Who am I / Mimi ni nani?

Who am I / Mimi ni nani?

Hahahah umetisha Sana kipenz na pole Kwa usingizi kukuzingua.

Halafu ❤️ kuna watu wanaona nafaidi Sana Mimi kukuita kipenz,my love,❤️

Kwasababu

Naona kuna baadhi Yao now wanaanza kukuita My sweatheart, mrembo,mpenz ila Mimi nawazoom Tu

WHO AM I
Ila huyu Bujibuji Simba Nyamaume usimzuie mwache aniite atakavyo...nahisi nimeanza kumpenda kweli kweli....nasubiri kibubu kijae nikampose....naogopa nikisubiri yeye nitampoteza😂😂🙊
 
😂😂😂 usiseme ivo bhana....usituzoom tafadhali...mbona wewe uliposema unaoa nilitia neno la baraka jamani❤
Hahaha kuwazoom kwangu,namuazima awe na wewe Kwa mda Tu halafu I will take you back my love
 
Tahadhari! Mwandishi wa Uzi huu amejikuta anajiuliza yeye Ni Nani baada ya subconscious mind kuleta kumbukumbu kadhaa katika Maisha yake, kwahiyo anawaza Kwa sauti kubwa!!!

Nikiwa shule ya msingi nadhan Darasa la tano au la sita, wanafunzi wenzangu waliniambia huwa wanamuona Baba yangu kwa binti mmoja hivi,ingawa mpaka sasa hivi ninavyoandika ni mama yangu mdogo kwa maana aliolewa mke wa pili na Baba. Kwa umri ule ingetarajiwa ningeenda straight kumwambia mama au mtu mwingine yoyote Yule lakini sikufanya hivyo kabisa na hii Siri ndio naitoa Leo

Najikuta najiuliza WHO AM I

Kuna kipindi miaka ya 2003/4 nilienda na girlfriend wangu club,akaniaga anaenda washroom, akachukua Mda kidogo kurudi nikasema ngoja nitembee kidogo pale ukumbini,dah nikamuona ameshikwa makalio na mwamba kama wanakiss hivi. Nikapita kimya hakuniona,sikumuuliza chochote na tuliendelea Kula gudtime,nilikuja kumwambia siku nyingine kabisa,akabaki anajikanyaga Tu.

Najiuliza WHO AM I

Kuna kipindi nilikuwa na kirukuu / suzuk carry,nikampa jamaa mmoja aniletee hesabu,kumbe nae anatoa deiwaka bwana,aliyepewa deiwaka akapata ajali na alikuwa hajui gari vizur,nikaingia gharama na hasara Kwa matengenezo,huwezi amini jamaa hakuwahi kuomba msamaha hata kidogo,hakuonyesha kusikitika hata Kwa kinafiki,ni jamaa kutoka ilikodondoka Ile ndege hivi majuzi,nikajua huenda ni hulka zao,sikusema chochote wala kulalamika Kwa yeye kutoomba msamaha.

Najiuliza WHO AM I

Unaweza kunitukana au kunitamkia maneno ya hovyo hovyo nikakuangalia Tu na kujifanya kama hakuna kitu kilichotokea, na siweki kinyongo Rohoni

Najiuliza WHO AM I

Nahisi hata kama siku ikija kutokea Nikamfumania mama watoto wangu ingawa sipendi wala kufikiria kuja kutokea,sitarusha ngumi au kuleta fujo kwa yeyote yule isipokuwa kumpa talaka Tu Kwa roho Safi.

Najiuliza WHO AM I

Natambua kuna baadhi ya watu baada ya kusoma Uzi huu watakuja na comment za kejeli na matusi na Maneno ya ovyo ovyo lakini sitawajibu chochote kile na wala sitakwazika.

Najiuliza WHO AM I

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo Tu!
Mwenyewe unajiona umepitia changamoto,mie nikiweka zangu hapa utafuta uzi wako,maana hizi zako ni trela tu
 
Wewe ni humble man, nimetamani sana falsafa yako na kwa kiasi fulani niko kama wewe, binafsi huwa natamani kupoteza mimi kuliko apoteze mwingine.

Ila jitahidi sana usije ukatengeneza mazingira ya kumfumania mwenzi wako, hata kama mazingira yanaruhusu kwa asilimia 100 usiende kufumania. Labda ibidi kusiko wezekana.
Asante mkuu

Upo sahihi Sana,huwa tunapenda watu wengine wafurahi kuliko nafsi zetu kitu ambacho ni ubinadamu ingawa kuna wapuuzi wachache wanaweza kutake hiyo advantage.

Kikubwa ni kuwa na mipaka mtu akivuka huo mpaka unaonyesha msimamo wako.

Hapana siwezi kutengeneza mazingira hayo coz huwa sipend stress, ndio maana nawasifu Sana hawa wanao dukua Simu za wenza wao.

Huwa naamini kama kutakuwa na habar mbaya nitakuja kuipata tu
 
Tahadhari! Mwandishi wa Uzi huu amejikuta anajiuliza yeye Ni Nani baada ya subconscious mind kuleta kumbukumbu kadhaa katika Maisha yake, kwahiyo anawaza Kwa sauti kubwa!!!

Nikiwa shule ya msingi nadhan Darasa la tano au la sita, wanafunzi wenzangu waliniambia huwa wanamuona Baba yangu kwa binti mmoja hivi, ingawa mpaka sasa hivi ninavyoandika ni mama yangu mdogo kwa maana aliolewa mke wa pili na Baba. Kwa umri ule ingetarajiwa ningeenda straight kumwambia mama au mtu mwingine yoyote Yule lakini sikufanya hivyo kabisa na hii Siri ndio naitoa Leo

Najikuta najiuliza WHO AM I

Kuna kipindi miaka ya 2003/4 nilienda na girlfriend wangu club, akaniaga anaenda washroom, akachukua Mda kidogo kurudi nikasema ngoja nitembee kidogo pale ukumbini,dah nikamuona ameshikwa makalio na mwamba kama wanakiss hivi. Nikapita kimya hakuniona, sikumuuliza chochote na tuliendelea Kula gudtime, nilikuja kumwambia siku nyingine kabisa, akabaki anajikanyaga Tu.

Najiuliza WHO AM I

Kuna kipindi nilikuwa na kirukuu / suzuk carry, nikampa jamaa mmoja aniletee hesabu,kumbe nae anatoa deiwaka bwana, aliyepewa deiwaka akapata ajali na alikuwa hajui gari vizur, nikaingia gharama na hasara Kwa matengenezo, huwezi amini jamaa hakuwahi kuomba msamaha hata kidogo, hakuonyesha kusikitika hata Kwa kinafiki, ni jamaa kutoka ilikodondoka Ile ndege hivi majuzi, nikajua huenda ni hulka zao, sikusema chochote wala kulalamika Kwa yeye kutoomba msamaha.

Najiuliza WHO AM I

Unaweza kunitukana au kunitamkia maneno ya hovyo hovyo nikakuangalia Tu na kujifanya kama hakuna kitu kilichotokea, na siweki kinyongo Rohoni

Najiuliza WHO AM I

Nahisi hata kama siku ikija kutokea Nikamfumania mama watoto wangu ingawa sipendi wala kufikiria kuja kutokea, sitarusha ngumi au kuleta fujo kwa yeyote yule isipokuwa kumpa talaka Tu Kwa roho Safi.

Najiuliza WHO AM I

Natambua kuna baadhi ya watu baada ya kusoma Uzi huu watakuja na comment za kejeli na matusi na Maneno ya ovyo ovyo lakini sitawajibu chochote kile na wala sitakwazika.

Najiuliza WHO AM I

Kutoka kwangu ETUGRUL BEY

Ni hayo Tu!
Level of humanity Iko juu sana
 
Unaishi maisha mazuri sana.Ambayo napenda kuyaishi.
ni kutokuwa na matarajio makubwa kuelekea wengine. hii inasaidia hata return inapokuwa tofauti kutokujali.

Ukiishi hivi unakuwa na amani sana.
 
Back
Top Bottom