Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

Lkn ktk issue ya Mungu ni kuvuka mipaka mkuu ni kumkufuru haituhitaji sisi kumjadili unachotaka kujua ni kuwa yeye mwanzo na mwisho. Si zaidi ya hapo labda ugeukie sayansi na hitimisho lao lakuwa hakuna Mungu.
Kujiuliza kama kuna Mungu sio kosa

Kumtafuta Mungu sio kosa

Lakini wake ambao wanajiuliza maswali na kisha kukosa majibu bila kuzingatia kuwa hayo maswali wamejiuliza wao ambao huo uwezo wao wa kufikiri una umkomo halafu wakakosa majibu na kukosa kwao majibu wanahitimisha kuwa Mungu hayupo huo ndio ujing.a kuliko ujinga mwingine wowote!
 
unaokoa watu wewe ni nani? u mesiah or prophet. ww umeokolewa na nan ili utuokoe sisi

Halafu na mtu km wewe unaingia ktk Intelligence forum kuchangia hoja and someone who thinks you made a very good point anakupa "like".

Kweli binaadamu km wewe na wale trained dogs nani utasema ana sound and sharp mind?
 
Huu ndo uumbaji (process) na ambao hauna kasoro, proven scientifically !


thinky

' Na kwa yakini (huu ni uhakika !) tumemuumba mtu kwa asili ya udongo.

Kisha tukamjaalia awe tone la mbegu ya uzazi(manii) katika kalio madhubuti (mfuko wa uzazi)

Kisha tukaumba tone (la manii) kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu iliyoganda kuwa pande la nyama (kama lililotafunwa !), kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivisha nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwingine (kutoka kwa Adam na Hawa). Basi ametuka Mwenyezi Mungu, Mbora wa waumbaji.
Qur'an:23:12-14

Huu mchakato Bwana Yesu ameupitia !...............sasa Mungu anaumbwa !??:loco::der: thinky, mgen, ismael
 
Last edited by a moderator:
Huu ndo uumbaji (process) na ambao hauna kasoro, proven scientifically !


thinky

' Na kwa yakini (huu ni uhakika !) tumemuumba mtu kwa asili ya udongo.

Kisha tukamjaalia awe tone la mbegu ya uzazi(manii) katika kalio madhubuti (mfuko wa uzazi)

Kisha tukaumba tone (la manii) kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu iliyoganda kuwa pande la nyama (kama lililotafunwa !), kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivisha nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwingine (kutoka kwa Adam na Hawa). Basi ametuka Mwenyezi Mungu, Mbora wa waumbaji.
Qur'an:23:12-14

Huu mchakato Bwana Yesu ameupitia !...............sasa Mungu anaumbwa !??:loco::der: thinky, mgen, ismael
 
dah umefika mbali mno ndugu mie nilitaka upate kusikia mwawazo ya wakristo wenzako ili uwe na imani yene uhakika na iliyo thabit usiamini ukiwa bado una maswali ndio sababu ndani yenu hao atheitics huzuka pindi wanapoamua kujiuliza maswali na kukosa majibu ya maswali hayo rejea historia ya europe na kuzuka kwa makundi yanayo pinga dini mpaka leo dini(ukatoliki) hauna say mbele ya serikali

nimekuelewa ila na mimi ningependa kujua kwanin allah ana sifa za shetan wa kwenye bible? ila tuyaache hayo tuendelee na mada husika
 
Halafu na mtu km wewe unaingia ktk Intelligence forum kuchangia hoja and someone who thinks you made a very good point anakupa "like".

Kweli binaadamu km wewe na wale trained dogs nani utasema ana sound and sharp mind?

jibu swali langu acha bla bla
 
nimekuelewa ila na mimi ningependa kujua kwanin allah ana sifa za shetan wa kwenye bible? ila tuyaache hayo tuendelee na mada husika

dah! ila elimu popote ndugu nambie kitu kimoja allah ana sifa gani ambazo shetani anazo utakuwa umensaidia ndugu
 
son of GOD is GOD

dah kwa hyo yesu ni mwanawe mungu ani kama mimi alivyo baba yangu mzee rumanyika au vp sjakusoma apo ndugu. kama kigezo hana baba mbona hata hawa hana mama na adam hana wazazi mbona hatuwait miungu achen kukufuru ninyi.
tambua dini ndugu isome kwa mapana yake usikaririshwe vimistari vichache eti "apo mwanzo palikuwako neno naye neno alikuwa kwa mungu naye neno alikuwa mungu" be care hi para graph inadhihirisha c maneno yake yesu bali kuna mtu anayasema
 
kwaiyo kwenye yote yaliyopo na yaliyopta hyo tu ndo miujiza ya mungu. je vngne ambavyo vpo na hatuna uwezo navyo ni miujiza ya nani?

Hiyo ni mifano michache niliyokupa mungu anamiujiza mingi hata maungo yako yanavyofanya kazi pia ni sayansi kubwa na miujiza ya allah
 
sasa hapa wakristo wamekukosea nini? si uwaache na ubabaishaji wao?

wapo pia wanaoamini mungu ameumbwa na binadamu na wapo pia wanaoamini uislamu ni dini ya shetani, sasa kwa nini wewe ujione bora unachoamini kuliko wengine?

na usisahamu wapo wanaoamini kwamba dini ni uongo na ulaghai unaoelekea kupitwa na wakati.

akili za kiccm zimeharibu ubongo wako hadi umeoza.

Sasa hapa ccm wamekukosea nini? Si uwaache na uharibifu wao?
 
Twice as stupid! Hivi huu muda unaotumia kuropoka ujinga hapa ungeutumia kumuomba mungu asingekuongezea maarifa? Au angepunguza hata degree moja ya ukali wa moto wako jehanamu.
 
kaangalie nilichoandika tena afu tafakari
thinky........umeandika:mtoto wa kiume wa mungu naye ni mungu !.........yaani kuna mungu na mwanaye !
(son of God,is God).
Soma Qur'an: 23:12-14 uone mtoto anavyotengenezwa !
 
Well, if you accept that this is AN OPEN FORUM then I have the right to comment on anything I feel its appropriate to do so.

Now Please Answer my question and stop telling me what to ask or what to write or which question to Answer.

It is a concern that arose from your intrusion.
 
people in the world are of different thinking the world is not equal in thinking you cant see the world you hope to see and whatever happens in this sinful world will be judged according to thoughts of individuals and the seal of sabbath,people couldnt trust GOD if the world couldnt have pain and mysteries .life is endless life is a war fight a battle to enternal life GOD BLESS ALL

This does not answer the question I posed.

how about blind people you fool

Is it not ironic that despite your religiosity, insults flow freely from your mouth?
 
kwanini ngazi ya sante fe church of mexico imevunja law of equillibrium??




why oldonyo lengais molten magma is white and its only one in a world?

why the pawpaw tree with a pawpaw in ngorongoro crator never fall never rot years and years??


where is technology heading?

do animals believe on GOD or science??

jibu yote no blah i repeat no blah cc Free ideas

None of what you say here is valid.

This is what religion does to the human mind.
 
Back
Top Bottom