Nilifikiri ni mimi mwenyewe nazinguliwaNaombeni link ya kudownload musik za ulaya bila longo longo wajameni, ku download nyimbo sasa hivi ni kazi sana
😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Celine dions aisee
..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimeanza kumjua kaishakuwa Teja....halafu sijui ni arena London alipoharibu shoo na msauti wake kama chi chidi mabenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Whitney ana awards zaidy ya 400 mkuu.Celine ana awards 252 na Nominations 508.
Mi Wacko Jacko aliniuma aseeHakuna kifo cha mastaa kilinigusa kama Michael Jackson na Whitney Houston. Let them rest in peace.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona teja Bobby yuko fresh now na wife wake wanakula life[emoji8]Alijiharibia sana kwa kuanza kutumia unga ambao ukaharibu sauti yake, maisha yake na kuwa chanzo cha kifo chake, but she was very special and very talented as compared to CD.
Hao watoto achana nao Celine Dion yaani nyimbo zake huchoki kusikiliza anajuaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Achana na celine dions jombaaa... Yani achana na huyo Bi dadaa zile level nyingine..
Sent using Jamii Forums mobile app
Power of love 🙌🙌🙌🙌🙌🙌ni Kwikwi.My heart will go on
Power of love
Because u loved me
Thats the way it is
A new day has come..
Im Alive
Think twice...
Ebuuu achana na celine dions aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah we ndo hujui lolote nakwambia sasa Celine Dion ni mwisho wa pop musicNilichogundua 'watoto' wengi ndio wanamjua Celine na kumshabikia, bado hawamjua Whitney. Celine Dion kwa tunaoujua muziki hata kwa Beyonce wa Jiga hatoboi maana na puch za juu mno. Nyimboza zote ni flat. Ila kwa tunaojua muziki tu ndio tuna Whitney ni nani
Ana kipaji cha hali ya juu sana ingawa hata Whitney nae si mbaya sanaceline ni level nyingne...angalia wimbo wa 'we are the world' ndo utaona alivopita kuwazid wote....anasauti ya kupanda iliyotulia na ana hits kuliko whitney.
Hahajahahaa uongo huuWhitney Houston was beautiful and talented nasikia nyimbo zake zilikuwa zikitumika kuwaamsha wagonjwa walio kwenye coma situation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah! na hii ni mashine nyingine.Nawatizama tu namna mnvyomsahau TONI BRAXTON
Jackson na Bob ni watu wanaimba tone za tofauti huwezi kuwashindanisha.Watu wa humu mlisema Michael Jackson ni zaidi ya Bob Marley, kwahiyo siwashangai mkimpa credit Celine Dion mbele ya Vocal Queen
Hao siyo legends wana nyimbo chache sana.hapa tunazungumzia legendary!Kwa uwezo binafsi me naona Taylor Swift ni bora kuliko wote hao,,Celine Dion alikua anaandikiwa sana na mumewe yule aliefarikigi,,Kidogo Whtney Houston i can compare 2 Taylor swift,,
Top3 yangu ni-:
1-Taylor Swift.
2-Mariah Carey.
3-Jordin Sparks/Beyonce/Madona/Lady Gaga
Sijui sasa hivi google wamefanya kitu gani hupati nyimbo tena kirahisi lazma ulipie sijui Amazon, itune