Who created God? Who made him? Where did he come from?

Jehanamu nimekupa maelezo hapo juu ila naona bado umeng'ang'ania nalo sijui kwanini?
 
Hivi kweli hua unasoma hoja? au upo kwa ajili ya ligi?

Nmemuuliza hili swali mtu mwingine,kanielewa na nimemjibu huku chini,unataka kutofautosha jehanam na kuzimu,kinadharia hili ni eneo moja,ingawa watu wanatafsir kuzimu kama eneo ambalo shetani yupo kwa sasa kabla ya hukumu na mara nyingi wanasema ni chini ya bahari,jehanamu hiyo ni concept inayoelezea hatma ya maisha ya mwanadam
 
hahahahahahahah unazidi kunifurahisha, Ila sio tatizo watu wengi wanachanganya pia, kuna concept ya kujifunza kuhusiana na hilo, ngojea nikupe brief kidogo, angalau uwe na mwanga

KUZIMU tukirudi katika agano la kale ilitumiwa kama 'Ulimwengu wa wafu" au makao ya wafu

Matendo ya Mitume 2:27 Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.

Zaburi 16:10 Maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu.

Isaya 38:18 Kwa kuwa kuzimu hakuwezi kukusifu; mauti haiwezi kukuadhimisha; Wale washukao shimoni hawawezi kuitarajia kweli yako.


Jifunze kwanza kwa hapo...
 

Okay soma kwa makini Uelewe.
Wewe ni Mcha Mungu na unajua kama yupo na ninajua fika unaelewa sema bas tu haya ni maswali yako kwake yaliyokusumbua ufahamu wko mdogo wa Adam na Nyama.ila jua vitu vifuatavyo.

1.kwa ufahamu ulionao unaweza kuargue kutokana na Mazingira yaliyokuzunguka sasa apo sijui kama umetembea na Nchi nyingine kidogo,ukahudhuria na shule kidogo na Teknologia iliyokuzunguza basi from that Persepective u think u can stand infront of God and blasphem.

2.Mungu hawezi kujiprove mbele yako ,We nani?una nini?tumeona watu mashuhuri wenye nguvu watawala wenye malii nyingi na maarufu sana lakini walipiata,wakazikwa.Ni historia sasa.

3.Sikunyingine ukitaka kujisaidia kuheshimu muumba wako..mfikirie sisimizi unaemwona sakafuni mwa nyumbani kwako alafu fikiria kama sisimizii huyo akiwa anajaribu kuielewa duniani tu tunayoishi sisi mabara yote na bahari na watu na mimea kwa idadi yake Ataweza?hata akifanya utafiti maisha yake yote ambayo hayazidi wiki moja...Hataweza...basi jitafakari wewe na Ufahamu wa Kimungu utajua ulipopishana na Ukweli na kutubu..mwili unaouvaa haujaumbwa kupokea ufahamu huo na kuuelewa jitahidi basi usije ukakanyagwa kama vile wewe ulivyo na uwezo ya kumsinya sisimizi muda wowote umwonapo..

4.Ogopa hasira ya Mungu..hautaki ashindane na wewe.
 
Mbona Hujathibitisha kwamba wewe n mmoja wa wale wamama wa kana moja.Ukithibithibitisha hilo basi nakujibu.Ukimaliza kumtaja marehem Darwin usisahau kumalizia na marehem yesu!.


A NON-THEIST CONFESSION -GOD IS A COMPLICATED ENTITY
1. God is a complicated entity !!!!!
2. God requires a much more certificated explanation. !!!!!!!!!!!!!
3. Modern Physics can not explain God. !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
A NON-THEIST CONFESSION -GOD IS A COMPLICATED ENTITY
1. God is a complicated entity !!!!!
2. God requires a much more certificated explanation. !!!!!!!!!!!!!
3. Modern Physics can not explain God. !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hutanielewa kamwe


By...Free ideas..
 
A NON-THEIST CONFESSION -GOD IS A COMPLICATED ENTITY
1. God is a complicated entity !!!!!
2. God requires a much more certificated explanation. !!!!!!!!!!!!!
3. Modern Physics can not explain God. !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mi nilikwambia ulimwengu una mwanzo rahisi ambao unaelezeka lakini mungu wako haelezeki sasa ya nn kuumiza kicha.Na kama inakili kwamba ilimwengu una mwanzo rahisi unaoelezeka sasa mungu wa nn?


By...Free ideas..
 
Mi nilikwambia ulimwengu una mwanzo rahisi ambao unaelezeka lakini mungu wako haelezeki sasa ya nn kuumiza kicha.Na kama inakili kwamba ilimwengu una mwanzo rahisi unaoelezeka sasa mungu wa nn?


By...Free ideas..
Kwani Mungu ni kitu mpaka alelezeke.

You don't get it, don't you. Where did you get the notion that God is a thing or something that can be described? Where did you get the malarkey that God was Created?

By the way, Science says, the World evolved ex nihilo, and you can not prove that.
 
Mbona Hujathibitisha kwamba wewe n mmoja wa wale wamama wa kana moja.Ukithibithibitisha hilo basi nakujibu.Ukimaliza kumtaja marehem Darwin usisahau kumalizia na marehem yesu!.

Sasa umeanza kujifunza kuwa maswali yako SIO MALI KITU NA NI BUNCH OF MALARKEY. Eendelea kujifunza kwa kutumia rgument zangu, soon, NITAKUBATIZA.

LETE USHAIDI KUWA YESU NI MAREHEMU UCHEKWE NA UMMAH WA ALLAH.
 
Mi nilikwambia ulimwengu una mwanzo rahisi ambao unaelezeka lakini mungu wako haelezeki sasa ya nn kuumiza kicha.Na kama inakili kwamba ilimwengu una mwanzo rahisi unaoelezeka sasa mungu wa nn?


By...Free ideas..
unadhani ni rahisi ,
jibu hili swali
WE NI NANI??
 
Similarities between Non-theists and Muhammadans

EXHIBIT 1
Both Non-theists and Muhammadans deny the existence of God.
Islam:

  1. Allah: There is NO God but Allah, ……
Non theists:

  1. Darwinites: God does not exist,……


As you can see, both non-theists and Muslims deny the existence of God.




EXHIBIT 2
Both Non-theists and Muhammadans support evolutions:
Islam:

  1. Allah will change all Jews into Apes and Pigs…….
Non theists:

  1. Man evolved from Monkeys, …..


As you can see, both non-theists and Muhammadans dogma fallacies say humans are related to Primates.


EXHIBIT 3
Both Non-theists and Muhammadans hate Black Africans.
Islam:

  1. Prophet Muhammad said Black Africans looks like Satan….
Non theists:

  1. Black Africans are savages and less intelligent beings and should be eliminated.


As you can see, both non-theists and Muslims are racial profiling Black Africans.


EXHIBIT 4
Both Non-theists and Muhammadans hate Christians.
Islam:

  1. Allah: Do not make friendship with Christians and ….
Non theists:

  1. Kill all Christians who believe in God. Example Malicious killing of Christians at the time of USSR/Communists /Non theists Hate God.


As you can see, both non-theists and Muslims want to eliminate Christians.


EXHIBIT 5:
Both Non-theists and Muhammadans are diabolical cult and believe in dead prophets.
Islam:

  1. Prophet Muhammad died in the year…
Non theists:

  1. c darwin died in the year…..



As you can see, both non-theists and Muslims are diabolical cult that believe and follow dead humans.

 
Mi nilikwambia ulimwengu una mwanzo rahisi ambao unaelezeka lakini mungu wako haelezeki sasa ya nn kuumiza kicha.Na kama inakili kwamba ilimwengu una mwanzo rahisi unaoelezeka sasa mungu wa nn?


By...Free ideas..
ANOTHER SIMILARITY BETWEEN NON THEIST AND MUSLIMS:

Other similarities between Atheists and Muslims is that they persecute Christians by torturing and killing them as in the Communist, Nazis, socialist and Islamic countries were millions of Christians have been martyred for their faith. This is still going on in places where there is a majority of Muslims and socialist countries such as China today.
 

Wrong quote !
 

Thibitisha kwamba yupo!
 

IN RED: ushibitisho please kua unajua hayupo,ina maana una,uhakika 100%,una 'tangible and observable evidences'

IN BLUE: KAMA NI IMANI NTAKUA SINA SWALI TENA MKUU
 
Mi nilikwambia ulimwengu una mwanzo rahisi ambao unaelezeka lakini mungu wako haelezeki sasa ya nn kuumiza kicha.Na kama inakili kwamba ilimwengu una mwanzo rahisi unaoelezeka sasa mungu wa nn?


By...Free ideas..

in red; Huo mwanzo ulishindwa kututhibitishia badala yake ukatuletea nadharia zisizo na ushahidi wa kisayansi
 
The Easiest Question in the world. God was created by homo sapiens !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…