Ni bora uka amini mungu yupo hata siku ukienda uka mkuta hayupo huna shida kuliko kuamini hayupo afu ukaenda uka mkuta yupo...
Nini malengo ya kuni quote?
Umejuaje kuna malengo na si malenga?
Unasema ulimwengu huu umeumbwa vibaya. Hapana ulimwengu umeumbwa vizuri tu na uwezo wetu mdogo wa kutambua unatufanya tuegemee upande mmoja na tusione lile kusudio la msingi. Engineer katengeneza Daraja akiwa na lengo zuri watu wapite juu yake waende upande mwingine. Lengo ni kupita kwenda upande mwingine na Daraja ni zuri wala halina nyufa. Kawaambia watu lengo ni kupita na kwenda upande mwingine lakini msikae darajani wala kuongeza uzito usiohitajika. Watu wamepita darajani wakafika kati wakakaa hapo na wengine wakaleta zege na kujenga minara juu yake. Sasa daraja limevunjika na wale waliojenga minara wanadai kwa nini engineer hakujenga daraja ambalo halivunjiki? Wanasahau kwamba wao wako accountable kwa uvunjaji kwa kuwa walijenga minara.
Wanataka daraja lisilovunjika ili wajenge minara (dhambi) wakakae juu, Je hili ni lengo la engineer?
Mfua vyuma katengeneza kisu kizuri cha kukata nyanya na matunda na kaandika label ya matumizi yake. Shababi kakinunua na kaenda kumdhuru jirani yake. Sasa Kiranga anam hold accountable mfua vyuma kwa kuwa hakutengeneza kisu kinachokata nyanya tu na anasema shababi kwa kuwa hajui kufua chuma hana kosa lolote. Duh!
Tumepewa free will, ili tuamue bila kushinikizwa. Tumeitumia vibaya. Where is our responsibility? Kwa nini kila kitu msumkumie Mungu wewe kama binadamu umefanya nini kwa wenzio?
Wewe kama binadamu unatenda mabaya (rape, genocide, etc) Unataka Mungu aingilie kati siyo? Unasema si ana uwezo wote? Hapo jukumu lako ni nini kama mwanadamu? Mungu si anatupenda? atupe tu uhuru wa kuchagua tufanye tutakalo na tukikosea itakuwa ni juu yake. Hii hii ni karibu na upumbavu na inaweza kuwa kama hivi "Sisi ndio binadamu bwana why being responsible for anything".
MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOJIPENDA MWENYEWE does this ring a bell to Human Morality?
Kwa.minajili hiyo hiyo...
Ni bora ukaamini Kiranga ndiye mungu na kumpa sadaka halafu ukifa ukakuta si mungu, kuliko kuamini mungu hayupo halafu ukafa ukamkuta Kiranga ndiye mungu.
Haya, nipe sadaka zangu basi.
The unexamined life is not worth living.
Hapana,swali nangu halina msingi mbovu kwasababu zaidi ya moja
1;Nina majibu ya swali lako
2;Msingi wa swali langu sio huo
Hakuna kati ya haya uliyoandika hapo nililoliandika
Kwasababu hiyo,yota haya yanabaki kuwa ni ndoto zako mwenyewe
Bado nakuuliza kama unaweza kulijibu swali langu ma ahuwezi ...!!
Kujua ni nini na kuamini ni nini?
Sitaki kuamini, nataka kujua.
Nionyeshe jibu ni moja kivipi?
hili swali lirudi kwako hapa ulitaka kujua sio kuamini haya nipe maana kujua ni nini na kuamini ni nini kulingana na maneno yako haya nipe??
Hujajibu swali.
Kwangu mimi, kujua ni ndoto, kuamini ni ujinga.
ndoto ni nini?
ujinga ni nini ??
Asante sana.
Na mpaka sasa swali langu la "problem of evil" halijajibiwa kimantiki.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote ameruhusu ulimwengu wake uweze kuwa na mabaya?
Je, aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani lakini hakutaka tu? Kama ni hivyo, basi mungu hana upendo wote na ni roho mbaya kiasi cha kutupwa.
La, alitaka kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezelani lakini hakuweza? Kama ni hivyo, basi mungu hawezi kila kitu, kwa maana alitaka kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya lakini akashindwa.
Vyovyote kati ya hivyo viwili, kwa mujibu wa dunia yetu hii ikivyo, haiwezi kuwa imeumbwa na mungu muweza yote na mwenye upendo wote.
There you are!!
Kwa mfano, nini chanzo cha dhambi(uovu?)
Yaani anayesababisha kuwe na dhambi ni nani?
Tunaambiwa kuwa binadamu wa kwanza Adamu na Eva walishawishiwa na shetani ili kufanya dhambi, na hivyo shetani ndiye baba wa uovu, Je, Shetani yeye alishawishiwa na nani kutenda dhambi ya uasi?,
Na kama Mungu alijua kuwa Shetani atakuja kuasi na kuwa mhimili wa maovu, kwa nini alimuumba?, Tukisema Mungu ndiye baba wa uovu kwa kuwa alimuumba iongozi wa uovu tutakuwa tumekosea?
Ishmael Eiyer tunataka ufafanuzi.
Na kabla ya shetni kuwapo, mungu alipokuwa anaumba ulimwengu, je alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao uovu hauwezekaniki?
Au hakuwa na uwezo huo?
Kama alikuwa na uwezo huo, na hakuumba ulimwengu huo, je ni kweli ana upendo wote?
Kama.hakuwa na uwezo huo, je, ni kweli kwamba ana uwezo wote?
Je ni kweli mungu anasikia tukimwomba?
Mungu wako Magufuri?
Je, ni kweli kwamba mungu huyu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo?
Au ni hadithi tu za mapokeo?
Na kabla ya shetni kuwapo, mungu alipokuwa anaumba ulimwengu, je alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao uovu hauwezekaniki?
Au hakuwa na uwezo huo?
Kama alikuwa na uwezo huo, na hakuumba ulimwengu huo, je ni kweli ana upendo wote?
Kama.hakuwa na uwezo huo, je, ni kweli kwamba ana uwezo wote?
Ndoto ni taswira isiyo na uhalisia, ujinga ni kutokujua usahihi.
There you are!!
Kwa mfano, nini chanzo cha dhambi(uovu?)
Yaani anayesababisha kuwe na dhambi ni nani?
Tunaambiwa kuwa binadamu wa kwanza Adamu na Eva walishawishiwa na shetani ili kufanya dhambi, na hivyo shetani ndiye baba wa uovu, Je, Shetani yeye alishawishiwa na nani kutenda dhambi ya uasi?,
Na kama Mungu alijua kuwa Shetani atakuja kuasi na kuwa mhimili wa maovu, kwa nini alimuumba?, Tukisema Mungu ndiye baba wa uovu kwa kuwa alimuumba iongozi wa uovu tutakuwa tumekosea?
Ishmael Eiyer tunataka ufafanuzi.
Before we even get to those very pertinent questions, I've got a question of my own.
How did god himself come about in the first place?