Who created God? Who made him? Where did he come from?

Hiyo ni tisa kumi ni pale anapokuja kukuona wewe ambae umeamua kuyaamini hayo maandiko kuwa sio mtu wa tafakuri wakati habari ya kuchomekewa maneno hata yeye ameisoma kama wewe ulivyosoma maandiko na akaamini kuwa ni kweli yamechomekewa kama wewe ulivyoamini kuwa maandiko hayo ni kweli

Akinya kuku kanya lakini akinya bata kaharisha

Kaazi kweli kweli ...!!
 
GOD IS NOT A CREATION

That means the WHOLE THREAD is Fallacious and abortive.

THESE ARE HIS WORDS:

Isaiah 46:5 "To whom will you compare me, count me equal, or liken me, so that I may be compared?
 

Unafahamu kuwa huwezi jibu swali langu. TENA HATA MUNGU WAKO MAREHEMU DARWIN AJE HAPA, HATO WEZA JIBU SWALI LANGU.

SASA JIBU SWALI UNALO LIKIMBIA:

Are you are male or a female? PROVE IT TO ME THAT YOU ARE NOT A WOMAN.

Ni mwendo huo huo wa Fallacy bana. Fallacy inajibiwa na fallacy.
 

Mbona Hujathibitisha kwamba wewe n mmoja wa wale wamama wa kana moja.Ukithibithibitisha hilo basi nakujibu.Ukimaliza kumtaja marehem Darwin usisahau kumalizia na marehem yesu!.
 

Mkuu sio kubisha, naamini Yesu aliongea kwa mifano tu kwani Gehanoni ilikuwepo kabla ya kuja na idea ya jehanam au sio!?
 
Mkuu hujanisaidia bado, unapojibu swali unaanza na Intro, unakuja na Definition, kisha unazama kwenye jibu, na mwisho unatoa conclusion ya jibu lako. Sasa mkuu wewe umeniatack kama ugomvi! Sijakuelewa hasaa!

mkuu utawazoea,huwa hawajibu bali waanza kumshambulia mtu badala ya hoja,kuna mmoja humu mtu akitoa hoja yeye anamuuliza jinsia
 
GOD IS NOT A CREATION

That means the WHOLE THREAD is Fallacious and abortive.

THESE ARE HIS WORDS:

Isaiah 46:5 "To whom will you compare me, count me equal, or liken me, so that I may be compared?

Hatuko hapa kum~compare mungu wa kuumwa na kitu kingne,tunataka ajitokeze yeye binafsi au kupitia mahali pengine ili tujue kuwa yupo
 
Ni heri uamini uwepo wa Mungu na kufuata matendo yake yanayoagizwa kupitia mitume ambyo kimsingi yanapatikana ktk vitabu takatifu.. Na usimkute... Kuliko kutoamini mwisho wa siku ukamkuta.. Utajinyea ahahahaha.. Kiiman Mungu hajaumbwa na yeyote.. Yeye ndo alfa na omega... Hawez fananishwa na kitu chochote...
 

Yesu.wakati anaanza kuhubiri akiwa na 30th tayari neno jehanam lilikuwa maarufu,hata noah alipitia kipindi ambacho jehanam ya takataka ilikuwepo,kutokana na yesu kutumia jina jehanam basi leo kila mtu analeta ushuhuda kuwa kaenda jehanam na heaven,je stori hizo znaendana na uhalisia wa biblia?nadhan hapa mkuu wa chuo unajua naongelea nini,kama umefuatilia research za after life kubaliana na mimi haya yote ni ideas tuu bongo za watu zmeathrka na haya
 

Naomba waamin wenzako wakusahihishe maana unathibitisha kuwa mnaamini kwasababu ya uoga,hujuh ukfa unaenda wap,inaonyesha hata wewe hujuh kama yupo,ondoa uoga uwe huru
 
Sijakataa kwamba neno Jehanamu halikuwepo, ila nimekuwekea historia ya Jehanamu na kwanini Yesu alilitumia hilo neno, halafu kitu kingine inawezekana unachanganya haya maneno mawili KUZIMU na JEHANAMU, hivyo vitu viwili ni tofauti! pia kuna PARADISO na KUZIMU, lakini JEHANAMU ni tofauti na KUZIMU, sasa hao wanaoenda Jehanamu dah! hapo sijui...
 

Mkuu wa chuo,wakati nikiwa mkristo nilikuwa nawaambia watu kuwa sisi waamin tunamuaibisha mungu,matendo yetu hayaendan na idea ya mungu inavyopaswa awe,baada ya kujua kuwa hayupo leo naendelea kuona tatizo hilohilo,waamin wanamuibisha mungu wao mwenyewe ambaye kwangu siamn kama yupo,naomba ujibu maswali haya,
mungu ana roho chafu?kwanini kwenye kitabu cha isaya alimtuma roho huyo kumuingia mtawala?je kama mungu ndiye muumba kwanini asiwe responsible kwa maovu na magumu wanayopitia wanadam ikiwa kathbtsha kuwa chafu ni yeye anayewatumia watu?
 
hatakuwa sahihi...

Inawezekana neno Jehanum ilitokana na eneo la kuchomea taka lenye Jina hilo ama lugha ya kitu kinachoteetea ama vyovyote vile.. lakini Mungu akasema kuwa jehanum ya wenye dhambi ipo kupitia lugha ya watu husika ili waelewe. Sasa kutengeneza hisia kuwa jehanum haipo kwa hoja kuwa ni eneo fulani duniani..bado haina mashiko. Kwani watu wa wakati huo hawakuwa ignorance wasiweze kujua sehemu ya taka na jehanum halisi. Sio story ya kudanganya watoto wadogo.Jehanum ipo na hii tunapaswa kuiamini kwa mujibu wa Imani.
 

Jehanam ni nini?ukitoa tafsir halisi utagundua ni tofauti ya kidin
 
Jehanam ni nini?ukitoa tafsir halisi utagundua ni tofauti ya kidin
Mkuu sijaisoma maana halisi a hii kitu lakini nikitumia mainstream thinking and understanding ningeweza kusema ni moto unaounguza milele kwa wale watenda dhambi na shetani siku ya mwisho
 
Mkuu sijaisoma maana halisi a hii kitu lakini nikitumia mainstream thinking and understanding ningeweza kusema ni moto unaounguza milele kwa wale watenda dhambi na shetani siku ya mwisho

Si kweli kaka,jehanam lilikuwaga eneo nje ya lango la kuinglia jerusalem,hapo ndo taka zote za mji zlpokuwa znatupwa na kutokana na hili hzo taka zilikuwa znachomwa moto,sasa nadhani unaweza kutazamia moto.utokanao na taka na mji mzma,watu walipaogopa kutokana na joto kali la pale,sasa watumishi wa huyu aitwae mungu ndipo waliolpoanza kuwatisha watu kuwa ukifanya dhambi utaenda jehanam,kabla ya hapo hapakuwa na jehanam kwahyo jehanam ya kidin iliundwa kipind hicho,hakuna.jehanam hakuna heaven na hakuna mungu,KAMA YUPO NAOMBA UNIPE TOFAUTI TANO ZINAZOONEKANA KIMACHO KATI TA WEWE MUUMINI NA MIMI NISIYEAMINI
 
Mkuu swali gumu sana kwa Mungu asiyebagua..Emanuel.
Kwani huwaangazia jua lake wabaya kwa wema. Labda ujiulize wewe binafsi dhamiri yako haina shaka hata tone?
 

kwanza kabisa nashindwa kuelewa ulikuwa mkristo wa namna gani? kama umeshindwa kutofautisha kati ya JEHANAMU NA KUZIMU! unasema umegundua kwamba Mungu Hayupo hebu leta uthibitisho kama hayupo... ni sawa na Ishmael anavyowaambia kipofu anasema hakuna Mwezi utafanyaje kumthibitishia!? Nimekujibu swali kuhusiana na Jehanamu naona bado unang'ang'ania nalo kuuliza tena huko chini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…