Where Is Ontario?

Where Is Ontario?

kuna mambo fulani huwezi kujifunza kama usipokubali kuwa yakupasa kujifunza. Iwe aliwapiga au mlijipiga wenyewe kwa uzembe wenu still jamaa kaonyesha ana uwezo mkubwa sana wa kuifiikirisha akili yake katika kutafuta mkwanja. Na kilichowapata wengi humu ndani ni kielelezo tu cha ukomo wenu wa kufikiri. Naendelea kujifunza kupitia hustle zake, kama ni kweli aliwapiga basi jiandaeni kupigwa nitakapohitimu.
Ni kweli mkuu... ukisoma hii thread utagundua wtz wengi ni wajinga mno....inatisha na kusikitisha sana
 
kuna mambo fulani huwezi kujifunza kama usipokubali kuwa yakupasa kujifunza. Iwe aliwapiga au mlijipiga wenyewe kwa uzembe wenu still jamaa kaonyesha ana uwezo mkubwa sana wa kuifiikirisha akili yake katika kutafuta mkwanja. Na kilichowapata wengi humu ndani ni kielelezo tu cha ukomo wenu wa kufikiri. Naendelea kujifunza kupitia hustle zake, kama ni kweli aliwapiga basi jiandaeni kupigwa nitakapohitimu.
Mimi nilimuona ni tapeli kabla hata haja introduce hiyo trade yake sijui. Kupitia maandishi yake nilishagundua jamaa anaokota kuni muda si mrefu kuna msosi anaenda kuwapikia watu.
Ukiangalia vizuri mafanikio yake wala hayaelezei uwezo wake kiakili kuwa ni mkubwa bali unaelezea upunguani wa akili wa audience anayoilenga.
 
kuna mambo fulani huwezi kujifunza kama usipokubali kuwa yakupasa kujifunza. Iwe aliwapiga au mlijipiga wenyewe kwa uzembe wenu still jamaa kaonyesha ana uwezo mkubwa sana wa kuifiikirisha akili yake katika kutafuta mkwanja. Na kilichowapata wengi humu ndani ni kielelezo tu cha ukomo wenu wa kufikiri. Naendelea kujifunza kupitia hustle zake, kama ni kweli aliwapiga basi jiandaeni kupigwa nitakapohitimu.
Hatari asee
 
Kama ndo haka basis heshima ziende kwake,kiwanda sio lazima ujenge likitu likubwaaa hats huyu ni kiwanda Tayari,safi sana kijana kwa kutumia kichwa chako vizuri kujipatia maisha bora,sasa achana na hiyo kazi Fanya kazi halali,Tengeneza kipato halali ,saidia wasiojiweza,lipa kodi,Mungu atakuelewa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Screenshot_20190528-200635.png
Screenshot_20190528-200830.png
 
Back
Top Bottom