Whitney Houston vs Celine Dion nani zaidi?

Mi nawaambia sio achaneni na Whitney Houston, Celine Dion hawezi kuimba high notes kama zile anazopita Beyonce.
 
Daah mkuu nenda milembe hahaa
rikiboy huyu ndugu yako kala maharage ya wapi aise ...

Sent using Jamii Forums mobile app[/USER]
 
Kitchen party..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nadhani ulizaliwa miaka ya 70 pambaneni na Whitney wenu huyoo wa zilipendwaa... Celine dions balaa linginee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa sasa tuzo gani zile hata majina hazina ... au ni ambazo alizokuwa anashinda wakati yupo High school !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu sasa ndo akalalee kabisa... Whitney was something else sema kwa wale wazee wa zamani.. vijana kwa kweli tunakuwa hatuwaelewii kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa huyo jamaa umeshampasia weed aise ..hahaa Celine kwa Whitney hapana ... lakini sio kwa hao sijui kina nani hawana hata uwezo robo wakumfikia hata huyo Celine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…