WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

Halafu Malaria ni ugonjwa unao associate na uchafu tu ,tuonfoe mazalia ya mbu ndio kinga kubwa ya malaria
 
TB inachanjo jamani inaitwa BCG na moja ya chanjo 9 zinazopewa watoto.Malaria chanjo imefanyiwa trials nyingi na soon itaanza.Acheni kupotosha jamii
Mkuu upopo..hoja sio impact ya Sasa ya hizo chanjo..hayo machanjo madhara yake yanaweza Kuja kuonekana miaka 15 ama 29 ijayo..pale mtoto wako wa kumzaa..anapogeuka kuwa litoto la ajabu..now days Kuna watoto wa kiume wengi ni mashoga kwa hisia kabisa..mabinti wengi ni wagumba...simple kwa ajili ya hayo machanjo...hapo bado jinsi yalivyofubaisha akili za watoto na jamii zai
 
Haya unayoongea hayana ushahidi.Kisicho na ushahidi ni porojo za hapa na pale.
Ushahidi uko..Ila unajifanya hutaki kuuona..nimekuuliza wazee wako walipozaliwa walikula chanjo Gani mzee..!? Na kuongezea tu angalia namna wazee wa kizaman walivyokuwa na weledi na ufanisi katika kazi zao...unakuta kijana wa zaman anaweza kureasons jambo na kuibua hoja nzito..lakini kijana aliyepakiwa hii michanjo huo uwezo hana..
 
Ushahidi uko..Ila unajifanya hutaki kuuona..nimekuuliza wazee wako walipozaliwa walikula chanjo Gani mzee..!? Na kuongezea tu angalia namna wazee wa kizaman walivyokuwa na weledi na ufanisi katika kazi zao...unakuta kijana wa zaman anaweza kureasons jambo na kuibua hoja nzito..lakini kijana aliyepakiwa hii michanjo huo uwezo hana..
Kwani umejuaje kuwa kijana wa kileo anashindwa kureason vizuri kwa sababu alichanjwa chanjo na siyo kutokana na sababu nyingine?
 
Lila nchi inademokras yake..na Kuna namna ya kuzitekeleza ..shida inakuja pale sisi waafrika tunataka demokrasia ya marekan..kitu ambacho hakiwezekani...by the way demokrasia wakat mwingine naona Kama kichaka tu cha kutupandikizia majizi kwenye ngazi za maamuzi ya nchi...
Hoja zako hazina mashiko . Hawa tulionao ndiyo siyo wezi ?!. Nani kakudanganya ?

Democracy ya kweli haina mbadala si uchifu , dictatorship, u communist wala democracy ya kuiga nusu nusu kama Tanzania . Ukandamizaji wa mtu moja au wa chama kimoja, Hauwezi kuitoa nchi mrisi "AMINI USIAMINI"

Odhis *
 
Sitaongeza neno
Kuna chanjo inaitwa BCG ambayo ni chanjo ya kifua kikuu na watoto wachanga wote wanachanjwa... au TB na kifua kikuu ni tofauti?

Njia kujikinga na malaria zinajulikana na pia inatiba. Na kukosa chanjo ya magonjwa mengine haimaanishi basi na hili lisipatiwe solution. Mbona hatuachi kupokea dawa za ukimwi mkasema kwa kua haziponyeshi basi zisitumike? Lakini zinasaidia kufubaza na leo mwenye ukimwi anaeza ishi na asiyenao na asimuambukize.

Kifua kikuu kina tiba na mtu akianza kutumia dawa hakiambukizi tena huwezi fananisha na korona. So yes chanjo inaweza saidia wale ambao hawana maambukizi kutokupata means rate ya watu kuugua itashuka sawa na pandemic diseases zote lazma itafutwe njia ya kupunguza maambukuzi then huko mbele studies nyingine zikifanyika zitaweza kuleta majibu bora zaidi.

Usiombe ikakukuta, utakua wa kwanza kwenda kupanga mstari. Iliku huwezi kusafiri mpk uwe umepata chanjo ya yellow fever, mbona hamhoji hizo??
 
Mkuu upopo..hoja sio impact ya Sasa ya hizo chanjo..hayo machanjo madhara yake yanaweza Kuja kuonekana miaka 15 ama 29 ijayo..pale mtoto wako wa kumzaa..anapogeuka kuwa litoto la ajabu..now days Kuna watoto wa kiume wengi ni mashoga kwa hisia kabisa..mabinti wengi ni wagumba...simple kwa ajili ya hayo machanjo...hapo bado jinsi yalivyofubaisha akili za watoto na jamii zai
We jamaa wa ajabu kweli. Sodoma na Gomora watu walikuwa mashoga na mabasha ni kwa sababu za chanjo ?!. Huo ni ulemavu kama ulemavu mwingine .

Odhis *
 
Jipige kifuani kisha useme mimi nigra..
Ni LIPUMBAVU.

Ivi watoto wanavyopewa Chanjo za BCG, OPV, IPV, PCV, ROTA, MR ,PENTA, HEP-B n.k

Izo ni Chanjo au mkundu wako?

Na km ni chanjo, na lengo liwe kuua, kwann wasiue kupitia izo chanjo?

Unajua kama sio Chanjo, ugonjwa wa Surua ungekuapo mpaka sasa?

Hujiulizi kwann wale watu wenye ulemavu sa viungo, unakuta mtu vimiguu havifany kazi, mikono kajaa, au mikoni haifanyi kazi, kwann siku hizi hawapo ????... Yote haya nisababu ya Chanjo.

Alafu mnakaa nakuamin kila jambo analosema Bwanaenu?

Yeye kama ana Ukimwi aache kua na hasira za kijinga.

Mpaka sasa Ukimwi hauna Chanjo.TULIENI.

Unajua BCG kazi yake nn???
😂😂😂🙈🙈🙈
 
Yaani!tatizo letu waafrika kila tatizo linalotukabili , tunamsingizia mzungu!!wakati matatizo mengi chanzo ni sisi wenyewe, tunajiamini tuna wasomi wengi, barani afrika, wameshindwa kuungana, kwa kupata ufadhiri wa nchi za kiafrika, na kutafuta chanjo ya ukimwi!!??

Hao incoming superpowers wako afrika?ambako viongozi wake ni warafi kupita kiasi, wao matatizo ya wananchi sio kipaumbele chao!!yaani miaka 60 toka uhuru hadi leo kiongozi anakuja kukuahidi maji safi?!!tumekubaliana mfumo wa demokrasia, lakini viongozi hawaheshimu maamuzi ya wananchi.

Hao wazungu wakisema inakuwaje wanapewa majina mabaya!!ila huyo huyo akikupa msaada jina linabadirika!!hata vita vinavyoua watu wengi barani afrika, chanzo kikubwa sio wazungu, ni ubinafsi tu wa viongozi wetu , humo ndio wakati mwingine wazungu wanajipenyeza!!!
We kama unataka chanjo utabong'oa uchokonolewe mwenyewe. Mimi NEVER over my dead body!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Hoja mfu.... Muulize Magu juu ya ile dawa ya madagascar, je Africa wamezuiwa kufanya tafiti za magonjwa? Kwann kuona unahujumiwa? Amkeni nyie alamba miguu

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!

Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao.

Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential.

Ni aibu sana mpaka leo hamjui TB tayari ina chanjo!
 
The vaccine, known as Bacillus Calmette-Guérin (BCG), was developed between1908 and 1921 and is administered to more than 100 million children around the world every year. In the U.S., it is FDA-approved as a drug to treat bladder cancer and as a vaccine for people at high risk of contracting TB.Nov
 
Ndugu siwezi kujua umri wako lakini kama ni mtu mzima kidogo na uliyewahi kufuatilia historia ya kisiasa ya nchi yetu mara tu baada ya uhuru utajua kuwa our nation founding fathers walikuwa na maono bora sana kuhusiana na nchi yetu, waliweka mikakati bora kuhusiana na nchi yetu na walianza kupiga hatua sahihi kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kitafute kijitabu cha "Ujamaa" cha mwalimu Nyerere ukisome halafu utaona jinsi ambavyo usije kudanganywa na propaganda kwamba ndani ya mtu mweusi hakuna uwezo wa uthubutu wa kupanga na kufanya mambo makubwa.

Uwezo huo upo, unahitaji kupaliliwa kukuzwa. Nikutie moyo tu kwamba usijikatie tamaa wewe binafsi, na usiikatie tamaa nchi yako na watu wake. Na pia nikwambie nchi zote hizo unazosifia watu wake wana uzalendo wa ajabu juu ya nchi zao. Si kwamba hawana mapungufu, bali wanatazama zaidi potential walizo nazo katuja kukabiliana madhaifu na mapungufu yao.
Sijakataa tamaa Mkuu, na vitabu vya nyerere nimevisoma na ni kweli KABISA, Nyerere aliadopt itikadi hii ya kijamaa na kujitegemea kutoka Russia, China na Cuba

Ilitufaa kwa wakati ule, lakini je stagnation yake imesababishwa na nini? Wazungu?
 
Kwani umejuaje kuwa kijana wa kileo anashindwa kureason vizuri kwa sababu alichanjwa chanjo na siyo kutokana na sababu nyingine?
Simple..ukimchukua Mzee wa zaman ..haswa huko vijijini..anauwwzo wa kukudadavulia jambo kuliko Hawa watoto wa siku hivi wa chanjo..Kuna yale Mambo ya kawaida kabisa ambayo hayahitaji elimu hata ya msingi..hao wazee pamoja na age yao kwenda anaweza akukoa reasons nzuri kuliko kijana aliyesoma mpaka chuo kikuu
 
Hoja zako hazina mashiko . Hawa tulionao ndiyo siyo wezi ?!. Nani kakudanganya ?

Democracy ya kweli haina mbadala si uchifu , dictatorship, u communist wala democracy ya kuiga nusu nusu kama Tanzania . Ukandamizaji wa mtu moja au wa chama kimoja, Hauwezi kuitoa nchi mrisi "AMINI USIAMINI"

Odhis *
Hawa tulio nao ..ni wezi waliopandikizwa na so called demokrasia..sio wa ccm wala chadema wote wezi..wako kwa maslahi ya mama demokrasia ( nchi za ulaya na marekan)
 
Sijakataa tamaa Mkuu, na vitabu vya nyerere nimevisoma na ni kweli KABISA, Nyerere aliadopt itikadi hii ya kijamaa na kujitegemea kutoka Russia, China na Cuba

Ilitufaa kwa wakati ule, lakini je stagnation yake imesababishwa na nini? Wazungu?
Yes..wazungu..wamechangia sisi kufika hapa.
 
Simple..ukimchukua Mzee wa zaman ..haswa huko vijijini..anauwwzo wa kukudadavulia jambo kuliko Hawa watoto wa siku hivi wa chanjo..Kuna yale Mambo ya kawaida kabisa ambayo hayahitaji elimu hata ya msingi..hao wazee pamoja na age yao kwenda anaweza akukoa reasons nzuri kuliko kijana aliyesoma mpaka chuo kikuu
Kuna sababu nyingi zinazofanya wazee wa kijijini kuwa vizuri kuliko hawa vijana wa sasa hivi kama vile lishe wanazokula,mazoezi wanayofanya kutokana na kazi wanazofanya,kuwa na depression kidogo na kadhalika tofauti na vijana hawapati vitu kama hivyo.
 
We jamaa wa ajabu kweli. Sodoma na Gomora watu walikuwa mashoga na mabasha ni kwa sababu za chanjo ?!. Huo ni ulemavu kama ulemavu mwingine .

Odhis *
Naona unaamua kujitoa ufaham Ili tuendelee mjadala hapa..Hali ukweli wa mambo unaujua...sitataka Sana kukutafunia..zaidi Sana hizo chanjo zikija..na zilizopo we endelea kuzipata tu...kwani mwisho wa siku kufa tutakuwa wote ..Ila kama tutaishi tutaishi maisha tofauti Sana...wakti wewe ukitegemea mpaka mzungu akuletee dawa na chanjo..plus kukuharibia uzazi..sie tutakuwa kuwasaidia matomaso Kama nyie..kwa vizazi vyetu..
 
Kuna sababu nyingi zinazofanya wazee wa kijijini kuwa vizuri kuliko hawa vijana wa sasa hivi kama vile lishe wanazokula,mazoezi wanayofanya kutokana na kazi wanazofanya,kuwa na depression kidogo na kadhalika tofauti na vijana hawapati vitu kama hivyo.
Nimelike kabisaa...Ila kuongezea na hayo machanjo hawakuwahi kuyapata..ndio maana wanakuwa na akili zao za kuzaliwa( natural brain with high IQ)...wanaugua magonjwa haya ya kisasa eg makansa nk..kwa sababu ya machakula ya siku hizi yanaenda kuwaathiri kinga zao n.k...
 
Back
Top Bottom