Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Thanks for admitting that you are a foolI dont believe in “God” or “Shetani” entities!
Those are yours,not mine!
I’m me,I dont pray to nobody whatsoever!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks for admitting that you are a foolI dont believe in “God” or “Shetani” entities!
Those are yours,not mine!
I’m me,I dont pray to nobody whatsoever!
Thanks for admitting that you are a fool
Si dini kakangu ,ni uwepo wa Mungu .Alikuwepo kabla hizo dini zianzishwe na wanadamu,yeye hana diniJeni bwana!
Huyo Mungu alie bora sana kakutuma utukane wanadamu wenzio "fools"?
Wewe Mkikuyu bwana,dini zimewaharibu ubongp zeni!
Wakenya sio wanafiki na wapikaji takwimu, Wakenya vyombo vyao vya habari Ni huru, Wakenya wanajua rights/haki zao, Wakenya wanamkosoa Rais wao bila kuogopa kuvamiwa na waliovaa nguo za kijani, Wakenya wakisikia wamenyanyaswa wanaingia mitaani na kutolea Serikali fujo, Wakenya wanahoji matumizi ya pesa kwa kuwa Ni watoa ushuru, Wakenya hawafurahishwi Ni vitu vidogo vidogo Kama miradi ya kununua Ndege(Tumezipata na kukuwa nazo Ni kawaida), Wakenya wanajua athari za kutawaliwa na chama kimoja(enzi za kanu sawa na CCM ya Tanzania).
Wakenya kwa ujumla Ni wajanja kimaisha na kimasomo kuwaliko wenzao wote wa Mashariki ya Africa hivyo basi wanajielewa na sio Siri tunaposema Mkenya Yuko mbele ya Mtanzania kwa zaidi ya miaka 10. Najua myabisha na kutema matusi na povu but looking at the basics Kama vile;
Barabara- Mtoto wa Nairobi wa miaka 10 ameiona na kuitembelea dual carriageway ya lanes 12 kitu ambacho wengi wenu wazee wa zaidi ya miaka 40 hamjawahi kukiona. Mtoto Kama huyo akili zake zimefunguka kumliko mtoto wa Tz wa miaka 20.
Umeme- the last time Kenya ilikuwa na kiwango Cha umeme Kama huo wenu Ni takriban miaka zaidi ya kumi iliyopita... that's another reason why mtoto Mkenya hawezi elewa vipi Tz haina umeme wa kutosha.
Vyombo vya habari - hapa viko huru Kutangaza chochote so itakuwa vigumu kuelewa Ni vipi CCM inatawala katika vyombo vya habari ukilinganisha na Kenya ambapo tukio la mwisho Ni back in the 90s.
SGR - wakati nyinyi mnyang'ang'ana kukamilisha 200km Kenya yake tayari imekuwa ikifanya kazi for 3yrs Tena km 600.
Airlines - wakati nyinyi mnanunua dreamliner ya Kwanza, Kenya hata sikumbuki walinunua lini na ngapi Yani we have been used to Seeing KQ. Nakumbuka nilioenda advert yao nikiwa kijana mdogo wa miaka 8 that was back in 1993...Bongo mlikuwa wapi?
Bandari - Bandari ya Mombasa handles more cargo than all East African ports combined including those in lakes.
GDP - Ya Kenya = Tz+Ug+Rw+Burundi hapo Hakuna ubishi.
Elimu - Watanzania wanasomea hapa Kenya Ni wengi hata Kuna Uzi wa kusupport hapa JF.
Health - Life expectancy ya Kenya iko juu kuliko ya EAC Countries.
Ni mengi kuliko niliyoyataja but hata mkitaka kunitusi Ni sawa.
Si dini kakangu ,ni uwepo wa Mungu .Alikuwepo kabla hizo dini zianzishwe na wanadamu,yeye hana dini
Lol.. I am a Christian but I am not a religious extremist. Siwezi fosi MTU kukubali dini ya kikristo kama vile alshabaab hufanya.Ndio kakutuma utukane watu "fools"?
Huyo Mungu ni hovyo sana na amejaa visasi na anatuma minions wake wa-fight on his behalf!
He is so weak to send in a weak human being to fight for him!
Leo Mkikuyu unakana dini?
Leo unajifanya wewe si mkristo?
Unajiekti so reasonable unasema unaamini "uwepo" wa mungu tu,wakati wewe ni Mkristo wa kutupa!
Hii hypocrisy Jeni umeipeleka next level!
Lakini ndio kawaida yenu wapenda Mungu,unafiki kwenu ni sifa muhimu!
Hahahhaa
Lol.. I am a Christian but I am not a religious extremist. Siwezi fosi MTU kukubali dini ya kikristo kama vile alshabaab hufanya.
Mimi huona ukristo ndio dini ya ukweli ukilinganisha na hizi zingine reason huzungumzia upendo through out. Hata uwe na nini na hauna upendo then you're nothing. GOD IS LOVE.
Kwa hivyo kuitwa 'fool' ni kutukanwa?Christian religion ni bora,kuliko dini zipi?
Umeangalia dini zote duniani to establish your judgement?
Kuna dini milioni 3,umepitia zote?
Jibu ni kwamba,hujapitia!
Sasa hiyo judgement kua ndio dini bora umeitolea wapi?
God is love,kwahiyo una upendo sana?
Mwenye upendo ndio anatukana watu "fools"?
Watu wa dini ni hypocrites!
Asset mheshimiwa, inategemea kwenye vitabu vya nani.... Ndege zote ATCL inazotoa sio asset zake, ni mali ya serikali..Serikali inaweza kusema ina asset..Hata kama ATCL ni 100% govt entity, lakini hawana mtaji wao kwenye ndege.Hakuna biashara isiyo na faida na hasara.... lkn kumbuka iyo ndege kuwa nayo tu ni ASSET tosha
Aisee 😃Ahsante sana ruangariraah kumbe Janerose mzalendo upo !! i mic u mtoto wa kikuyu ....
ni vyema we labda unavyofikiria kwa nn TGFA ndio wananunua ndege ? ATCL kama ATCL inajulikana ina mideni ss wao leo hii wajifanye kipaumbele kununua ndege wadeni wote watajitokeza dunia nzima ....na matokeo yake yatakuwa majanga ss kama ATCL ni shirika la UMMA na TGFA ni serikali yaani ni sawa na kutoa pesa kutoka mfuko wa kushoto na kuweka ktk mfuko wa kulia wa suruali yako lkn bado izo pesa zitakuwa ndani ya suruali yakoAsset mheshimiwa, inategemea kwenye vitabu vya nani.... Ndege zote ATCL inazotoa sio asset zake, ni mali ya serikali..Serikali inaweza kusema ina asset..Hata kama ATCL ni 100% govt entity, lakini hawana mtaji wao kwenye ndege.
Kulielewa hilo vizuri ni kama mtoto anayestruggle mwenyewe akafungua biashara na mtoto wa tajiri anayetegemea asset za familia, halafu kuwalinganisha..
asante ya nn mrembo wa kikuyu ! ngoja nije inbox niseme ya moyonAisee 😃Ahsante sana ruangarira
Kwa hivyo kuitwa 'fool' ni kutukanwa?
Kwa hivyo kuitwa 'fool' ni kutukanwa?
Hahaha bora tu patoke kitu kizuri kitakachokaa mwilini miezi 9Kwa maana "Fool" ni pambio?
Haya sasa,tumegeuka kusingizia semantics za lugha sasa?
Wewe Mkikuyu siku unakuja Bongo lazima nikutafute nikuchape na kidudu changu!
Utajijua!Lazima vidudu vyetu visalimiane!
Hahaha bora tu patoke kitu kizuri kitakachokaa mwilini miezi 9
ni vyema we labda unavyofikiria kwa nn TGFA ndio wananunua ndege ? ATCL kama ATCL inajulikana ina mideni ss wao leo hii wajifanye kipaumbele kununua ndege wadeni wote watajitokeza dunia nzima ....na matokeo yake yatakuwa majanga ss kama ATCL ni shirika la UMMA na TGFA ni serikali yaani ni sawa na kutoa pesa kutoka mfuko wa kushoto na kuweka ktk mfuko wa kulia wa suruali yako lkn bado izo pesa zitakuwa ndani ya suruali yako
This picture was taken at Boeing Everret factory TODAY actually the flight named as RUBONDO island found in MWANZA
View attachment 1232046