7e2.mp4
ila watanzania ni kawaida kwao kuwakusanya wakenya wakajazana mpaka maghorofani ili wamuangalie mtanzania
mwenye video ya mkenya au wakenya wakipokelewa na umati wa wa Tanzania naomba ailete hapa namaanisha video ya mkenya yoyote kuanzia rais wao
View attachment 6089142095efaac4ea9c5e22beeda7e2.mp4