Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah! She is a 🐐I think she holds the Guiness World Records as the most awarded female artist of all time.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh...ngoja ntamfatilia, mi najuaga ni teja yule na Bobby Brown wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo hivyo hahaa .. I'm sorry witnessjKumbe wewe mtoto wa juzi kwenye hizi mambo ndio maana umemjua Whitney akiwa teja eeh?! Inawezekana tunabishana na watoto wa late 90’s hapa
Yeah amechukua tuzo ya Guinness world record mara 15 yaani ameshiriki mara 15 na akabeba zote hahaaI think she holds the Guiness World Records as the most awarded female artist of all time.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh unakosa uhondo sana mkuu Whitney she was a star tangu alivyo kuwa teenager tayari dunia ilikuwa imeshamjua na akawa ana unyanyasa mziki kama yeye ndiye aliyeuasisi vileDuuh...ngoja ntamfatilia, mi najuaga ni teja yule na Bobby Brown wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa tuzo alizo shinda nyingi za ajabu ajabu tu sijui za kitchen party .. hebu check za Whitney mtu kashinda tuzo za Grammy kibao za Guinness ndio alishinda zote alizowahi kushiriki mara 15,... huyo Celine hata kuwekwa kwenye nominees za Guinness hajawahi ....
Cha Michael Jackson kili nikosesha usingizi nikakesha usiku mzima nafuatilia habari Zake cnnHakuna kifo cha mastaa kilinigusa kama Michael Jackson na Whitney Houston. Let them rest in peace.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mkuu nenda milembe hahaaKwa uwezo binafsi me naona Taylor Swift ni bora kuliko wote hao,,Celine Dion alikua anaandikiwa sana na mumewe yule aliefarikigi,,Kidogo Whtney Houston i can compare 2 Taylor swift,,
Top3 yangu ni-:
1-Taylor Swift.
2-Mariah Carey.
3-Jordin Sparks/Beyonce/Madona/Lady Gaga
Kitchen party..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nadhani ulizaliwa miaka ya 70 pambaneni na Whitney wenu huyoo wa zilipendwaa... Celine dions balaa lingineeHahaa tuzo alizo shinda nyingi za ajabu ajabu tu sijui za kitchen party .. hebu check za Whitney mtu kashinda tuzo za Grammy kibao za Guinness ndio alishinda zote alizowahi kushiriki mara 15,... huyo Celine hata kuwekwa kwenye nominees za Guinness hajawahi .... View attachment 1004862
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu sasa ndo akalalee kabisa... Whitney was something else sema kwa wale wazee wa zamani.. vijana kwa kweli tunakuwa hatuwaelewii kabisa...
Hahaa sasa tuzo gani zile hata majina hazina ... au ni ambazo alizokuwa anashinda wakati yupo High school !?Kitchen party..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nadhani ulizaliwa miaka ya 70 pambaneni na Whitney wenu huyoo wa zilipendwaa... Celine dions balaa linginee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa huyo jamaa umeshampasia weed aise ..hahaa Celine kwa Whitney hapana ... lakini sio kwa hao sijui kina nani hawana hata uwezo robo wakumfikia hata huyo CelineHuyu sasa ndo akalalee kabisa... Whitney was something else sema kwa wale wazee wa zamani.. vijana kwa kweli tunakuwa hatuwaelewii kabisa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa nina show yao hao ... wamekamua mpaka watu wanalia[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]yaan sidhan kama watasahaulikaView attachment 1004875