Where Is Ontario?

Ni kweli mkuu... ukisoma hii thread utagundua wtz wengi ni wajinga mno....inatisha na kusikitisha sana
 
Mimi nilimuona ni tapeli kabla hata haja introduce hiyo trade yake sijui. Kupitia maandishi yake nilishagundua jamaa anaokota kuni muda si mrefu kuna msosi anaenda kuwapikia watu.
Ukiangalia vizuri mafanikio yake wala hayaelezei uwezo wake kiakili kuwa ni mkubwa bali unaelezea upunguani wa akili wa audience anayoilenga.
 
Hatari asee
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…