Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #21
Sawa my love,,,hata wakiendelea hakuna shida.😂😂😂wanapungua taratibu mbona....yaan taratibuuu mwisho utaona kimya ❤
Muhimu najua wewe ni mtu muhimu sana kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa my love,,,hata wakiendelea hakuna shida.😂😂😂wanapungua taratibu mbona....yaan taratibuuu mwisho utaona kimya ❤
Ila huyu Bujibuji Simba Nyamaume usimzuie mwache aniite atakavyo...nahisi nimeanza kumpenda kweli kweli....nasubiri kibubu kijae nikampose....naogopa nikisubiri yeye nitampoteza😂😂🙊Hahahah umetisha Sana kipenz na pole Kwa usingizi kukuzingua.
Halafu ❤️ kuna watu wanaona nafaidi Sana Mimi kukuita kipenz,my love,❤️
Kwasababu
Naona kuna baadhi Yao now wanaanza kukuita My sweatheart, mrembo,mpenz ila Mimi nawazoom Tu
WHO AM I
Barikiwa❤Sawa my love,,,hata wakiendelea hakuna shida.
Muhimu najua wewe ni mtu muhimu sana kwangu
Mimi sina neno kipenz...utanikuta pale nawazoom tuIla huyu Bujibuji Simba Nyamaume usimzuie mwache aniite atakavyo...nahisi nimeanza kumpenda kweli kweli....nasubiri kibubu kijae nikampose....naogopa nikisubiri yeye nitampoteza😂😂🙊
😂😂😂 usiseme ivo bhana....usituzoom tafadhali...mbona wewe uliposema unaoa nilitia neno la baraka jamani❤Mimi sina neno kipenz...utanikuta pale nawazoom tu
Shukrani mkuu nitakaribia pande hizo nipate marashi ya zanzibarndio najua unaelewa matokeo ya sensa yakoje kiujumla wako wengi kama vipi karbu sana huku upate chombo kizuri+tabia+uchapakazi
Baraka haiwezi kuwa baraka bila nywira[emoji23][emoji23][emoji23] usiseme ivo bhana....usituzoom tafadhali...mbona wewe uliposema unaoa nilitia neno la baraka jamani[emoji173]
Hahaha kuwazoom kwangu,namuazima awe na wewe Kwa mda Tu halafu I will take you back my love😂😂😂 usiseme ivo bhana....usituzoom tafadhali...mbona wewe uliposema unaoa nilitia neno la baraka jamani❤
Mwenyewe unajiona umepitia changamoto,mie nikiweka zangu hapa utafuta uzi wako,maana hizi zako ni trela tuTahadhari! Mwandishi wa Uzi huu amejikuta anajiuliza yeye Ni Nani baada ya subconscious mind kuleta kumbukumbu kadhaa katika Maisha yake, kwahiyo anawaza Kwa sauti kubwa!!!
Nikiwa shule ya msingi nadhan Darasa la tano au la sita, wanafunzi wenzangu waliniambia huwa wanamuona Baba yangu kwa binti mmoja hivi,ingawa mpaka sasa hivi ninavyoandika ni mama yangu mdogo kwa maana aliolewa mke wa pili na Baba. Kwa umri ule ingetarajiwa ningeenda straight kumwambia mama au mtu mwingine yoyote Yule lakini sikufanya hivyo kabisa na hii Siri ndio naitoa Leo
Najikuta najiuliza WHO AM I
Kuna kipindi miaka ya 2003/4 nilienda na girlfriend wangu club,akaniaga anaenda washroom, akachukua Mda kidogo kurudi nikasema ngoja nitembee kidogo pale ukumbini,dah nikamuona ameshikwa makalio na mwamba kama wanakiss hivi. Nikapita kimya hakuniona,sikumuuliza chochote na tuliendelea Kula gudtime,nilikuja kumwambia siku nyingine kabisa,akabaki anajikanyaga Tu.
Najiuliza WHO AM I
Kuna kipindi nilikuwa na kirukuu / suzuk carry,nikampa jamaa mmoja aniletee hesabu,kumbe nae anatoa deiwaka bwana,aliyepewa deiwaka akapata ajali na alikuwa hajui gari vizur,nikaingia gharama na hasara Kwa matengenezo,huwezi amini jamaa hakuwahi kuomba msamaha hata kidogo,hakuonyesha kusikitika hata Kwa kinafiki,ni jamaa kutoka ilikodondoka Ile ndege hivi majuzi,nikajua huenda ni hulka zao,sikusema chochote wala kulalamika Kwa yeye kutoomba msamaha.
Najiuliza WHO AM I
Unaweza kunitukana au kunitamkia maneno ya hovyo hovyo nikakuangalia Tu na kujifanya kama hakuna kitu kilichotokea, na siweki kinyongo Rohoni
Najiuliza WHO AM I
Nahisi hata kama siku ikija kutokea Nikamfumania mama watoto wangu ingawa sipendi wala kufikiria kuja kutokea,sitarusha ngumi au kuleta fujo kwa yeyote yule isipokuwa kumpa talaka Tu Kwa roho Safi.
Najiuliza WHO AM I
Natambua kuna baadhi ya watu baada ya kusoma Uzi huu watakuja na comment za kejeli na matusi na Maneno ya ovyo ovyo lakini sitawajibu chochote kile na wala sitakwazika.
Najiuliza WHO AM I
Kutoka kwangu ETUGRUL BEY
Ni hayo Tu!
😳oo God! Jaman...usifanye ivo ❤ plzzHahaha kuwazoom kwangu,namuazima awe na wewe Kwa mda Tu halafu I will take you back my love
Nywiraa??? Ndo nn mkuu? Mi sielewi kitu nieleweshe basBaraka haiwezi kuwa baraka bila nywira
Asante mkuuWewe ni humble man, nimetamani sana falsafa yako na kwa kiasi fulani niko kama wewe, binafsi huwa natamani kupoteza mimi kuliko apoteze mwingine.
Ila jitahidi sana usije ukatengeneza mazingira ya kumfumania mwenzi wako, hata kama mazingira yanaruhusu kwa asilimia 100 usiende kufumania. Labda ibidi kusiko wezekana.
Hahaha Yan unafikir huo mzigo WA kinyakyusa nitaucha kirahirahisi Tu oooh no my love!😳oo God! Jaman...usifanye ivo ❤ plzz
We embu futa comment hii,maana katika watu nawaaminigi ni swala 5 hawez kuchepuka ndo wewe...unaniangusha ETUGRUL BEYHahaha Yan unafikir huo mzigo WA kinyakyusa nitaucha kirahirahisi Tu oooh no my love!
Upo sahihi kipenz,siwezi kuchepuka ila namaanisha kuuchukua mzigo jumla bhana ingawa najua ni ngumu coz Dini ni kipengele Kati yetuWe embu futa comment hii,maana katika watu nawaaminigi ni swala 5 hawez kuchepuka ndo wewe...unaniangusha ETUGRUL BEY
Kwanini mkuu unasema hivyo?Nadhani uko kwenye transformation kuelekea kuwa serial killer
Level of humanity Iko juu sanaTahadhari! Mwandishi wa Uzi huu amejikuta anajiuliza yeye Ni Nani baada ya subconscious mind kuleta kumbukumbu kadhaa katika Maisha yake, kwahiyo anawaza Kwa sauti kubwa!!!
Nikiwa shule ya msingi nadhan Darasa la tano au la sita, wanafunzi wenzangu waliniambia huwa wanamuona Baba yangu kwa binti mmoja hivi, ingawa mpaka sasa hivi ninavyoandika ni mama yangu mdogo kwa maana aliolewa mke wa pili na Baba. Kwa umri ule ingetarajiwa ningeenda straight kumwambia mama au mtu mwingine yoyote Yule lakini sikufanya hivyo kabisa na hii Siri ndio naitoa Leo
Najikuta najiuliza WHO AM I
Kuna kipindi miaka ya 2003/4 nilienda na girlfriend wangu club, akaniaga anaenda washroom, akachukua Mda kidogo kurudi nikasema ngoja nitembee kidogo pale ukumbini,dah nikamuona ameshikwa makalio na mwamba kama wanakiss hivi. Nikapita kimya hakuniona, sikumuuliza chochote na tuliendelea Kula gudtime, nilikuja kumwambia siku nyingine kabisa, akabaki anajikanyaga Tu.
Najiuliza WHO AM I
Kuna kipindi nilikuwa na kirukuu / suzuk carry, nikampa jamaa mmoja aniletee hesabu,kumbe nae anatoa deiwaka bwana, aliyepewa deiwaka akapata ajali na alikuwa hajui gari vizur, nikaingia gharama na hasara Kwa matengenezo, huwezi amini jamaa hakuwahi kuomba msamaha hata kidogo, hakuonyesha kusikitika hata Kwa kinafiki, ni jamaa kutoka ilikodondoka Ile ndege hivi majuzi, nikajua huenda ni hulka zao, sikusema chochote wala kulalamika Kwa yeye kutoomba msamaha.
Najiuliza WHO AM I
Unaweza kunitukana au kunitamkia maneno ya hovyo hovyo nikakuangalia Tu na kujifanya kama hakuna kitu kilichotokea, na siweki kinyongo Rohoni
Najiuliza WHO AM I
Nahisi hata kama siku ikija kutokea Nikamfumania mama watoto wangu ingawa sipendi wala kufikiria kuja kutokea, sitarusha ngumi au kuleta fujo kwa yeyote yule isipokuwa kumpa talaka Tu Kwa roho Safi.
Najiuliza WHO AM I
Natambua kuna baadhi ya watu baada ya kusoma Uzi huu watakuja na comment za kejeli na matusi na Maneno ya ovyo ovyo lakini sitawajibu chochote kile na wala sitakwazika.
Najiuliza WHO AM I
Kutoka kwangu ETUGRUL BEY
Ni hayo Tu!