Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

usilitaje bure jina la mungu wako hayo ni maandiko yanavyosema sana naona watu wengi wamekosa imani yakujuwa uwepo wa mungu sasa endeleeni kutenda dhambi namkumbuke kuwa mshahara wa dhambi ni mauti
 
hzi mada nyingne wala cyo nzurI kuzfuatilia cha msingI tuachE munGU aitwe mungU..
 
Hili jukwaa bana! Mnali-misuse kichizi. Nani aliwaambia Intelligence ni kuongelea mambo ya Mungu?!
 
Na wewe uliyeuliza hilo swali ukaamini kabisa hilo jibu utapewa humu.
Kaa tulia ongea na Mungu wako au fuata unachokiamini wewe basi.

Kila mtu atakujibu anavyoona yeye maana kila mtu anaamini atakacho yeye!!
 
Hili jukwaa bana! Mnali-misuse kichizi. Nani aliwaambia Intelligence ni kuongelea mambo ya Mungu?!

Kwani kuna ubaya gani kuongelea na kumjadili Mungu,....mmmmmmmh?
 
Mungu unaweza mjua yupo kwa Facts nyingi sana......Mfano Mdogo tu wa ku DEmonstrate,Kwani wewe ulisha wahi kuuona upepo???? unajuaje upo???

Ukipata majibu hapo unaweza anza kuwa na idea ya Jibu la swali lako......
upepo unapimwa na unajulikana kuwa una blow that why una produce some of effects like electricity so huu tuna uhakika upo, mungu nae unathibitishaje kuwa yupo??
 
Tunajua kitu kipo kwa sababu ya Effect yake ....kwa mfano upepo upo sio kwa sababu unausikia tu ila ni kwa sababu ya effects zake zitokanazo nao....likewise MUngu naye yupo japokuwa hujamwona ila yupo kwa sababu ya Effect ya uwepo wake ie Creation,Universe etc
 
Tunajua kitu kipo kwa sababu ya Effect yake ....kwa mfano upepo upo sio kwa sababu unausikia tu ila ni kwa sababu ya effects zake zitokanazo nao....likewise MUngu naye yupo japokuwa hujamwona ila yupo kwa sababu ya Effect ya uwepo wake ie Creation,Universe etc @Parcel
 
Iam God beside me there is none maswali mengine ni kupoteza muda tu
 
Tunajua kitu kipo kwa sababu ya Effect yake ....kwa mfano upepo upo sio kwa sababu unausikia tu ila ni kwa sababu ya effects zake zitokanazo nao....likewise MUngu naye yupo japokuwa hujamwona ila yupo kwa sababu ya Effect ya uwepo wake ie Creation,Universe etc @Parcel


thibitisha...
 
usilitaje bure jina la mungu wako hayo ni maandiko yanavyosema sana naona watu wengi wamekosa imani yakujuwa uwepo wa mungu sasa endeleeni kutenda dhambi namkumbuke kuwa mshahara wa dhambi ni mauti


huu ndio uzezeta ambao kwa sasa wanadamu wameanza kuustukia...
 
hzi mada nyingne wala cyo nzurI kuzfuatilia cha msingI tuachE munGU aitwe mungU..


kwi kwi kwi na siku ya mwisho atarudi kuwahukumu wasioburuzwa...mi naomba tu akija ajoitokeze na aonekane, ila akija misimamo yake ya kutokuonekana hatomhukumu mtu. Maana umeme, upepo, sauti navyo havionekani pia
 
Back
Top Bottom