Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.

1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!

2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!

3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!

Hivi vilivyomo na vinavyotokea still unauliza tena??? Mwnye macho hambiwi tazama usijipatishe dhamni burw mungu hakuzaa hakizaliwa na swala la kuwapo mungu ake mungu anajua mungu mwenyewe utakapokufa utapata jibu la swali lako npw n.vigum sana
 
Mkuu FRANCIS DA DON swali lako sifikirii kama utaweza kupata jibu lake. Haya mambo mbona yashajadiliwa sana tu humu JF. Nafikiri suala la Mungu ni vile kila mtu alivyo na upeo wake na imani yake. Haya mambo ya imani achana nayo ni kuanzisha mjadala usio na majibu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu thread ya Majigo kule wameifunga na ninahisi hata hii wanaweza kuifunga pia, sijui ni kwa nini.

As far as I know God is timeles, to God, time is meaningless, to him yesterday, today and tomorrow has no difference.
He knows yesterday, today and tomorrow at a single, timeless act of awareness.

Kwa hiyo, kusema kuwa "Mungu ali exist..." si sahihi. Tunasema "God exists".

Haiingii akilini kabisa. time is real and its here. anything real must adhere to reality such as time.., unless God isn't real.., is it..?!
 
haiingii akilini kabisa. Time is real and its here. Anything real must adhere to reality such as time.., unless god isn't real.., is it..?!

kaka jibu lako ni simple hivi; there is no time if there is no action...! So time is there just to account scientific phenomenas. So in the biblle once they say "hapo mwanzo palikkuwepo neno....yohana 1:1 hapa mwanzo unaashiria kitendo cha uumbaji sijui kama umeelewa ila uelewe ata wewe hapo ujue kama hauna action unaperform time kwako inakuwa meaningless...! Time always measured in relation to the beginning of the action!
 
cna chakusema zaid ya kukuombea kwa mwenyez MUNGU akusamehe ndg yng yan hata aumuigopi MUUMBA WAKO kwl unataka kumjadili umepotoka ndg yng toka kwenye geza n ufate nuru
 
mfano mdogo1

Kwenye Quran, zipo aya zinaelezea michakato ya kisayansi inavyofanyika, Kwa mfano mzunguko wa dunia, namna mvua invyojitengeneza, hatua za uzazi, bahari na landforms kwa ujumla..

Zipo aya zinasema Kuna Sayari 11 - Japo wanasayansi mpaka karne hii ya 21 waligundua uwepo wa sayari 9 (nimesikia imegundulika ya 10 recently) . Hapa Quran ilishazungumza kabla, yaani zaidi ya maelfu ya miaka iliyopita!

HAYA na mengine mengi ni mifano tosha juu ya Uwepo wa Muumbaji na hakuna shaka katika hilo.

Tena kwa uzuri, Yeye Mwenyewe hajifichi, wala sio msiri, ameshajifafanua kwa dhahiri kabisa katika vitabu vitakatifu! Basi tu wana wa Adamu, wavivu wa kusoma na kufanya tafakuri...!!!

Maajabu yaliyomo kwenye QURAN (Hata Injili), Ni ushuhuda tosha.

Sawa, Kuna baadhi ya aya kwenye vitabu hivi ni falsafa tu za mitume waliopita, ambao kwa hakika waliweza kuforetell mambo makubwa yajayo (either kwa kipawa au intelijensi kubwa waliyo jaaliwa n.k), Lakini vipi kuhusu scientific proofs ambazo zimo pia??

SITOKUWA HATA WA MWISHO KUPINGA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU ---- MAANA YEYE YUKO DHAHIRI NA AMETOSHELEZA MAJIBU YA MASWALI YOTE!


My Take: Watu wasome, Watafakari, wafanye tafiti za hizi scriptures za holy books, Kisha waamini na kumtukuza Mungu.

mkuu, unaweza ukanipa aya za quran na mistari ya injili inayozungumzia hayo uliyoyaandika hapo juu na mimi nikaperuzi?
 
Time is relative. Please read and understand the so called "space time dimension". A recent science tells us the way you experiance time here on earth is not necessary the same on outer space. eg. if you could survive near a Black hole for a 7days it would relatively equate to about 300yrs on earth. Strange as it is eternal existence should not be surprising because only we are used to mark a beginning and end to each and everything. Time has it's beginning and therefore an end, anything else not linked to time and space has neither a beginning nor an end.
 
Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.

1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!

2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!

3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!

Kutaka kujua mambo makubwa kuliko umr wenu na yasyo na majibu ni sawa na kudeki bahari
 
mkuu, unaweza ukanipa aya za quran na mistari ya injili inayozungumzia hayo uliyoyaandika hapo juu na mimi nikaperuzi?

Shule tumefundishwa jua limesimama kwenye Quran tumefundishwa hivi.

ﻭَﺍﻟﺸَّﻤْﺲُ ﺗَﺠْﺮِﻱ ﻟِﻤُﺴْﺘَﻘَﺮٍّ ﻟَﻬَﺎ ۚ ﺫَٰﻟِﻚَ ﺗَﻘْﺪِﻳﺮُ ﺍﻟْﻌَﺰِﻳﺰِ ﺍﻟْﻌَﻠِﻴﻢِ

Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.

Vipi hapo unaamini kipi?
 
Unavoipa value hiyo forever inaonyesha kwenye mathematics hauko vzr kdg....
Ukiipa +infinity value afu ukachukua hiyo +infinity jumlisha moja hujui kua utapata +infinity??
na ukichukua -infinity ukatoa moja au kujumlisha moja bado utapata hiyo hiyo -infinity...

Au una jibu tofauti na hilo??
 
Tukianza kumjadili mungú hatuta maliza ibaki tu kua yupo
 
Biology hiyo hapo chini

ﻓَﻠْﻴَﻨْﻆُﺮِ ﺍﻹِْﻧْﺴَﺎﻥُ ﻣِﻢَّ ﺧُﻠِﻖَ

Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?

ﺧُﻠِﻖَ ﻣِﻦْ ﻣَﺎءٍ ﺩَﺍﻓِﻖٍ

Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

ﻳَﺨْﺮُﺝُ ﻣِﻦْ ﺑَﻴْﻦِ ﺍﻟﺼُّﻠْﺐِ ﻭَﺍﻟﺘَّﺮَﺍﺋِﺐِ

Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
 
Shule tumefundishwa jua limesimama kwenye Quran tumefundishwa hivi.

ﻭَﺍﻟﺸَّﻤْﺲُ ﺗَﺠْﺮِﻱ ﻟِﻤُﺴْﺘَﻘَﺮٍّ ﻟَﻬَﺎ ۚ ﺫَٰﻟِﻚَ ﺗَﻘْﺪِﻳﺮُ ﺍﻟْﻌَﺰِﻳﺰِ ﺍﻟْﻌَﻠِﻴﻢِ

Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.

Vipi hapo unaamini kipi?

Linakwenda kwa maana ya kumulika sio kutembea
 
Haiingii akilini kabisa. time is real and its here. anything real must adhere to reality such as time.., unless God isn't real.., is it..?!

Ndugu,kwa kutumia akili ya kibinadamu na elimu ya kidunia,uko sahihi kuwaza hivyo.Ila sasa Mungu yuko tofauti,huwezi kumfikiria ama kumjadili kwa kutumia philosophy uliyofundishwa na maprofesa wako darasani au kwa kusoma vitabu walivyoandika.Elimu ya namna Mungu alivyo,sijui yukoyukoje-almradi chochote kinachomhusu yeye,anayo Yeye.Akili yako wewe ni sehemu ndogo sana ya ile aliyo nayo yeye. Hebu fikiria,Yeye Mungu anakuangalia wewe hapo ulipo(say, Mbezi beach,DSM),muda huo huo anafuatilia pia mwenendo wa mtu anayeitwa Tomomi aliyeko,say,Tokyo,Japan. Wakati wewe huna hata uwezo wa kumuona mtu uliyenaye nyumba moja katika vyumba tofauti.Acha. Tumia muda wako kufikiria mambo ya duniani. Yeye unajihangaisha tu. Ndo maana kuna maandiko matakatifu yameandikwa mahali hivi: siku ile ya Bwana,tutamjua. Subiri. Anyway, nakusifu,unaushughulisha ubongo wako.
 
Navojua wa Roman from wanaweza kujua maana ltk sala ya Maria inasema....mama maria mama wa mungu......so lazima bikra maria ambae ndo kamzaa mungu kwa mujib wa roman catholic anajua mwanae ana umri gani ambae ndio mungu;
 
Unavoipa value hiyo forever inaonyesha kwenye mathematics hauko vzr kdg....
Ukiipa +infinity value afu ukachukua hiyo +infinity jumlisha moja hujui kua utapata +infinity??
na ukichukua -infinity ukatoa moja au kujumlisha moja bado utapata hiyo hiyo -infinity...

Au una jibu tofauti na hilo??

subiri afungue vitabu vyake vya hisabati labda atarudi na jipya
 
Navojua wa Roman from wanaweza kujua maana ltk sala ya Maria inasema....mama maria mama wa mungu......so lazima bikra maria ambae ndo kamzaa mungu kwa mujib wa roman catholic anajua mwanae ana umri gani ambae ndio mungu;

mh! hapo nahisi kama umeanzis pafupi sana.sidhani kama wakatoliki wanaelewa kivile
 
Back
Top Bottom