Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 881
- 942
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajamaa kadogo kadogo tu , kenye elimu LAKINI KAKALIZA MAJAMAA MABAUNSA YENYE MINDEVU NA MITUMBO MIKUBWA NA UMRI MKUBWA [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo hapo Mkuu , vipi una lingine la kusema ???? View attachment 852598View attachment 852599View attachment 852600
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari waungwana!!! I hope wote mpo salama!!!
Ni muda sasa takribani miezi 10 member ONTARIO haonekani tens humu!!! Nimefuatilia nimegundua Last seen ni January 13 2018.
Mwenye kufahamu acc mpya atusaidie au aina nyingine ya mawasiliano maaana hata FB siku hizi haonekani kabisa!!
Atakuwa amekwenda Ottawa, ONTARIO.Habari waungwana!!! I hope wote mpo salama!!!
Ni muda sasa takribani miezi 10 member ONTARIO haonekani tens humu!!! Nimefuatilia nimegundua Last seen ni January 13 2018.
Mwenye kufahamu acc mpya atusaidie au aina nyingine ya mawasiliano maaana hata FB siku hizi haonekani kabisa!!
Mkuu ila jamaa kaandika "takribani miezi 10"Jan 13, 2018 mpaka leo Aug 31, 2018 ni miezi 10?
Yupo SUA Dodoma anapiga degree ya pili baada ya ile ya kwanza kutusua GPA ya 32
Duu pole mkuu!!!Dah huyu jamaa bora usingemuanzishia uzi asee maana hapa utakuwa unatonesha vidonda vya wadau ambavyo vilishaanza kupona.
Nasubiria mapovu tu hapa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi utakuwa hujuwi dhana ya neno Takribani