TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nimetonywa "Subiri Toleo la SUACONE mwaka huu limesheheni maelezo ya kutosha juu ya mambo haya!!"matumizi ya pombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetonywa "Subiri Toleo la SUACONE mwaka huu limesheheni maelezo ya kutosha juu ya mambo haya!!"matumizi ya pombe.
Wanaacha usengenyaji na umalaya wao wanaivamia pombe.These people are nothing but heathens!Pombe inaonewa sana.
Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra! Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!Kwa mujibu wa Ripoti ya mwaka 2019 ya Shirika la Afya Duniani (WHO), matumizi ya pombe, hata kwa viwango vidogo, yanaweza kuleta madhara ya kiafya, lakini madhara makubwa zaidi yanatokana na unywaji wa kupitiliza, wa mara kwa mara na kwa kiasi kikubwa.
Pia, takwimu hizo zinaonyesha kuwa duniani kote, vifo milioni 2.6 vilihusishwa na unywaji wa pombe, ambapo milioni 2 vilikuwa ni kwa wanaume na milioni 0.6 kwa wanawake.
Aidha, takwimu kutoka Ourworldindata.com zinaonesha kuwa kufikia mwaka 2019, Tanzania ilikuwa nchi ya 28 duniani na ya 3 barani Afrika kwa kiwango cha matumizi ya pombe.