Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

Morality ya kibinadamu? ipi unayomaanisha? Toa mfano na unaweza kutumia analogy. Ndio Mungu ana upendo wote na uwezo wote, morality ipi haswa? ukisema "achilia mbali", "juu zaidi" hujaeleza kama mtu mwenye logic. Definition ya juu au chini inategemea na position wewe kama observer. Mwezi (moon) uko juu au chini? Haya twende na ntakukumbusha "morality ya kibidadamu" wakati muafaka ukifika.

Uhuru Kenyatta, binadamu tu, asiye na uwezo wote wala upendo wote, ametuhumiwa kushiriki katika mauaji Kenya huko watu wamemfungulia kesi ICC The Hague.

Mungu mnayemsema mwenye uwezo wote na ujuzi wote, anayeweza kuzuia vifo na mateso mara moja, ambaye hafanyi hivyo, mbona hata hasemwi vibaya kwa kutotumia uwezo wake kuepusha mabaya?

Naam, kwa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Hata Software Engineer wa kibinadamu anapotengeneza a software system, au engineer anapo tengeneza daraja, akiwa na uwezo wa kutengeneza daraja lisilovunjika au software system isiyocrash, halafu akatengeneza linalovunjika na kuua watu au system inayocrash na kuharibu habari za watu, tutam hold accountable.

Inakuwaje huyu mungu mwenye uwezo usio mpaka na upendo usio mithili asiwe held responsible kwa kuumba ulimwengu ambao maovu yanawezekana?

Hibi hili linaweza ku make sense?

Mungu ana uwezo wote, ana upendo wote, ana ujuzi wote, ukiwamo wa kuumba ulimwengu usio na mabaya, kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekani?
 
Uhuru Kenyatta, binadamu tu, asiye na uwezo wote wala upendo wote, ametuhumiwa kushiriki katika mauaji Kenya huko watu wamemfungulia kesi ICC The Hague.

Mungu mnayemsema mwenye uwezo wote na ujuzi wote, anayeweza kuzuia vifo na mateso mara moja, ambaye hafanyi hivyo, mbona hata hasemwi vibaya kwa kutotumia uwezo wake kuepusha mabaya?

Naam, kwa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Hata Software Engineer wa kibinadamu anapotengeneza a software system, au engineer anapo tengeneza daraja, akiwa na uwezo wa kutengeneza daraja lisilovunjika au software system isiyocrash, halafu akatengeneza linalovunjika na kuua watu au system inayocrash na kuharibu habari za watu, tutam hold accountable.

Inakuwaje huyu mungu mwenye uwezo usio mpaka na upendo usio mithili asiwe held responsible kwa kuumba ulimwengu ambao maovu yanawezekana?

Hibi hili linaweza ku make sense?

Mungu ana uwezo wote, ana upendo wote, ana ujuzi wote, ukiwamo wa kuumba ulimwengu usio na mabaya, kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekani?


BADO Haujathibitisha kuwa hakuna Mungu
 
Hata Software Engineer wa kibinadamu anapotengeneza a software system, au engineer anapo tengeneza daraja, akiwa na uwezo wa kutengeneza daraja lisilovunjika au software system isiyocrash, halafu akatengeneza linalovunjika na kuua watu au system inayocrash na kuharibu habari za watu, tutam hold accountable.

Huu mfano wako ni chaka ....

Iko hivi ....

Mtaalamu wa ujenzi anaweza kutengeneza daraja ambalo magari yanaweza kutumbukia mtoni japokuwa aliweza kujenga ambalo haliwezi kuvunjika,sababu za kujenge daraja la aina hii anazo

Lakini habari hii haiwezi kuishia hapo,huyu mtaalamu amejenga daraja,daraja ni mahali ambapo wanaweza kuvukawaenda kwa miguu na magari pia

Lakini huyu mtaalamu wa ujenzi amesema kuwa kwenye daraja hilolisipite gari zaidi ya lenye uzito wa tan 20 na akaweka watu wakasimama pale mwanzoni mwa daraja ili wawaambie watumia daraja angalizo lile

Lakini akaja mtu mmoja na gari la tan 60 akapita pale na kulivunja daraja kisha akatumbukia na kufa

Kati ya mjenzi wa daraja na huyu mtumiaji ni nani wa kutandikwa viboko?
 
Huu mfano wako ni chaka ....

Iko hivi ....

Mtaalamu wa ujenzi anaweza kutengeneza daraja ambalo magari yanaweza kutumbukia mtoni japokuwa aliweza kujenga ambalo haliwezi kuvunjika,sababu za kujenge daraja la aina hii anazo

Lakini habari hii haiwezi kuishia hapo,huyu mtaalamu amejenga daraja,daraja ni mahali ambapo wanaweza kuvukawaenda kwa miguu na magari pia

Lakini huyu mtaalamu wa ujenzi amesema kuwa kwenye daraja hilolisipite gari zaidi ya lenye uzito wa tan 20 na akaweka watu wakasimama pale mwanzoni mwa daraja ili wawaambie watumia daraja angalizo lile

Lakini akaja mtu mmoja na gari la tan 60 akapita pale na kulivunja daraja kisha akatumbukia na kufa

Kati ya mjenzi wa daraja na huyu mtumiaji ni nani wa kutandikwa viboko?

Kwa nini mtaalam ambaye ana uwezo wote na upendo wote wa kujenga daraja lisilovunjika ajenge daraja linalovunjika?
 
Morality ya kibinadamu? ipi unayomaanisha? Toa mfano na unaweza kutumia analogy. Ndio Mungu ana upendo wote na uwezo wote, morality ipi haswa? ukisema "achilia mbali", "juu zaidi" hujaeleza kama mtu mwenye logic. Definition ya juu au chini inategemea na position wewe kama observer. Mwezi (moon) uko juu au chini? Haya twende na ntakukumbusha "morality ya kibidadamu" wakati muafaka ukifika.

Duh ......

Watu mna reason .......

CC: Mkuu wa chuo !
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini mtaalam ambaye ana uwezo wote na upendo wote wa kujenga daraja lisilovunjika ajenge daraja linalovunjika?

Jibu kwanza nilichokuuliza kabla ya kuuliza swali

Majibu ya swali lako ninayo ,kwanza nijibu kwakuwa nimeanza kukuuliza ...!!
 
Ni bora uka amini mungu yupo hata siku ukienda uka mkuta hayupo huna shida kuliko kuamini hayupo afu ukaenda uka mkuta yupo...
 
Ishmael huyo hutamuweza na mtu yeyote anayepinga kwamba hakuna Mungu huyo ni wa kumuacha tu

kumuacha sio suluhisho na utakuwa hujamsaidia kitu; suala la msingi ni kumuelesha na kumpa ushahidi juu ya uwepo wa Mungu.
cc Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Jibu kwanza nilichokuuliza kabla ya kuuliza swali

Majibu ya swali lako ninayo ,kwanza nijibu kwakuwa nimeanza kukuuliza ...!!

Swali lako linaeleza mjenga daraja anayeweka limitations, kwa nini aweke limitations ya magari ya tani fulani tu yapite kwenye daraja wakati ana uwezo wa kujenga daraja linaloweza kubeba magari bila limitations?

Magufuri angeweka limitations ningeelewa, kwa sababu ujenzi wake wa barabara una human limitations, hawezi kujenga barabara na daraja linaloweza kubeba magari ya uzito wowote.

Huyu mungu mwenye uwezo wa kujenga daraja linaloweza kubeba gari la uzito wowote, kwa nini anajenga daraja lenye udhaifu kwa maana ya kwamba linaweza kubeba gari lenye uzito fulani tu? Kwa nini karuhusu ulimwengu wake uruhusu udhaifu huu kama ana uwezo wa kuumba ulimwengu usio na udhaifu huu?

Ina maana ana roho mbaya? Ana uwezo wa kujenga daraja ambalo linaweza kubeba gari la uzito wowote lakini anatubania tu?

Au hana roho mbaya anatamani aweze kujenga daraja hilo lakini ukweli ni kwamba hawezi?
 
kumuacha sio suluhisho na utakuwa hujamsaidia kitu; suala la msingi ni kumuelewa na kumpa ushahidi juu ya uwepo wa Mungu.
cc Kiranga

Asante sana.

Na mpaka sasa swali langu la "problem of evil" halijajibiwa kimantiki.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote ameruhusu ulimwengu wake uweze kuwa na mabaya?

Je, aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani lakini hakutaka tu? Kama ni hivyo, basi mungu hana upendo wote na ni roho mbaya kiasi cha kutupwa.

La, alitaka kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezelani lakini hakuweza? Kama ni hivyo, basi mungu hawezi kila kitu, kwa maana alitaka kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya lakini akashindwa.

Vyovyote kati ya hivyo viwili, kwa mujibu wa dunia yetu hii ikivyo, haiwezi kuwa imeumbwa na mungu muweza yote na mwenye upendo wote.
 
Last edited by a moderator:
Swali lako linaeleza mjenga daraja anayeweka limitations, kwa nini aweke limitations ya magari ya tani fulani tu yapite kwenye daraja wakati ana uwezo wa kujenga daraja linaloweza kubeba magari bila limitations?

Magufuri angeweka limitations ningeelewa, kwa sababu ujenzi wake wa barabara una human limitations, hawezi kujenga barabara na daraja linaloweza kubeba magari ya uzito wowote.

Huyu mungu mwenye uwezo wa kujenga daraja linaloweza kubeba gari la uzito wowote, kwa nini anajenga daraja lenye udhaifu kwa maana ya kwamba linaweza kubeba gari lenye uzito fulani tu? Kwa nini karuhusu ulimwengu wake uruhusu udhaifu huu kama ana uwezo wa kuumba ulimwengu usio na udhaifu huu?

Ina maana ana roho mbaya? Ana uwezo wa kujenga daraja ambalo linaweza kubeba gari la uzito wowote lakini anatubania tu?

Au hana roho mbaya anatamani aweze kujenga daraja hilo lakini ukweli ni kwamba hawezi?

Hivi hukuelewa kile ambacho nimekuambia Kiranga?

Ngoja nirudie maana unaweza kuwa unaelewa kwa taratibu sana

Nimekuambia kuwa,hili swali lako nimeliona na nina majibu,lakini kabla ya wewe kuuliza nilikuwa tayari nimeshakuuliza swali ambalo hadi sasa hujajibu

Ninachokuomba ni wewe kujibu swali langu ambalo limetangulia kabla ya swali lako kisha na mimi nitakujibu lako,mbona ni maelezo rahisi sana hayo?

Haya nijibu ....!!
 
Hivi hukuelewa kile ambacho nimekuambia Kiranga?

Ngoja nirudie maana unaweza kuwa unaelewa kwa taratibu sana

Nimekuambia kuwa,hili swali lako nimeliona na nina majibu,lakini kabla ya wewe kuuliza nilikuwa tayari nimeshakuuliza swali ambalo hadi sasa hujajibu

Ninachokuomba ni wewe kujibu swali langu ambalo limetangulia kabla ya swali lako kisha na mimi nitakujibu lako,mbona ni maelezo rahisi sana hayo?

Haya nijibu ....!!

Nimekuonyesha msingi mbovu wa swali lako.

Umemshusha mungu wako na kumlinganisha na Magufuri.

Mungu wako ni sawa na Magufuri?

Au ana uwezo wote?

Kama mungu wako ni sawa na Magufuri na hana uwezo wote, nipo tayari kujibu swali lako.

La, kama mungu wako ana uwezo wote, na hivyo si sawa na Magufuri, your analogy is totally wrong.

Kwa sababu imejengwa katika mfano wa Magufuri, si wa mungu muweza yote.
 
Nimekuonyesha msingi mbovu wa swali lako.
Hapana,swali nangu halina msingi mbovu kwasababu zaidi ya moja

1;Nina majibu ya swali lako
2;Msingi wa swali langu sio huo
Umemshusha mungu wako na kumlinganisha na Magufuri.

Mungu wako ni sawa na Magufuri?

Au ana uwezo wote?

Kama mungu wako ninsawa na Magufuri na hana uwezo wote, nipo tayari kujibu swali lako.

La, kama mungu wako ana uwezo.wote, na hivyo si sawa na Magufuri, your analogy is totally wrong.

Kwa sababu imejengwa katika mfano wa Magufuri, si wa mungu muweza yote.

Hakuna kati ya haya uliyoandika hapo nililoliandika

Kwasababu hiyo,yota haya yanabaki kuwa ni ndoto zako mwenyewe

Bado nakuuliza kama unaweza kulijibu swali langu ma ahuwezi ...!!
 
Uhuru Kenyatta, binadamu tu, asiye na uwezo wote wala upendo wote, ametuhumiwa kushiriki katika mauaji Kenya huko watu wamemfungulia kesi ICC The Hague.

Mungu mnayemsema mwenye uwezo wote na ujuzi wote, anayeweza kuzuia vifo na mateso mara moja, ambaye hafanyi hivyo, mbona hata hasemwi vibaya kwa kutotumia uwezo wake kuepusha mabaya?

Naam, kwa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Hata Software Engineer wa kibinadamu anapotengeneza a software system, au engineer anapo tengeneza daraja, akiwa na uwezo wa kutengeneza daraja lisilovunjika au software system isiyocrash, halafu akatengeneza linalovunjika na kuua watu au system inayocrash na kuharibu habari za watu, tutam hold accountable.

Inakuwaje huyu mungu mwenye uwezo usio mpaka na upendo usio mithili asiwe held responsible kwa kuumba ulimwengu ambao maovu yanawezekana?

Hibi hili linaweza ku make sense?

Mungu ana uwezo wote, ana upendo wote, ana ujuzi wote, ukiwamo wa kuumba ulimwengu usio na mabaya, kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekani?

Unasema ulimwengu huu umeumbwa vibaya. Hapana ulimwengu umeumbwa vizuri tu na uwezo wetu mdogo wa kutambua unatufanya tuegemee upande mmoja na tusione lile kusudio la msingi. Engineer katengeneza Daraja akiwa na lengo zuri watu wapite juu yake waende upande mwingine. Lengo ni kupita kwenda upande mwingine na Daraja ni zuri wala halina nyufa. Kawaambia watu lengo ni kupita na kwenda upande mwingine lakini msikae darajani wala kuongeza uzito usiohitajika. Watu wamepita darajani wakafika kati wakakaa hapo na wengine wakaleta zege na kujenga minara juu yake. Sasa daraja limevunjika na wale waliojenga minara wanadai kwa nini engineer hakujenga daraja ambalo halivunjiki? Wanasahau kwamba wao wako accountable kwa uvunjaji kwa kuwa walijenga minara.

Wanataka daraja lisilovunjika ili wajenge minara (dhambi) wakakae juu, Je hili ni lengo la engineer?

Mfua vyuma katengeneza kisu kizuri cha kukata nyanya na matunda na kaandika label ya matumizi yake. Shababi kakinunua na kaenda kumdhuru jirani yake. Sasa Kiranga anam hold accountable mfua vyuma kwa kuwa hakutengeneza kisu kinachokata nyanya tu na anasema shababi kwa kuwa hajui kufua chuma hana kosa lolote. Duh!

Tumepewa free will, ili tuamue bila kushinikizwa. Tumeitumia vibaya. Where is our responsibility? Kwa nini kila kitu msumkumie Mungu wewe kama binadamu umefanya nini kwa wenzio?

Wewe kama binadamu unatenda mabaya (rape, genocide, etc) Unataka Mungu aingilie kati siyo? Unasema si ana uwezo wote? Hapo jukumu lako ni nini kama mwanadamu? Mungu si anatupenda? atupe tu uhuru wa kuchagua tufanye tutakalo na tukikosea itakuwa ni juu yake. Hii hii ni karibu na upumbavu na inaweza kuwa kama hivi "Sisi ndio binadamu bwana why being responsible for anything".

MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOJIPENDA MWENYEWE does this ring a bell to Human Morality?
 
Back
Top Bottom