Where Is Ontario?

Where Is Ontario?

Kwenye uandishi, kama una tar kamili na ukaiandika hutakiwi kuweka makadilio.

i.e Ungetakiwa utumie hiyo takribani pekee, au ungesema hajaonekana toka tar fulani bila kuweka takribani.

Na kama unavitumia vyote approx lazima iwe around. Kwa sababu hapo ni tofauti ya miezi 8 na siku 18, kwa hiyo ni around 8 or 9 and not 10.

Good day.
Asante kwa shule
 
Kuna dogo huku amenasa kwenye Forex hatari hatari

Sasa ameanzisha na kidarasa

Kila nikimhoji mafanikio yake anarukaruka tu, anadai pesa ipo cha ajabu hata buku ya maji tukiwa mazoezini sometimes anahongea.


Hiyo kawaida kinachonistaajabisha watu walioingia kwenye Forex hawang'oleki bwana

Utaongea yote lakini haelewi, nilichogundua kuna imani kali wanapandikizwa kama ya dini

Maana mtu wa dini hata useme huyo nabii anawapiga utajisumbua tu

Sipingani nae kama kweli hela ipo naweza kujiunga lakini hawanaga uthibitisho wowote wa mafanikio

Ni watu wanaotaka uamini tu, yaani we amini ipo siku utatoboa

Nikamtajia Ontario na stori za kuwapiga watu hakutaka kunisikia anakwambia kila mmoja na anavyoamini mimi simfahamu mtu huyo
 
Kuna jamaa wa FOREX alitamba sana kipindi cha nyuma, kama sikosei walimuita Ontario au jina lingine(naomba nikumbushe)
Alipata wafuasi sana,nataka kujua mwisho wao 2013-2015
 
Hahah jamaa ni smart mind alieweza kuwa outsmart raia karibia buku. Kwa kujumlisha na tour alioipiga nchi nzima baada ya wao kukodisha floor ya Jangid plaza.

Halafu akawatumia wa south ili kusudi mumuone kuwa yupo real. Tanzania ni nchi pekee ambayo kumtapeli mtu kwa kutumia wageni kama kielelezo cha umakini wa biashara ni rahisi mno.

Mfano naamua kusajili kampuni kwa lengo la kuwapiga watu pesa, nakuja na model tofauti ya biashara kisha na introduce kwa mtindo ule ule wa kulambisha asali watu kumi ili waniitie watu 100 kisha nawafyatua.

Nakumbuka PM aliwahi watangaza matapeli waliokuja kununua korosho za Mwendazake kule Mtwara.
 
Ontario
 
TV unayouziwa dukani 2 million , ujue jamaa amekupiga zaidi ya 500-700K , Ila Kwa Ontario imekuwa nongwa , kama watawala wanatupiga, mtu anakwapua billion 1, billion 100 mchana kweupe.....unaanzaje kumuonea wivu kijana anayepambana kama Ontario, Forex inajulikana world wide na watu Weng wamefanikiwa wengine wameangukia pua, Ontario kafanikiwa Kwa level yake na huwez jua amepoteza pesa Kias gan mpak kufika hapo alipo, na istoshe ana mishe nyingi japo ya Forex ndo imempa umaarufu ...

Mi binafs nimefaidika na kumfahamu Ontario , sio katika Forex mana sijawahi hata kutrade na sina mpango na wala mafunzo sijapata kokote Ila katika post zake insta huwa nazichukulia positive Sana na psychological zilinipa ujasr wa ajabu Sana wa uthubutu na sasa matunda nayaona....!!
 
Shark of the ocean vibua kaa mbali na Sasa tunapindua meza kibabe haka ka bwana kwa kuupepeta tu mdomo hakajambo.
 
Back
Top Bottom