Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Wewe hizo habari ulizipata kutoka kwenye reliable source gani, hilo la kwanza - la pili ilikuwaje ugonjwa huu ukahibukia mji ambao Wanajeshi wa Merikani walikwenda kufanya mashindano ya michezo ya wanajeshi, idadi ya wanajeshi kutoka USA walifikia 300, cha ajabu hakuna mwanajeshi hata mmoja kuoja Merikani aliye shinda medali hata moja - badala yake wanajeshi hao walionekana kila jioni roam aimlessly kwenye soko la Huwan nk - baada ya mwezi mmoja kupita tangu wanajeshi hao kuondoka katika mji wa Huwan na kurudi kwao,mji wa Huwan ukakumbwa kwa ugonjwa wa COVID-19!!Kwanini usione China ndiyo walio tengeneza na kushindwa kukidhibiti kirusi maabara maana kwajinsi walivyo Pambana ni kama alikijua vizuri na mgunduzi wa kwanza wa kirusi walimnyamazi7sha kwa kumfunga na kisha alikufa kwa Corona baadaye kwa madai ya
Wachina walijua kilicho kuwa kinaendekea nyuma ya pazia, ndio maana Serikali ya China ilipigana juu Chini kuhakikisha ugonjwa huu hausambai kwenye majimbo mengine nchini China, na walifanikiwa kuudhibiti, kinyume na matarajio ya Uncle SAM.
Baadae kabisa baadhi ya wana sayansi wakatilia shaka madai ya USA kuhusu raia wake waliokufa kutokana na Serikali ya Amerika ilivyo dai kwamba raia wa Taifa hilo walikufa kutokana na ugonjwa wa mafua makali, baada ya kufukua baadhi ya maiti na kuzifanyia uchunguzi wa kina zikagundurika walikufa kutokana na COVID-19 na sio mafua makali, sasa hiyo inaleta picha gani? Ina maana ugonjwa huu ulijitokeza USA kabla ya Uchina, ukawa exported Uchina na wanajeshi wa US for hidden agenda za kutaka kuzorotesha Uchumi wa China na kuuwa rasili mali watu wengi iwezekanavyo, wala hili halina kificho.
Juzi hapa nilisoma chapisho fulani ambalo madaktari wa Italy na Spain wanadai kwamba ugonjwa huo unaonekana uliingia katika Mataifa hayo mapema zaidi kabla ya kuikumba China, na ukiangalia Italy na Spain watu walikufa kwa wingi sana sana compared to other Nation, inaelekea virus vilivyo kumba Italy na Spain vilikuwa more virulent kuliko nchi nyingine, but why? Je, wana sayansi walitengeneza variat tofauti na kuzieneza kwenye nchi lengwa kama trial run ili waangalie ni strain ipi ambayo ni kali zaidi ili baadae ienezwe kwenye Mataifa lengwa,wana sayansi uwezo huo wanao sana.
Labda nikumbushe kwamba we are not being overly paranoid kuhusu jinsi WHO inavyo deal na suala la kubabiriana na ugonjwa wa KOVID, ukweli unabaki kwamba baadhi ya watu weupe lengo lao ni hatarishi ie hawatutakii Dunia ya tatu mema , watu wengine wata argue all night long wakijaribu kuwatetea using lame excuses na kutuona sisi hatuna shukrani kwa misaada ya chanjo na madawa yanayo letwa nchini kutoka Merikani na Ulaya kwa ajili ya watoto wetu - wakumbuke kwamba saula la ku-deal na Korona ni tofauti kabisa - makampuni makubwa ya kutengeneza madawa na chanjo yakiongozwa na kampuni ya Pfizer wameji zatiti kupiga hela ndefu sana kupitia WHO na World Bank wanata kuzibebesha nchi masikini mzigo mkubwa wa madeni ya World Bank, ndio maana WHO haitaki kushirikisha makampuni ya kutengeneza dawa na chanjo kutoka Uchina na Urusi.