While KQ is at economical Depression ATCL set to receive brand new 2nd B787-8

While KQ is at economical Depression ATCL set to receive brand new 2nd B787-8

Wakenya sio wanafiki na wapikaji takwimu, Wakenya vyombo vyao vya habari Ni huru, Wakenya wanajua rights/haki zao, Wakenya wanamkosoa Rais wao bila kuogopa kuvamiwa na waliovaa nguo za kijani, Wakenya wakisikia wamenyanyaswa wanaingia mitaani na kutolea Serikali fujo, Wakenya wanahoji matumizi ya pesa kwa kuwa Ni watoa ushuru, Wakenya hawafurahishwi Ni vitu vidogo vidogo Kama miradi ya kununua Ndege(Tumezipata na kukuwa nazo Ni kawaida), Wakenya wanajua athari za kutawaliwa na chama kimoja(enzi za kanu sawa na CCM ya Tanzania).

Wakenya kwa ujumla Ni wajanja kimaisha na kimasomo kuwaliko wenzao wote wa Mashariki ya Africa hivyo basi wanajielewa na sio Siri tunaposema Mkenya Yuko mbele ya Mtanzania kwa zaidi ya miaka 10. Najua myabisha na kutema matusi na povu but looking at the basics Kama vile;

Barabara- Mtoto wa Nairobi wa miaka 10 ameiona na kuitembelea dual carriageway ya lanes 12 kitu ambacho wengi wenu wazee wa zaidi ya miaka 40 hamjawahi kukiona. Mtoto Kama huyo akili zake zimefunguka kumliko mtoto wa Tz wa miaka 20.

Umeme- the last time Kenya ilikuwa na kiwango Cha umeme Kama huo wenu Ni takriban miaka zaidi ya kumi iliyopita... that's another reason why mtoto Mkenya hawezi elewa vipi Tz haina umeme wa kutosha.

Vyombo vya habari - hapa viko huru Kutangaza chochote so itakuwa vigumu kuelewa Ni vipi CCM inatawala katika vyombo vya habari ukilinganisha na Kenya ambapo tukio la mwisho Ni back in the 90s.

SGR - wakati nyinyi mnyang'ang'ana kukamilisha 200km Kenya yake tayari imekuwa ikifanya kazi for 3yrs Tena km 600.

Airlines - wakati nyinyi mnanunua dreamliner ya Kwanza, Kenya hata sikumbuki walinunua lini na ngapi Yani we have been used to Seeing KQ. Nakumbuka nilioenda advert yao nikiwa kijana mdogo wa miaka 8 that was back in 1993...Bongo mlikuwa wapi?

Bandari - Bandari ya Mombasa handles more cargo than all East African ports combined including those in lakes.

GDP - Ya Kenya = Tz+Ug+Rw+Burundi hapo Hakuna ubishi.

Elimu - Watanzania wanasomea hapa Kenya Ni wengi hata Kuna Uzi wa kusupport hapa JF.

Health - Life expectancy ya Kenya iko juu kuliko ya EAC Countries.

Ni mengi kuliko niliyoyataja but hata mkitaka kunitusi Ni sawa.

Yeah sure

Pia watoto wa Kenya wanaongoza kwa kufa kwa njaa kushinda watoto wengine wote katika EAC....

Vilevile wananchi wa Kenya Ndio wananchi pekee ambao hawamiliki uchumi wao na wamegeuzwa slaves on their own land comparing to other E.A countries
 
Si dini kakangu ,ni uwepo wa Mungu .Alikuwepo kabla hizo dini zianzishwe na wanadamu,yeye hana dini

Ndio kakutuma utukane watu "fools"?

Huyo Mungu ni hovyo sana na amejaa visasi na anatuma minions wake wa-fight on his behalf!

He is so weak to send in a weak human being to fight for him!

Leo Mkikuyu unakana dini?

Leo unajifanya wewe si mkristo?

Unajiekti so reasonable unasema unaamini "uwepo" wa mungu tu,wakati wewe ni Mkristo wa kutupa!

Hii hypocrisy Jeni umeipeleka next level!

Lakini ndio kawaida yenu wapenda Mungu,unafiki kwenu ni sifa muhimu!

Hahahhaa
 
Ndio kakutuma utukane watu "fools"?

Huyo Mungu ni hovyo sana na amejaa visasi na anatuma minions wake wa-fight on his behalf!

He is so weak to send in a weak human being to fight for him!

Leo Mkikuyu unakana dini?

Leo unajifanya wewe si mkristo?

Unajiekti so reasonable unasema unaamini "uwepo" wa mungu tu,wakati wewe ni Mkristo wa kutupa!

Hii hypocrisy Jeni umeipeleka next level!

Lakini ndio kawaida yenu wapenda Mungu,unafiki kwenu ni sifa muhimu!

Hahahhaa
Lol.. I am a Christian but I am not a religious extremist. Siwezi fosi MTU kukubali dini ya kikristo kama vile alshabaab hufanya.
Mimi huona ukristo ndio dini ya ukweli ukilinganisha na hizi zingine reason huzungumzia upendo through out. Hata uwe na nini na hauna upendo then you're nothing. GOD IS LOVE.
 
Religion is the great lie and delusion. But I do respect the feeling of hope and safety it provides
 
Lol.. I am a Christian but I am not a religious extremist. Siwezi fosi MTU kukubali dini ya kikristo kama vile alshabaab hufanya.
Mimi huona ukristo ndio dini ya ukweli ukilinganisha na hizi zingine reason huzungumzia upendo through out. Hata uwe na nini na hauna upendo then you're nothing. GOD IS LOVE.

Christian religion ni bora,kuliko dini zipi?

Umeangalia dini zote duniani to establish your judgement?

Kuna dini milioni 3,umepitia zote?

Jibu ni kwamba,hujapitia!

Sasa hiyo judgement kua ndio dini bora umeitolea wapi?

God is love,kwahiyo una upendo sana?

Mwenye upendo ndio anatukana watu "fools"?

Watu wa dini ni hypocrites!
 
Christian religion ni bora,kuliko dini zipi?

Umeangalia dini zote duniani to establish your judgement?

Kuna dini milioni 3,umepitia zote?

Jibu ni kwamba,hujapitia!

Sasa hiyo judgement kua ndio dini bora umeitolea wapi?

God is love,kwahiyo una upendo sana?

Mwenye upendo ndio anatukana watu "fools"?

Watu wa dini ni hypocrites!
Kwa hivyo kuitwa 'fool' ni kutukanwa?
 
Hakuna biashara isiyo na faida na hasara.... lkn kumbuka iyo ndege kuwa nayo tu ni ASSET tosha
Asset mheshimiwa, inategemea kwenye vitabu vya nani.... Ndege zote ATCL inazotoa sio asset zake, ni mali ya serikali..Serikali inaweza kusema ina asset..Hata kama ATCL ni 100% govt entity, lakini hawana mtaji wao kwenye ndege.

Kulielewa hilo vizuri ni kama mtoto anayestruggle mwenyewe akafungua biashara na mtoto wa tajiri anayetegemea asset za familia, halafu kuwalinganisha..
 
Asset mheshimiwa, inategemea kwenye vitabu vya nani.... Ndege zote ATCL inazotoa sio asset zake, ni mali ya serikali..Serikali inaweza kusema ina asset..Hata kama ATCL ni 100% govt entity, lakini hawana mtaji wao kwenye ndege.

Kulielewa hilo vizuri ni kama mtoto anayestruggle mwenyewe akafungua biashara na mtoto wa tajiri anayetegemea asset za familia, halafu kuwalinganisha..
ni vyema we labda unavyofikiria kwa nn TGFA ndio wananunua ndege ? ATCL kama ATCL inajulikana ina mideni ss wao leo hii wajifanye kipaumbele kununua ndege wadeni wote watajitokeza dunia nzima ....na matokeo yake yatakuwa majanga ss kama ATCL ni shirika la UMMA na TGFA ni serikali yaani ni sawa na kutoa pesa kutoka mfuko wa kushoto na kuweka ktk mfuko wa kulia wa suruali yako lkn bado izo pesa zitakuwa ndani ya suruali yako
 
Kwa hivyo kuitwa 'fool' ni kutukanwa?

Kwa maana "Fool" ni pambio?

Haya sasa,tumegeuka kusingizia semantics za lugha sasa?

Wewe Mkikuyu siku unakuja Bongo lazima nikutafute nikuchape na kidudu changu!

Utajijua!Lazima vidudu vyetu visalimiane!
 
ni vyema we labda unavyofikiria kwa nn TGFA ndio wananunua ndege ? ATCL kama ATCL inajulikana ina mideni ss wao leo hii wajifanye kipaumbele kununua ndege wadeni wote watajitokeza dunia nzima ....na matokeo yake yatakuwa majanga ss kama ATCL ni shirika la UMMA na TGFA ni serikali yaani ni sawa na kutoa pesa kutoka mfuko wa kushoto na kuweka ktk mfuko wa kulia wa suruali yako lkn bado izo pesa zitakuwa ndani ya suruali yako

Tanzania Government Flight Agency sio wanaonunua ndege... Ndege zinanunuliwa toka hela au sources za serikali kuu- central government. Ndio maana watu wanapata shida hapa.. Hata ukiona TRC ni hela ya serikali kuu, inafanya kama mradi wake.. Ukitaka kufanya comparison, fanya kati ya serikali na serikali.... Kwa Kenya, KQ wana autonomy katika kuendesha na kuamua revenue stream zao na wanazo. Lakini kwa kwetu , kuna utaratibu fulani...Tanzania Government Flight Agency, kama msimamizi wa ndege.. Wao wamewakodisha ATCL.... TGFA wanasimamia mali ya central government... Kwa hiyo ATCL, asset zake ni kama routes walizonazo, real estate kama wanazo. Lakini ndege siyo asset zao...
 
Issue si kupata ndege ingekuwa hivyo basi KQ wangekuwa bora zaidi maana wana ndege nyingi kuliko sisi. Issue ni kuendesha airline kwa faida. KQ wanapita kipindi kigumu kwa kuwa shirika linapata hasara ile mbaya. Uzuri kwa upande wao ni kwamba wanachapisha taarifa zao za fedha. He ATCL ina uwazi huo? Hakuna. Ili watu wasihoji masuala ya kifedha, shirika limewekwa katika kile kitengo chini ya ofisi ya Rais. By the time mnastuka shirika litakuwa 6 feet under the ground. Hatuombei hivyo lakini masuala haya yanahitaji transparency
This picture was taken at Boeing Everret factory TODAY actually the flight named as RUBONDO island found in MWANZA

View attachment 1232046
 
Back
Top Bottom