Ingia musicpleer.com hapa utapata miziki yote witnessjSijui sasa hivi google wamefanya kitu gani hupati nyimbo tena kirahisi lazma ulipie sijui Amazon, itune
Loovee doesnt ask why... Aiseee CELINE MKALIIIImistari ya LOVE DOESN'T ASK WHY ya celine deon ilinipa demu ko celine mkali
Huyu Whitney alibarikiwa sauti tamu Sana.Humtendei haki marehemu Whitney Houston kumlinganisha na Celine Dion. Whitney hakuna wa kumlinganisha nae kwenye kizazi chake. Mariah Carey aliwahi kusema, "Mimi naimba, na kuna wanamuziki wengi wa kike wanaimba, lakini Whitney sio levo zetu kabisa, ile ni mashine nyingine." Celine mlinganishe na Mcanada mwenzake Shania Twain.
Whitney alikuwa mtamu aisee! Kuanzia sauti, nyimbo mpaka.........swali zuri
kwenye vocal wako almost sawa
illa attractive vocals na madoido whitney yuko juu. Celine ana vocals nzuri ila hana madoido mengi, kwenye live performance whitney alikuwa na uwezo wa kubadili sauti na nyimbo atakavyo, celine live zake ziko strong ila anabaki original
kwa umaarufu whitney yuko juu label ya Motown walimpaisha na aliuza sana
whitney kacheza na filamu hollywood that makes her juu
Kwenye miaka ya mwanzo kutoka 1985 mpaka 1995 whitney hakuwahi kuwa na mpinzani. Celine dion kaja juu zaidi 1997 baada ya titanic movie
baada ya 1995 whitney ki vocal akashuka kwa madawa, ila celin ka maintain power ile ile kwa miaka 30 sasa! hata leo ukimwambia aimbe celine ataimba kama mwaka 1990
acha kabisa.love doesn't ask why,it's speak from the heart,and never explain.love doesn't think twice,it's can come all at once,all a whisper from a distance.......................acha mzee baba, humu celine kanichambulia maloveee kama yote
Whitney alikuwa mtamu aisee! Kuanzia sauti, nyimbo mpaka.........
Both have unique voices ... Kuna vitu Whitney Houston anaweza kufanya na sauti yake lakini Celine Dion hawezi same goes na Celine Dion kufanya vitu na sauti yake Whitney Houston hawezi ... Whitney's voice is stronger than Celine hivyo hivyo Celine anaweza ku belt nyimbo kumpita Whitney ... Both artist are on there own league also ni icons duniani together with Mariah Carey, wanaitwa Vocal Trinity ... Conclusion, both are better on there own rights as well as genre ... Whitney in Rnb and Celine in Ballads.Habari wadau,kama ww ni mfuatiliaji wa muziki bila shaka utakuwa unawajua wanamuziki hawa.Je kwa mtazamo wako nani ana kipaji kuliko mwenzake?mimi kwa mtazamo wangu naonal Whitney houston ana kipaji kikubwa kuliko Celine Dion,wewe je unaonaje?
Whitney Houston
Dunia ilikuwa na Wanamuziki wawili tu MJ na WHMimi kwangu msanii mzuri wa muda wote wa marekani ni MJ
Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Kwaya masta yule namkubali sana [emoji41]Zote kazi za mtaalam robert kelly
R KELLY
Haaaaahaaa kama nakuelewa hiviMy heart will go on
Power of love
Because u loved me
Thats the way it is
A new day has come..
Im Alive
Think twice...
Ebuuu achana na celine dions aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wotee ila nimajina ndo tofautiHabari wadau,kama ww ni mfuatiliaji wa muziki bila shaka utakuwa unawajua wanamuziki hawa.Je kwa mtazamo wako nani ana kipaji kuliko mwenzake?mimi kwa mtazamo wangu naonal Whitney houston ana kipaji kikubwa kuliko Celine Dion,wewe je unaonaje?
Dah kama Bob Marley hayupo kwenye list huwa sielewiDunia ilikuwa na Wanamuziki wawili tu MJ na WH
Whitney was legendary before she died Celine is not legendaryHabari wadau,kama ww ni mfuatiliaji wa muziki bila shaka utakuwa unawajua wanamuziki hawa.Je kwa mtazamo wako nani ana kipaji kuliko mwenzake?mimi kwa mtazamo wangu naonal Whitney houston ana kipaji kikubwa kuliko Celine Dion,wewe je unaonaje?
Unaachaje kunielewa Boss..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo whitney waachie kina nyereree.. Sawa leo uanze kumfananishe Kanda bongo man na Nyanshiski...Haaaaahaaa kama nakuelewa hivi
Waache utani.Pambana na hali yakoo... Celine dions achana naee aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani nyimbo zake hata la saba asieelewa anasikiliza na kuenjoy kale kasautii
Sent using Jamii Forums mobile app