Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

Your line of questioning underlines the poor understanding of basic scientific concepts that plagues the faithful. This is a silly question, at best.

I cannot argue with you, Allah has placed a veil on your eyes and sealed your hearing... none can take it off you except him...better continue wondering in your contumacy, we shall meet on the day which there is no doubt! in sha Allah
 
Ushahidi wa Sisi kumuumba mungu upo wazi.Kamata hapa chini.....

Binadam anapofikia mwisho wake wa kufikiri ama kutatua tazizo,hapo ndipo neno mungu huibuka.mara ngapi tunasikia kauli kama,ehhh mungu ndo anajua bana!,ohh mungu kapanga!,au pale tunapopata majanga ambayo labda hayakutarajiwa ama vyovyote kauli za kumuumba mungu huwa zinajitokeza.Mfano katika ajali waliopona husema mungu hakupanga lakini walikufa hakuna asemaye mungu kawaua.


Lakini je ni nani anaweza kuthibitisha kwamba kuna mungu?,ama kwamba kuna nguvu flani inayohusika na kila kitu hapa duniani ama ulimwenguni?..Ni nani nalini mungu kaonekana ?.Nn hasa kinafanya watu wahisi ama wamtaje mungu huku wakiwa hawana uhakika na wakismacho?.

Jibu ni rahisi sana,kwamba ni UOGA,kutokana na uoga wetu basi cc ndo tunamumba mungu na kuamini kwamba lazima tu kutakuwa na nguvu flani.

Kuna siku humu niliwauliza kama mnajua kwa nn anaitwa MUNGU ASIYEONEKANA,na kwa nn aitwe hivyo ama kama mnaufaham kwamba lini neno hili(ASIYEONEKANA)lilianza kutumika .Kwa bahati mbaya sana hakuna aliyeweza kujibu na wote mlikwepa swali hilo na badala yake mnaanzisha maswali nyemelezi na kukwepa swali la msingi.Baadae mnaanza kisema hamjibiwi.


Nikawauliza pia iweje mungu(kama yupo) atuumbe halafu tusimjue?.Kwa nn tumtafute ama tumsome?.Nikawauliza pia kama mungu yupo ilikuwaje ustaarabu wa kwanza ulianza huku watu wakiabudu miungu ya kuchonga ama jua,mwezi na nyota?.Huyu mungu alikuwa wapi? Hakuna aliyejibu.Nikawaomba mnithibitishie uwepo wa mungu Out of Faith (swali rahisi kabisa lenye majibu mawili)mkashindwa.

Cha kushangaza ni kwamba dini zenu zinamuelezea mungu pale tu sayansi inapoonekana kushindwa kutatua jambo basi utasikia,, ni mungu pekee ndo anaejua".

Ninachoweza kuwaambia ni kwamba ,we have killed your Gods,(god of the sun,the moon,god of stars etc).We are on our way to kill your unseen god.And for sure we gonna kill him/it and succeed to make the Universal a free place to live without fears of nonsense as God .

Nikawaambia niambie japo matatizo mawili ambayo Religion imesove hapa duniani mpaka sasa,hakuna aliyejibu.
Nikawauliza kama mungu ni mwema iweje wazaliwe watoto vilema,walemavu?,wakiwa na sikoseli,au mnambie basi ilikuwaje mungu hakujua tatizo dogo kama Appendix linaweza kumuua mtu kwa nn hakulizuia wakati wa uumbaji?.Je bila operations kuondoa kifuko kile (sayansi) ingekuwaje?,je vitabu vya dini vimesemaje hapo?.Hakika havikusema chochote.

Nikawauliza lini mungu aliacha kuongea nawanadam live na kwa sababu gani hamkusema!,,Na nilitaka kujua pia kwa nn siku hizi manabii na mitume hakuna mkakaa kimya.Zamani za ujinga zimepita,ambapo mtu alikuwa anaweza kusema kirahisi kwamba katokewa na malaika pangoni ama popote kisha watu wakakubali.kwa sasa mtu akisema hivyo tunampima akili!,.ama tunampeleka wodi ya vichaa(mnajua kwa nn).
Nikawauliz aje ni watu wangapi mpaka ssa miaka hii wamesema wametokewa na malaika ama sijui yesu wakapuuzwa mkakosa jibu na kwanii walipuuzwa mkakosa cha kusema,narudia enzi za ujinga zimekwisha!.

Je ni nani mwenye uhakika kwamba mungu yupo??.ni nani kati yenu anaweza kusimama na kuthibitisha humu Jf kwamba mungu yupo?.Ukinambia nithibitishe kutokuwepo kwake ni simpo sabau hakuna ushahidi wa uwepo wake .Kitu kisichopo hakihitaji kuthibitisha kutokuwepo maana kingekuwepo hata hilo swali la kuthibitisha kutokuwepo kwake lisingekuwepo.

Kwa hiyo maelezo hayo juu yanatosha kueleza jinsi cc tunavomuumba mungu kimawazo,kimtazamo,kifikra,na uoga pia.
Kimsingi kuna maswali ambayo mwanadam akijiuliza haraka haraka na kukosa majibu yakinifu basi humalizia kwa kusema hakika kuna mungu.mfano

1.Kwa nn nipo/tupo na tulitoka wapi.
2.Kwa nn jua linatoka mashariki kwenda magaharibi kila siku

3.Kwa nn kuna kifo.
4.Kwa nn lazima tuzeeka
5.Uhai n nn?.(falsafa ya uhai.)
6.Kwa nn mimi /cc ni tofauti na wanyama.
7.Dunia ilitoka wapi?

Hayo ni baadhi ya maswali ambayo ni magumu kama mtu atajiuliza haraka haraka.basi mtu hujikuta anamuumba mungu akilini na hapo ndipo dini na imani zinapoanzia.

Lakini je ni kweli maswali hayo yanakosa majibu??.Hapana maswali hayo yote yanajibika katika sayansi na field zingine.


Katika uzi wangu fulani nilieleza maana ya dini kama vile niijuavyo mm lakini hapa ntaeleza piakw a faida ya wengi.
Dini ni utamaduni wakuabudu wa jamii flani.Dini sio lazima imtaje mungu(asiyeonekana),dini inahusu utamaduni na maisha ya jamii husika na mahala husika.Dini ,inabadilika na kukua kulingana na muda na mazingira,Dini inakuja kuhusisha IMANI katika Stage mojawapo ya ukuwaji wake. Dini haikuanza kwa kumtaja mungu kwamba ndiye muumbaji wa kila kitu.Dini ilianza kwa kuwatambiakia wazee na mambabu kimila.Na hii ilikiwa ni sehemu zote duniani.Ndo mana hata biblia inasema mababu akina Abraham ,yakobo ,isaka n.k.

Katika stage Flani dini zinakuja kuhusisha imani ambapo sasa dini zinawapa heshima wazee wa zamani huku zikikumbuka miungu waliyoiabudu hao wazee!..Taraatibu dini zinaanza kuchukua sura mpya na kuanza kumtaja mungu(lakini ni baadhi tu zinamtaja mungu asiyeonekana).Maana kuna dini zingine mpaka leo hazikuifuata Idea ya mungu ASIYEONEKANA
iliyopandikizwa baada ya jamii kuwa na miungu mipya karibu kila msimu.Naomba niishie hapo kwa sasa kuhusu dini.

Pia mlishindwa kunambia ilikuwaje mungu akasitisha muamrisha taifa fulani liue taifa fulani bila hatia.Je hamkubali kwamba dini zimereplasiwa na Seriali?.Kuna amri gani za kidini ambazo serikali haikatazi.

Haya karibuni....
 
Kuna jamaa yangu hakuwa mtu wa kanisan kama miaka kumi hv,majuzi hawa kidogo ajali iondoe uhai wake,sasa kila unachomwambia yeye n mungu tuu,anasema bila mungu angekufa,wakat waliomponya ni madaktar na wananchi,uoga ndio umetengeneza mungu,watu wanampenda mungu coz hawajuh wakifa wanaenda wapi
 
Kuna jamaa yangu hakuwa mtu wa kanisan kama miaka kumi hv,majuzi hawa kidogo ajali iondoe uhai wake,sasa kila unachomwambia yeye n mungu tuu,anasema bila mungu angekufa,wakat waliomponya ni madaktar na wananchi,uoga ndio umetengeneza mungu,watu wanampenda mungu coz hawajuh wakifa wanaenda wapi

Hili ndilo tatizo lenu

Mnajenga hoja kutoka kwa hoja dhaifu kama hizi kisha mnahitimisha kuwa kila mtu anaeamini uwepo wa Mungu anamawazo kama haya

Hili pekee tu linawafanya muonekane namna yenu ya kutafakari ina walakini,hakuna mtu makini anaeweza kuhitimisha kama nyie!
 
Hili ndilo tatizo lenu

Mnajenga hoja kutoka kwa hoja dhaifu kama hizi kisha mnahitimisha kuwa kila mtu anaeamini uwepo wa Mungu anamawazo kama haya

Hili pekee tu linawafanya muonekane namna yenu ya kutafakari ina walakini,hakuna mtu makini anaeweza kuhitimisha kama nyie!
Kwanza nataka nifahamishe waamin kuwa jehanam haipo huko.mnapopajua nyiny,jehanam ilikuwa ni eneo nje ya jerusalem ambapo takataka zlikuwa znachomwa moto hapo,kutokana na hilo.palikuwa na joto sana,na ndipo manabii na mitume walipoanza kuwatisha watu kuwa ukfanya dhambi unaenda jehanam,huu.ni uthibitisho kuwa dini ni uoga...karibu eiyer
 
Bila kuwa wanafiki,kwanza inatambulika kuwa waamin wa mungu uwezo wao ni mdogo darasan,pili ukiwa muamini chances za kuwa masikin znaongezeka,sasa niambie kama hapa dunian wasioamn wamewapga bao je leo nyie waamnin mkigundua kuwa huko mbinguni hakuna utenganisho wa waamin na wasio waaamn yaani wote mna haki sawa na kila kitu mtapata sawa,je wangap humu mtaendelea kumpenda mungu?
 
Kwanza nataka nifahamishe waamin kuwa jehanam haipo huko.mnapopajua nyiny,jehanam ilikuwa ni eneo nje ya jerusalem ambapo takataka zlikuwa znachomwa moto hapo,kutokana na hilo.palikuwa na joto sana,na ndipo manabii na mitume walipoanza kuwatisha watu kuwa ukfanya dhambi unaenda jehanam,huu.ni uthibitisho kuwa dini ni uoga...karibu eiyer

Huku Mtaani kuna hoteli inaitwa Nile

Ikipita miaka 2000 halafu mtu akaja na kusema kuwa hakukuwahi kuwa na mto unaoitwa Nile bali kulikuwa na hoteli iliyokuwa inaitwa Nile na ile hoteli ilikuwa na mambomba makubwa ambayo watu waliyafananisha mambomba hayo na mto na hicho ndicho kilichotokea mambomba yale kuitwa mto nile na hakujawahi kuwepo mto halisi ulioitwa hivyo,[halafu wakati huo kuwe hakuna ushahidi wa kuwahi kuwepo mto Nile ila upo wa kuwepo hoteli]

Je,huyo jamaa atakuwa yupo sahihi kwasababu tu hakuna ushahidi wa kisayansi wa uwepo wa mto Nile?

CC: Mkuu wa chuo Ishmael 2013 TanzaniaLaw Mutabaruka .......!!
 
Bila kuwa wanafiki,kwanza inatambulika kuwa waamin wa mungu uwezo wao ni mdogo darasan,pili ukiwa muamini chances za kuwa masikin znaongezeka,sasa niambie kama hapa dunian wasioamn wamewapga bao je leo nyie waamnin mkigundua kuwa huko mbinguni hakuna utenganisho wa waamin na wasio waaamn yaani wote mna haki sawa na kila kitu mtapata sawa,je wangap humu mtaendelea kumpenda mungu?
Tukiachana na porojo zilizoko kwenye haya maelezo yako kuna tatizo moja kubwa;

Hili hapa;
Kwanza unashindwa kujieleza vizuri kimaandishi hili ni tatizo la kwanza kuonesha vile uwezo wako ulivyo mdogo kiufahamu

Kama unashindwa tu kuandika sentensi tatu ambazo zinaweza kueleweka kwa msomaji,utaweza kutafakari na ukaweza kumuelewa Mungu wewe?
 
Huku Mtaani kuna hoteli inaitwa Nile

Ikipita miaka 2000 halafu mtu akaja na kusema kuwa hakukuwahi kuwa na mto unaoitwa Nile bali kulikuwa na hoteli iliyokuwa inaitwa Nile na ile hoteli ilikuwa na mambomba makubwa ambayo watu waliyafananisha mambomba hayo na mto na hicho ndicho kilichotokea mambomba yale kuitwa mto nile na hakujawahi kuwepo mto halisi ulioitwa hivyo,[halafu wakati huo kuwe hakuna ushahidi wa kuwahi kuwepo mto Nile ila upo wa kuwepo hoteli] atakuwa yupo sahihi?

CC: Mkuu wa chuo Ishmael 2013 TanzaniaLaw Mutabaruka .......!!

Hujanijibu
 
Last edited by a moderator:
Tukiachana na porojo zilizoko kwenye haya maelezo yako kuna tatizo moja kubwa;

Hili hapa;
Kwanza unashindwa kujieleza vizuri kimaandishi hili ni tatizo la kwanza kuonesha vile uwezo wako ulivyo mdogo kiufahamu

Kama unashindwa tu kuandika sentensi tatu ambazo zinaweza kueleweka kwa msomaji,utaweza kutafakari na ukaweza kumuelewa Mungu wewe?

1.inawezekana uelewa wangu ni mkubwa kiasi ambacho huwezi kuelewa mistari mitatu niliyoandika
2.kumbe mungu anahitaji uwezo flani wa akili ili kumjua?
nilijua nirahisi kujibu hoja za mtu mwenye uelewa mdogo lakin nashangaa hujajibu hoja
 
1.inawezekana uelewa wangu ni mkubwa kiasi ambacho huwezi kuelewa mistari mitatu niliyoandika
Duh ......!!
2.kumbe mungu anahitaji uwezo flani wa akili ili kumjua?
nilijua nirahisi kujibu hoja za mtu mwenye uelewa mdogo lakin nashangaa hujajibu hoja
Yaani wewe ndio unachekesha kweli

Kuvaa tu kiatu chako kunahitaji akili timamu sembuse kumjua yule aliyekuumba wewe?

Hii nayo ni kali aisee!
 
nilijua nirahisi kujibu hoja za mtu mwenye uelewa mdogo lakin nashangaa hujajibu hoja
Hapo kuna mawili

1;Inaweza ikawa ni ngumu sana kujibu hoja za mtu ambae ana uelewa mdogo kwakuwa kile ambacho anaandika hakieleweki,unawezaje kujibu kisichoeleweka

2;Inaweza kuwa ni rahisi sana kwakuwa hajui kujenga hoja

Kutokana na hayo mawili hapo inaonekana wewe unaangukia kwenye makundi yote mawili kwa nyakati tofauti!
 
No 638 hapo juu,uthibitisho kama.kuna jehanam inayoimbwa kwenye nje ya hiyo ya jerusalem

Hii sasa ni kazi

Kwanza sijajua hapa unasema nini
Unadai ushahidi au unadhani kuwa ulidai ushahidi kwenye kile ulichoandika?

Ulichoandika hiki hapa chini
Kwanza nataka nifahamishe waamin kuwa jehanam haipo huko.mnapopajua nyiny,jehanam ilikuwa ni eneo nje ya jerusalem ambapo takataka zlikuwa znachomwa moto hapo,kutokana na hilo.palikuwa na joto sana,na ndipo manabii na mitume walipoanza kuwatisha watu kuwa ukfanya dhambi unaenda jehanam,huu.ni uthibitisho kuwa dini ni uoga...karibu eiyer

Ni wapi ambapo kuna swali ambalo nilitakiwa nijibu?
Unajua swali ni kitu gani?

Ni wapi ambapo umedai uthibitisho wa Jehanam ambayo sisi tunaamini ipo?

Ndio maana nimema kuwa wewe una matatizo makubwa na hujayajua tu,huwezi kujieleza,huwezi kuandika kitu ikaeleweka vizuri,huwezi kuandika kwa kufuata kanuni za uandishi angalau hata kidogo

Wewe ndio umjue Mungu kweli?
 
Hapo kuna mawili

1;Inaweza ikawa ni ngumu sana kujibu hoja za mtu ambae ana uelewa mdogo kwakuwa kile ambacho anaandika hakieleweki,unawezaje kujibu kisichoeleweka

2;Inaweza kuwa ni rahisi sana kwakuwa hajui kujenga hoja

Kutokana na hayo mawili hapo inaonekana wewe unaangukia kwenye makundi yote mawili kwa nyakati tofauti!

Nadhani utakuwa unajishangaa mwenyewe,ingia google ikusaidie,jibu hoja,hata uni~attack vipi!bado hujafuta hoja pili kama huwezi kunielewa huo ni uthibitisho tosha kuwa una upeo mdogo
 
Mambo ya weekend hayo!!!! sijawahi waza hii kitu kabisa, nadhani kama jana ulipata NDOVU special Malt kwa wingi ndo unaweza kuwa na uwezo wa kuwaza hiyo kitu labda.
 
Huku Mtaani kuna hoteli inaitwa Nile

Ikipita miaka 2000 halafu mtu akaja na kusema kuwa hakukuwahi kuwa na mto unaoitwa Nile bali kulikuwa na hoteli iliyokuwa inaitwa Nile na ile hoteli ilikuwa na mambomba makubwa ambayo watu waliyafananisha mambomba hayo na mto na hicho ndicho kilichotokea mambomba yale kuitwa mto nile na hakujawahi kuwepo mto halisi ulioitwa hivyo,[halafu wakati huo kuwe hakuna ushahidi wa kuwahi kuwepo mto Nile ila upo wa kuwepo hoteli]

Je,huyo jamaa atakuwa yupo sahihi kwasababu tu hakuna ushahidi wa kisayansi wa uwepo wa mto Nile?

CC: Mkuu wa chuo Ishmael 2013 TanzaniaLaw Mutabaruka .......!!

sijuhi kama kuna mtu ataelewa ulichoandika,huna hoja
 
Back
Top Bottom