Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

Hii sasa ni kazi

Kwanza sijajua hapa unasema nini
Unadai ushahidi au unadhani kuwa ulidai ushahidi kwenye kile ulichoandika?

Ulichoandika hiki hapa chini


Ni wapi ambapo kuna swali ambalo nilitakiwa nijibu?
Unajua swali ni kitu gani?

Ni wapi ambapo umedai uthibitisho wa Jehanam ambayo sisi tunaamini ipo?

Ndio maana nimema kuwa wewe una matatizo makubwa na hujayajua tu,huwezi kujieleza,huwezi kuandika kitu ikaeleweka vizuri,huwezi kuandika kwa kufuata kanuni za uandishi angalau hata kidogo

Wewe ndio umjue Mungu kweli?

Kimekutajia bandiko ili uanzie hapo maana ni kama ilikurupuka kujibu,hapo nilieleza kabisa kuwa natoa taarifa sasa sijuh hujaelewa nini,maswali yalifuata.chini kutokana na taarifa,kuwa makini
 
Nadhani utakuwa unajishangaa mwenyewe,ingia google ikusaidie,jibu hoja,hata uni~attack vipi!bado hujafuta hoja pili kama huwezi kunielewa huo ni uthibitisho tosha kuwa una upeo mdogo

Ebanaeee ........!!
 
Mambo ya weekend hayo!!!! sijawahi waza hii kitu kabisa, nadhani kama jana ulipata NDOVU special Malt kwa wingi ndo unaweza kuwa na uwezo wa kuwaza hiyo kitu labda.

Kuna uthibitisho hapa kuwa hakuna jehanam.ya kidini,yaani hakuna mahali ambako soul inachomwa moto,sasa naona watu wanajifanya hawaoni,kama.hakuna jehanam basi watupe sababu kwanini wamemtengeneza mungu dhaifu
 
Kimekutajia bandiko ili uanzie hapo maana ni kama ilikurupuka kujibu,hapo nilieleza kabisa kuwa natoa taarifa sasa sijuh hujaelewa nini,maswali yalifuata.chini kutokana na taarifa,kuwa makini

Mwanzoni uliniambia kuwa maswali yapo hapo

Sasa unaniambia yalifuatia chini

Naanza kupata hisia kuwa nyie watu mnaopinga uwepo wa Mungu mna matatizo makubwa sana ya akili,hamjayajua tu

Kila la kheri!!
 
Kuna uthibitisho hapa kuwa hakuna jehanam.ya kidini,yaani hakuna mahali ambako soul inachomwa moto,sasa naona watu wanajifanya hawaoni,kama.hakuna jehanam basi watupe sababu kwanini wamemtengeneza mungu dhaifu
Unajua uthibitisho ni nini?

Kama unajua niambie!
 
Mwanzoni uliniambia kuwa maswali yapo hapo

Sasa unaniambia yalifuatia chini

Naanza kupata hisia kuwa nyie watu mnaopinga uwepo wa Mungu mna matatizo makubwa sana ya akili,hamjayajua tu

Kila la kheri!!

Takwimu zinasema watu wa mungu kama wewe mnauwezo mdogo sana ,sio daasan tu hata kufikiri.Kwa hiyo ni bora ukawa mpole tukupe somo kijana.Maana miungu yako ya jua,mwezi,nyota tushaiua amebaki huyo ASIYEONEKANA. Lakini nae hana muda.
 
Kama kuna anayeweza kumsaidia eiyer basi na aje,

Nishamzoea,ona anauliza maana ya Uthibitisho,yaaan ni majanga.Sasa kama hajui maana ya Uthibitisho anafanya nn humu?.Yeye huuliza maswali kutoka katika maswali aliyoulizwa hawezi kujibu kabisa.
 
Takwimu zinasema watu wa mungu kama wewe mnauwezo mdogo sana ,sio daasan tu hata kufikiri.Kwa hiyo ni bora ukawa mpole tukupe somo kijana.Maana miungu yako ya jua,mwezi,nyota tushaiua amebaki huyo ASIYEONEKANA. Lakini nae hana muda.

You are the dumbest here who can't even tell us whether you are the male of the female. So stop your nonsense and worship your Lucifer who is your deity and father.

PROVE TO ME THAT YOU ARE NOT A FEMALE?
 
Nishamzoea,ona anauliza maana ya Uthibitisho,yaaan ni majanga.Sasa kama hajui maana ya Uthibitisho anafanya nn humu?.Yeye huuliza maswali kutoka katika maswali aliyoulizwa hawezi kujibu kabisa.

Nithibitishei Hapa KUWA WEWE SIO Mwanamke? Wewe unatupapatikia ndio maana kila kukicha unafuta thread zetu.
 
Nithibitishei Hapa KUWA WEWE SIO Mwanamke? Wewe unatupapatikia ndio maana kila kukicha unafuta thread zetu.

Bado kuna hoja hazina majibu,naona.unataka kuanzisha.mengine
 
Kuna uthibitisho hapa kuwa hakuna jehanam.ya kidini,yaani hakuna mahali ambako soul inachomwa moto,sasa naona watu wanajifanya hawaoni,kama.hakuna jehanam basi watupe sababu kwanini wamemtengeneza mungu dhaifu

Those are your diabolical opinions and not facts. Read the infallible word you will find the answer in the Apocalypto. If you don't know where is the answer, then you are not my level.
 
Bado kuna hoja hazina majibu,naona.unataka kuanzisha.mengine

You don't know me young girl. When you talk to me you better respect yourself, I am not a thug from the ghettoes like you..
 
You don't know me young girl. When you talk to me you better respect yourself, I am not a thug from the ghettoes like you..

Duh,kweli mungu dhaifu anatengeneza viumbe dhaifu
 
Duh,kweli mungu dhaifu anatengeneza viumbe dhaifu

Your DEITY IS DEAD, ndio maana unatokwa POVU CHAFU. By the way, you can't even PROVE TO ME THAT YOU ARE NOT A WOMAN. So continue to keep your fiendish opinions to yourself and husband.
 
You are the dumbest here who can't even tell us whether you are the male of the female. So stop your nonsense and worship your Lucifer who is your deity and father.

PROVE TO ME THAT YOU ARE NOT A FEMALE?

Even if you attack me personally,haisaidii kuthibitisha mungu yupo.Ninachoona hapa ni udhaifu uliokufuru.Y do you want to know ma gender ?.Itakusaidia nn.Umeshindwa hoja sasa unaanza kuuluzia jinsia za watu.shame on you!!.

Sio wewe uliesema dunia haimuhitaji mungu ili iwepo?.
Ulishafumbwa akili kwa kujazwa uoga wa kisichokuwepo na kuuliza kwenu n kosa pole sana mtu wa mungu.
 
Nithibitishei Hapa KUWA WEWE SIO Mwanamke? Wewe unatupapatikia ndio maana kila kukicha unafuta thread zetu.

Kuwapapatikia ndo nn?.I see some kind of taarabu here.Are you one of those known as kanga moja?.Lini nimefuta thread zenu?,ama ulimaanisha kufuata,Sikia kijana huwa naitwa kayika thread huwa sifuati naona nakukera nakunyima hewa?.

Huwezi mjadala wewe uko weak sana.Hao unaowadanganya kwa kukopy na kupaste ni wenzako tu sio watu makini.
 
Kuwapapatikia ndo nn?.I see some kind of taarabu here.Are you one of those known as kanga moja?.Lini nimefuta thread zenu?,ama ulimaanisha kufuata,Sikia kijana huwa naitwa kayika thread huwa sifuati naona nakukera nakunyima hewa?.

Huwezi mjadala wewe uko weak sana.Hao unaowadanganya kwa kukopy na kupaste ni wenzako tu sio watu makini.

Bila google.hawawez kujenga hoja alaf wanakuja hapa.wanaishia ku~attack personality,mungu dhaifu anatengeneza viumbe dhaifu,huyu jamaa ni empty headd
 
Back
Top Bottom