Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umungu wake ulikuwa upi/Alikuwa mungu lini?,Unaelewa nn unaposikia neno mungu?
Hawa watu tuko karne ya 21 bado wao wanachinjana tu kwa sababu kabila wasilolipenda lina maskio marefu kuliko la kwao.
Halafu wanakuja hapa kutuleta vi theory vya ku copy na ku paste na kujifanya wao ni wasomi zaidi.
Mfnssssssss!
Pamoja sana mkuu ktk kuelimisha ummah.
We naye unataka kuleta mada nyingine. God does not make scientific error. Ukianza kukubali suala kama hilo, huwezi kuwa na hoja mwingine akiamua kusema mti ni Mungu. Hivi utamjibu nini? Maana simply atakwambia kumbuka yeye ni Mungu hivyo anaweza kuwa mti. Mungu gani afanye scientific error halafu na wewe unajitahidi kuilazimisha akili yako kumeza bila hata kuchambua.Yeye ndio maana anaitwa Mungu... Muweza wa Yote... nilishawahi msikiliza Dr.Naik kipindi chake nadhani hata kwenye Youtube ipo kuhusu scientific error in the bible.. Anaongea sana huku akiwa amesahau anayemzungumzia ni nani nilitamani kama ninekuwepo akipata majibu yake murua na angekili kuwa mimi ni kiboko ya waislam wote ulimwenguni
we naye unataka kuleta mada nyingine. God does not make scientific error. Ukianza kukubali suala kama hilo, huwezi kuwa na hoja mwingine akiamua kusema mti ni mungu. Hivi utamjibu nini? Maana simply atakwambia kumbuka yeye ni mungu hivyo anaweza kuwa mti. Mungu gani afanye scientific error halafu na wewe unajitahidi kuilazimisha akili yako kumeza bila hata kuchambua.
Mimi nimekutana na atheists kadhaa, wote ni ex-christians (kumbuka ni hao niliokutana nao mimi) na mojawapo ya hoja kubwa wanaoitumia ni kusema kuwa mungu hawezi kuwa white man on the cross (it just doesn't make sense) na wapo wengi wamemkubali mungu baada ya kumsoma mungu wa qu'ran.
Naungana na mdau hapo juu kuwa mnaosema yesu ni mungu ndio mnazidi kabisa kuwavuruga hawa atheists. Hata mimi ningepata shida sana kuuamini "supposedly" uungu wa aina ya yesu.
We naye unataka kuleta mada nyingine. God does not make scientific error. Ukianza kukubali suala kama hilo, huwezi kuwa na hoja mwingine akiamua kusema mti ni Mungu. Hivi utamjibu nini? Maana simply atakwambia kumbuka yeye ni Mungu hivyo anaweza kuwa mti. Mungu gani afanye scientific error halafu na wewe unajitahidi kuilazimisha akili yako kumeza bila hata kuchambua.
Mimi nimekutana na atheists kadhaa, wote ni ex-christians (kumbuka ni hao niliokutana nao mimi) na mojawapo ya hoja kubwa wanaoitumia ni kusema kuwa Mungu hawezi kuwa white man on the cross (it just doesn't make sense) na wapo wengi wamemkubali Mungu baada ya kumsoma Mungu wa Qu'ran.
Naungana na mdau hapo juu kuwa mnaosema yesu ni Mungu ndio mnazidi kabisa kuwavuruga hawa atheists. Hata mimi ningepata shida sana kuuamini "supposedly" uungu wa aina ya Yesu.
Claiming someone is God does not mean anything whatsoever if they are not. There are so many guys who have claimed to be God, it hasn't made them God.Jesus is GOD
Exactly, simple and clear. Just because some people have created gods, it does not mean the true one does not exist.Simply he is the only Creator, never created but human tend to create god. anything made can not create anything, not even itself.
Simply he is the only Creator, never created but human tend to create god. anything made can not create anything, not even itself.
Claiming someone is God does not mean anything whatsoever if they are not. There are so many guys who have claimed to be God, it hasn't made them God.
You are such an arrogant and stupid piece of work. You do not have a clue whatsoever about me, so stick to the topic. And if you think some things are too heavy for you to bear just resign and keep your silly little brain to its little closed world of physical reality. Apparently you can't even explain simple things.
Wewe una ushahidi wa kitu gani?
CC: Ishmael
God is the uncreated creator. Something/ someone created can't be God. Prerogative of not being created is what that makes a God, God.
utasoma ila itabidi uamini kuwa kuna maisha yanayoendelea tofauti na yale tuliyonayo witch craft ipo majini yapo ambamo kwamo shetani ametoka malaika nao pia wapo chkua mfano wa uchawi mdogo mazingaombwe (kiini macho) amini tu kupitia vitu kama hvyo najua kwa mtu kama wewe una ufaham mkubwa kuhusu super natural power huwez kuishi vile utakavyo kwa kuamini tu juu ya vinavyoonekana
nyie mnaomuita yesu mungu ndo mnazidi kuwapoteza hawa ndugu zetu materialist
Stop jumping Like A masai,Its seems Logic doesnt exist in You mr material. Madam Karucee Might help you to deliver whats requested.
What PERcentage of a cell is made up of water%%%%.????????????????????????? .........Let me wait and see where will the material shift.
You should also mention any Ancient scholar before 570 Ad who just said(with out prove) or knew that living things were made from Water.
We naona hata hujielewi, unasema "wanasayansi" wanajivunia kusema hawajui ili waendeleze utafiti na maarifa zaidi and yet unataka kutuambia kuwa una uhakika Mungu hayupo. Kwa hiyo linapokuja suala la Mungu "wanasayansi" wanageuka ghafla na kujua kila kitu au inakuwaje labda?
You should do your homework.
One minute you want me to EXPLAIN!
over a sudden you want LINKS and not Explanation!
Make up your mind Mr bling bling scientist!
Until today you DONT KNOW scientific blunders? And you call yourself a learner?
What more I can I say mr gikuyu boy! Heey!?
How mediocre??!!! There is no evidence??!! Are you retarded or what?? You will have to bee too damn stupid not to see the evidence of intelligent creation in all things around us.
By they way, who told you absence of evidence is a proof of non-existence?? What a rookie?
lack of evidence means LOW LEVEL OF THINKING