joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Tanzania wins Street Child World CupKenya imeongoza dunia mara kadhaa kwenye michuano mbalimbali, raga, riadha, raga kwa kina dada Afrika, mpira wa wavu kwa kina dada Afrika. Kwenye riadha wakenya wameongoza dunia, kwa wingi wa medali na sio gold medal tu zilizoshinda na watu binafsi. Olympics zilizokuwa Beijing.Mchuano wa kimataifa wa raga HBSC Rugby Singapore7s. Under-20 World Athletics Championship, mwaka huu, kule Tampere, Finland. Kenya Lionesses waliposhina ubingwa wa raga kwa kina dada Afrika, mapema mwaka huu kule Gaborone, Botswana.
Tanzania wins Street Child World CupKwanza nyie mna medali ngapi? Kenya ndiyo inaongoza afrika nzima kuwa na medali nyingi ikifuatwa na afrika kusini.Nyinyi hata hampo top ten. Uganda wapo.
Eti nini? Acha porojo, Zarika Fatuma alimpa mmexico Yemi Marcado kichapo cha kweli mwezi uliopita na aka'defend' belt yake tena kwa mwaka wa tatu. Ana ufadhili wa hela ndefu kutoka kwa Sportpesa.Kwa sasa anatumia madawa ya kulevya Hana hata mia mfukoni
Well, congratulations. Ila siku nyingine ikifika kwenye michezo, usithubutu tena kutupia hizo porojo zako kuhusu Kenya. π
ππππEti nini? Acha porojo, Zarika Fatuma alimpa mmexico Yemi Marcado kichapo cha kweli mwezi uliopita na aka'defend' belt yake tena kwa mwaka wa tatu. Ana ufadhili wa hela ndefu kutoka kwa Sportpesa.
Sasa akisema hiyo inamaanisha anatumia dawa za kulevya[emoji848][emoji848] kutumia akili ni kitu muhimu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninyi mkiondoa riadha, mna medali ngapi za dunia?Heheheee nauliza mna medali ngapi?
Sita,tatu,kumi na Tisa,ngapi??
Sasa akisema hiyo inamaanisha anatumia dawa za kulevya[emoji848][emoji848] kutumia akili ni kitu muhimu sana
Huyu kwa sasa anatumia drugs kwenda mbele. Pesa hana. Sonko anataka kumpeleka kwa rehab.Kuna mtu hapa hajui kusoma, Z-A-R-I-K-A F-A-T-U-M-A, ndiye anayeshikilia title ya WBC, acha pumba zako za copy and paste.
[emoji15][emoji15][emoji15] This nigga be mad! Just look at him!Ninyi mkiondoa riadha, mna medali ngapi za dunia?
Unasema conjestina ...achanga porojoHuyu kwa sasa anatumia drugs kwenda mbele. Pesa hana. Sonko anataka kumpeleka kwa rehab.
Huyo jamaa ni kilaza flani tu, kukosa elimu ni kitu kibaya sana. Yaani hadi namuandika jina Zarika Fatuma kwa herufi kubwa lakini bado haelewi. Yeye anacopy paste tu wakati hata hafahamu kwamba anayemuongelea sio Zarika. Hahaha! [emoji23]Unasema conjestina ...achanga porojo
Hivi mtu anaweza kuelimika na bado akaendekeza ukabila katika dunia ya Leo ya sayansi?Huyo jamaa ni kilaza flani tu, kukosa elimu ni kitu kibaya sana. Yaani hadi namuandika jina Zarika Fatuma kwa herufi kubwa lakini bado haelewi. Yeye anacopy paste tu wakati hata hafahamu kwamba anayemuongelea sio Zarika. Hahaha! [emoji23]
Nasikia hivi ndio jiwe anawangoja vijana wa Taifa Stars airport. [emoji23]View attachment 938829taifa starz hovyoooo....wanapeleka ujiko lesotho baada ya kula hela za magu!
Start with the construction of public toilets first.Stadiums are not a priority right now, there are more important sectors to put those resources in.
Tulikuwa tunasubili muanzeππππππStart with the construction of public toilets first.
Kwenye hii stadium yenu mnaanza lini kujenga toilets?πππππππStart with the construction of public toilets first.
Kenya Will build them when having a new modern stadium becomes a priority. We have roads, railways,airports and electricity generation plants to build first.The new modern stadium in Dodoma. Construction to start very soon. Kenyans bado mmesimama?? Please we need to compete. It will be funded by Morocco.
Ω ΩΨΉΨ¨ Ψ―ΩΨ―ΩΩ Ψ§ ΩΩ ΨͺΩΨ²Ψ§ΩΩΨ§Wataalamu wa ujenzi wa hicho kiwanja[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kwani umesikia TZ haifanyi hivyo vyote?? πππππTZ ime simama au sioπππKenya Will build them when having a new modern stadium becomes a priority. We have roads, railways,airports and electricity generation plants to build first.