WHO: Hata kwa Viwango vidogo Matumizi ya Pombe yanaweza kuleta madhara ya kiafya

WHO: Hata kwa Viwango vidogo Matumizi ya Pombe yanaweza kuleta madhara ya kiafya

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Kwa mujibu wa Ripoti ya mwaka 2019 ya Shirika la Afya Duniani (WHO), matumizi ya pombe, hata kwa viwango vidogo, yanaweza kuleta madhara ya kiafya, lakini madhara makubwa zaidi yanatokana na unywaji wa kupitiliza, wa mara kwa mara na kwa kiasi kikubwa.​

1728298270347.png

Pia, takwimu hizo zinaonyesha kuwa duniani kote, vifo milioni 2.6 vilihusishwa na unywaji wa pombe, ambapo milioni 2 vilikuwa ni kwa wanaume na milioni 0.6 kwa wanawake.

Aidha, takwimu kutoka Ourworldindata.com zinaonesha kuwa kufikia mwaka 2019, Tanzania ilikuwa nchi ya 28 duniani na ya 3 barani Afrika kwa kiwango cha matumizi ya pombe.​
 
Huk
Kwa mujibu wa Ripoti ya mwaka 2019 ya Shirika la Afya Duniani (WHO), matumizi ya pombe, hata kwa viwango vidogo, yanaweza kuleta madhara ya kiafya, lakini madhara makubwa zaidi yanatokana na unywaji wa kupitiliza, wa mara kwa mara na kwa kiasi kikubwa.​

Pia, takwimu hizo zinaonyesha kuwa duniani kote, vifo milioni 2.6 vilihusishwa na unywaji wa pombe, ambapo milioni 2 vilikuwa ni kwa wanaume na milioni 0.6 kwa wanawake.

Aidha, takwimu kutoka Ourworldindata.com zinaonesha kuwa kufikia mwaka 2019, Tanzania ilikuwa nchi ya 28 duniani na ya 3 barani Afrika kwa kiwango cha matumizi ya pombe.​
Huku niliko wanaita pombe'(Chaklaa) Chakula!
 
Back
Top Bottom