Tatizo nadhani
haawengiwanachaangaianakulingani na hata serikali zetu
maskinizaafrikazinawekeza ni kuweka priority kwenye military na defencei intelligency tu .
Lakini kwa mahitaji ya dunia ya sasa
inteigengy muhimu ni
- econmicmic intellingency- Hapa China kawapiga bao. Mashirika kama IMF na WB ni Kama economic intelligency machinery ya developed word. China hafuati masharti ya IMF naWB .Na part ya success story ya china inatokana na kuwa na economic intelligencyyautambuahilo nzuri kwa manufaaya wachina wao wenyewe. Upande mwingine mtkisiko wa kiuchumi ulionesha intelligency ya kiuchumi ina udhaifu kwenye mataifa mengi makubwa kama ilvyo kwa vinchi vyetu
- Technlogical inteligency-china pia anakuja kasi . japo China hana watalaam kamawa USA na mataifa makubwa lakini ana uwezo wa kuiba teknolojia ambazo watu wamefanyia research tayari . Tumesikia mara nyingi china wanalipia pesa kibao kununua mabaki ya vifaa vya kijeshi na ndege za kivita za USA zinazonaguka vitani.
baada ya hizo mbili sasa ndio inakuja intelligency amabayo watu wengi tunasifia(ya kijeshi na Uinzi) kama za USA,UK, RUSSIA ,ISRAEL.
Na kuwa best agency
inategema na
VISIONau Principal yake imewekaka vipaumbele gani katika
SWOT(
Strenght
Wekness
Opportnites
Threat) la taifa Husika .SWOT za MOSSAD ni tofauti na SWOT za CIA au KGB. Unawezau kuta MOSSAD wana utaaam mubwa zaidi wa kukomboa mateka Wengne wana utaalaam mpaka wa kuturubuni buni tununue Boeing na sio Airbus na wengine wana utaalam wa kutengeza silaha wakati wengine wana utaalam wa kuiba teknolojia