Who influenced Nyerere: His Ujamaa Philosophy and Azimio Principles?

Who influenced Nyerere: His Ujamaa Philosophy and Azimio Principles?

..communism na kina Nyerere wanaonekana kama hero kwa sababu tuu ya market crisis,capitalism still the best wakuu na imefanya mengi sana ya maana kuliko ujamaa katika maendeleo ya binadamu,ujamaa is simply evil na kama mnataka kurudi stone age rudisheni ujamaa bongo....ups & downs za market ni kawaida sana na zitaendelea kuwepo,kweli i cant stand ujamaa nikifikiria vile viduka vya serikali vya kuuza sukari na vishule visivyo na walimu wala madarasa
 
..communism na kina Nyerere wanaonekana kama hero kwa sababu tuu ya market crisis,capitalism still the best wakuu na imefanya mengi sana ya maana kuliko ujamaa katika maendeleo ya binadamu,ujamaa is simply evil na kama mnataka kurudi stone age rudisheni ujamaa bongo....ups & downs za market ni kawaida sana na zitaendelea kuwepo,kweli i cant stand ujamaa nikifikiria vile viduka vya serikali vya kuuza sukari na vishule visivyo na walimu wala madarasa

Unakumbuka yaliyotokea wakati wa great depression? haukuwa ujamaa uliosababisha hayo ni ubepari. Na leo hii yanayotokea watu kupoteza nyumba zao n.k na kama umesoma habari za leo wanataka hata nyama na maziwa vitolewe kwa mgao duniani. Siyo matokeo ya Ujamaa ni ubepari. Kama hujui kilichosababisha maduka ya kaya na mgao wa wakati ule hujui historia yako. Jamii kugawana kidogo walichonacho siyo jambo pekee lililowahi kutokea Tanzania na haikuwa mwisho Tanzania kutokea. Ujamaa siyo maduka ya kaya!
 
Unakumbuka yaliyotokea wakati wa great depression? haukuwa ujamaa uliosababisha hayo ni ubepari. Na leo hii yanayotokea watu kupoteza nyumba zao n.k na kama umesoma habari za leo wanataka hata nyama na maziwa vitolewe kwa mgao duniani. Siyo matokeo ya Ujamaa ni ubepari. Kama hujui kilichosababisha maduka ya kaya na mgao wa wakati ule hujui historia yako. Jamii kugawana kidogo walichonacho siyo jambo pekee lililowahi kutokea Tanzania na haikuwa mwisho Tanzania kutokea. Ujamaa siyo maduka ya kaya!

...Great depression ilitokana na market crisis kama inayoendelea sasa,na walichofanya ni sawa na wanachofanya sasa hivi (bailout) na kuweka more regulations kwenye markets,Americans wanatumia sana past experience kusolve matatizo yao,mnaosema bailout ni kuelekea communism hamjui kilichotokea during great depression,niambie ujamaa wetu umetusaidia nini hiyo miaka karibu 50 ya uhuru zaidi ya kutufanya maskini kupindukia na vitegemezi,kubali America is great kutokana na capitalism,hardwork haiui na wabongo wengi walioamua kufuata sheria na kuweka bidii 100,000$ salary sio issue...bongo njaa tupu maisha mazuri ni kwa wezi tuu na wachache sana wenye bahati
 
Unakumbuka yaliyotokea wakati wa great depression? haukuwa ujamaa uliosababisha hayo ni ubepari. Na leo hii yanayotokea watu kupoteza nyumba zao n.k na kama umesoma habari za leo wanataka hata nyama na maziwa vitolewe kwa mgao duniani. Siyo matokeo ya Ujamaa ni ubepari. Kama hujui kilichosababisha maduka ya kaya na mgao wa wakati ule hujui historia yako. Jamii kugawana kidogo walichonacho siyo jambo pekee lililowahi kutokea Tanzania na haikuwa mwisho Tanzania kutokea. Ujamaa siyo maduka ya kaya!

Yanayotokea leo watu kupoteza nyumba zao ni ujinga na tamaa ya lenders. Haya ma no doc loans, no money down, 105% loans, even 110% loans, Arms (adjustable rate mortgages) ndiyo yaliyowaponza watu. Mtu unajua kabisa huwezi kumudu malipo na benki inajua hivyo lakini bado unakopeshwa $300,000 wakati kipato chako kwa mwaka ni $45,000, debt to income ratio yako (back end and front end) iko juu, sasa watu walitegemea nini kama sio catastrophic results. Haya ni matokeo ya tamaa na ulafi na wala sio ubepari....
 
Koba,
Nakuomba urudi kwenye Genesis ya ubepari. Au kamsome Charles Dickens.
Ubepari ni unyama. Hata kama sasa tunafaidi matunda yake lakini usisahau genesis yake.
 
Koba,
Nakuomba urudi kwenye Genesis ya ubepari. Au kamsome Charles Dickens.
Ubepari ni unyama. Hata kama sasa tunafaidi matunda yake lakini usisahau genesis yake.

I am not sure I agree with you.....
 
I am not sure I agree with you.....
Mc Pain,
I would have a problem if you ageed with me 100%.😉 What I was saying is that capitalism had its evil face. We may be benefiting from its fruits now but its genesis stinks. Think of Europe or England of 1600. Think of America of the same time. Hawa walilazimika kupora watumwa kujenga ubepari. Think of piracy in the high seas. Think of King Leopold of Belgium and how he built his empire by exploiting and killing millions of Congolese. All these were in the names of capitalism. That is what I am saying.
 
...and most of all think of Africa and its place in world capitalism.
 
...Great depression ilitokana na market crisis kama inayoendelea sasa,na walichofanya ni sawa na wanachofanya sasa hivi (bailout) na kuweka more regulations kwenye markets

Unachosema ni kuwa kwenye great depression sera mbaya za wakati huo ndizo zilisababisha hayo. Kilichotokea wakati wa great depression hakikutokana na tendo la Mungu (act of God) bali ni kutokana na uzembe wa wanadamu kuliacha soko liamue kile kitu. Na kutokana na kujifunza huko kama unavyosema hapa chini:


,Americans wanatumia sana past experience kusolve matatizo yao,

ni kweli. Wakati huo wa makosa ya sera zao za kibepari ambacho waliacha soko liamue kila kitu wamarekani walifikia mahali pa kuweka mipaka ya ununuzi wa vitu na upatikanaji wa vitu mbalimbali. Hilo lilifanyika pia wakati wa vita ya pili ya dunia. Nchi za kibepari Uingereza na Marekani zililazimika kufanya rationing ili kuhakikisha raia wake wanaishi maisha ya maana. Inasemwa hivi kuhusu rationing ya vita ya pili ya dunia kwa mujibu wa U-s-history.com

With the onset of World War II, numerous challenges confronted the American people. The government found it necessary to ration food, gas, and even clothing during that time. Americans were asked to conserve on everything. With not a single person unaffected by the war, rationing meant sacrifices for all. In the spring of 1942, the Food Rationing Program was set into motion.

Kwanini nchi ya kibepari basi inalazimika kufanya rationing ya namna hiyo? Siyo wao tu bali hata Uingereza. Inasemwa hivi kwenye wikipedia kuhusu rationing ya Uingereza.

Rationing in the United Kingdom is the series of food rationing policies put in place by the government of the United Kingdom during certain wartime periods of the 20th century [1].

Sasa hawa unaowapigia debe kuwa ni mabepari waliona umuhimu wa kufanya rationing (mgao). Walifanya hivyo kwa sababu walipenda kuona watu wao wanagawiwa vitu; walifanya hivyo kwa sababu mgao uliwafanya waonekane na nguvu; waliona raha kuona watu wao wanadhalilika kwa kupanga foleni? Hapana! Walifanya hivyo kwa sababu ilikuwa ni muhimu vinginevyo katika mazingira ya namna hiyo watu wachache wenye uwezo ndio wangeweza kufanikiwa na kupata mahitaji yao.

Hilo la Waingereza na Wamarekani wewe utaona ni sawa na inakubalika lakini kwa Tanzania chini ya Mwalimu utaona ni baya ingawa Wamarekani na Waingereza walikuwa na control ya kutosha ya kutosababisha rationing. Sisi tulilazimika kuwa na rationing miaka ya mwanzoni ya 1980s sababu tumetoka kwenye vita ambayo tulitumia karibu mabilioni ya shilingi. Na tunapotoka hapa tunakutana na ukame wa 1982-1984. Watu wetu wanatishiwa na njaa, wachache wanaanza kutumia nafasi hiyo kujitengenezea fedha ya haraka haraka kutokana na misery ya watu wengine.

Wewe ungesema Nyerere angekaa pembeni na kuacha soko liamue; kwamba asingesababisha maduka ya kaya, RTC, na mgao wa mafuta na hata kulazimisha magari kutotembea siku ya Jumapili. Haya kwako unaona ni uonevu lakini yangefanywa na Wazungu ungesema "the stroke of genius".

Ni lazima tutambue kuongoza Taifa siyo kama kibanda cha mtu. Leo hii Bush na wenzake wanavyohangaika kutuliza taifa lao siyo suala la ujamaa tena bali ni suala la survival of America kama tunavyoijua. Kama njia za kijamaa ambazo wanataka kutumia (kutaifisha mabenki kama walivyofanya Uingereza juzi au walivyofanya wa Marekani) kutasaidia kulilinda Taifa lao na mfumo wao wa kibepari well and good and more power to them. Lakini kama kesho ukisikia URT inataka kutaifisha NBC, Barclays n.k ili kuulinda uchumi na walaji bila ya shaka utapiga kelele kwamba wanataka kuturudisha kwenye ujamaa!

mnaosema bailout ni kuelekea communism

Binafsi sijasema hivyo lakini nakubaliana na wale ambao wanaona kinachotokea kweli nacho ni kutumia njia za kijamaa kuukoa ubepari! In other words that is the irony of ironies!

hamjui kilichotokea during great depression,niambie ujamaa wetu umetusaidia nini hiyo miaka karibu 50 ya uhuru zaidi ya kutufanya maskini kupindukia na vitegemezi,

Hili ni swali la msingi kweli. Ujamaa wetu umetusaidia nini? Well, to tell you the truth haujatufanya tuwe maskini wa kupindukia! Siyo ujamaa uliofanya hivi kwa sababu Ubepari uliojaribiwa Kenya na Congo haukuwafanya wawe matajirri wa kupindukia na katika nchi zote tatu ni kundi la watu wachache tu bado ni matajiri. Huwezi kuelezea umaskini wetu kwa kuangalia Ujamaa kama vile usivyoweza kuelezea umaskini wa Kenya, Congo n.k kwa kuangalia Ubepari tu.

kubali America is great kutokana na capitalism

Hili linaweza kuwa kweli kwa kiasi fulani, lakini ubepari wao umejaa vikolombwezo vya ujamaa na kwa muda mrefu (kama wakati wa Clinton) na bila ya shaka chini ya Obama, sera za kijamaa zitaongoza Marekani. Wanapotukuza Capitalism siyo ule Ubepari tunaouzungumzia sisi kisiasa (political economy). Binafsi naamini kuna tofauti kubwa sana kati ya Ubepari na Capitalism. Litakuwa somo kwa siku nyingine. Binafsi naamini katika Capitalism na siyo katika Ubepari.

hardwork haiui na wabongo wengi walioamua kufuata sheria na kuweka bidii 100,000$ salary sio issue...bongo njaa tupu maisha mazuri ni kwa wezi tuu na wachache sana wenye bahati

Hii ni kejeli kwa watanzania wanaosota mchana na usiku kufanya kazi na kujenga nchi na maisha yao. Unataka watu waamini kuwa Watanzania ni wavivu hadi walipokuja huku. Wengi wetu tunakumbuka jinsi wazee wetu walivyokuwa wanahangaika mchana na usiku kutengeneza mazingira ya kupata fedha za bila ya kutumia njia za mkato. Licha ya kuwa na ajira wengine wetu tulikuwa tunapelekwa kule kwenye mashamba kila weekend. Na wengine tulifundisha hii hard work kwa kupita na kuuza mchicha na nyanya mitaani na kufundishwa jinsi ya kutumia mitaji kwenye soko la Makorola pale.

Tatizo la Tanzania ndugu yangu siyo watu kutofanya kazi, ni kwamba inakubidiu ufanye kazi zaidi Tanzania kuweza kutengeneza maisha yako kuliko hapa Marekani. Mfumo wetu wa ajira na malipo katika Tanzania hauendani na ukweli wa jamii inayotoka kutengeneza maisha ya kisasa. Hivyo mtu anatumia nguvu nyingi kweli kuvuna kidogo wakati huku Marekani mtu anaweza kutengeneza fedha nyingi tu kwa kubonyeza vitufe viwili vitatu au kuketi kwenye kompyuta yake na kuangalia "buy" and then "sell"!
 
Yanayotokea leo watu kupoteza nyumba zao ni ujinga na tamaa ya lenders. Haya ma no doc loans, no money down, 105% loans, even 110% loans, Arms (adjustable rate mortgages) ndiyo yaliyowaponza watu. Mtu unajua kabisa huwezi kumudu malipo na benki inajua hivyo lakini bado unakopeshwa $300,000 wakati kipato chako kwa mwaka ni $45,000, debt to income ratio yako (back end and front end) iko juu, sasa watu walitegemea nini kama sio catastrophic results. Haya ni matokeo ya tamaa na ulafi na wala sio ubepari....

Ubepari msingi wake ni tamaa. Tamaa ya kupata faida. Bahati nzuri ninafahamu mortgage industry vizuri kwani nilifanya kazi kwenye mojawapo ya mabenki (now acquired by Bank of America) kwenye kitengo chao cha mortgage. I can speak with authority kwamba wengi walionunua nyumba wakati ule au kurefinance au kujenga nyumba kwa mkopo walipigia hesabu kitu kimoja nacho ni kuwa baada ya miaka kama mitano hivi wangeweza kuuza hiyo nyumba na kupata faida.

Wengi ya walioamua kupata mikopo hiyo ya nyumba kuanzia like late 90s-2004 hivi walifanya hivyo wakizingatia rate ndogo ya 30/fixed ambapo kuna siku ilikuwa inafikia hadi 4.750. Na wale waliokuwa wanachukua PARM au ARM au hizo FHA loans walikuwa wakitarajia hilo hilo kwamba baada ya miaka michache na baada ya kuziongezea thamani nyumba zao wangeweza kuziuza na kuweza kulipa deni la msingi na kubakiwa na cash ambayo ingeweza kuwapa usalama zaidi wa maisha. Wrong.

Walioweza kufanya hivyo ni wale waliokuwa wana flip houses (real estate) na wao waliweza kutengeneza mamilioni ya dola. Wale wenzetu na siye ambao tulinunua nyuumba tukipiga hesabu kuwa in 2007 au 2008 nitakuwa nimeshapa vijunior viwili na hivyo kutafuta nyumba kubwa nikishauza hii ya zamani ndio tukajikuta tumeliwa kwani kufika 2007/2008 thamani ya nyumba imeshuka, deni la benki bado liko kubwa na wakati mwingine kupita thamani ya nyumba yenyewe! Matokeo yake ni kuwa hatumudu tena kulipa mortgage, malipo ya gari n.k imekuwa ngumu.. Matokeo yake tunaanza kulag behind katika malipo mwisho wake Benki wanataka nyumba yao!

hilo limetokana na tamaa inayotengenezwa na ubepari na siyo ujinga tu. Ubepari unaahidi kuwa unaweza kutengeneza hiyo fedha kwa haraka kama ukiwa na mtaji mzuri (which in this case ni ule mkopo wa benk). Tatizo ni kuwa unapoleta bidhaa sokoni, hakuna wa kununua na unashusha bei matokeo yake inakubidi uuze vitu kwa bei ya bure na kabla hakijakudodea.

Sasa ni kweli watu binafsi wanawajibika kwa kiasi kikubwa kwa kuingia mkenge huu lakini waliingia kwa sababu mfumo huu wa kibepari ulitengeneza mazingira hayo na sasa kama alivyosema yule mchungaji "the chickens have come home to roost"!
 
Ubepari msingi wake ni tamaa. Tamaa ya kupata faida. Bahati nzuri ninafahamu mortgage industry vizuri kwani nilifanya kazi kwenye mojawapo ya mabenki (now acquired by Bank of America) kwenye kitengo chao cha mortgage. I can speak with authority kwamba wengi walionunua nyumba wakati ule au kurefinance au kujenga nyumba kwa mkopo walipigia hesabu kitu kimoja nacho ni kuwa baada ya miaka kama mitano hivi wangeweza kuuza hiyo nyumba na kupata faida. Wengi ya walioamua kupata mikopo hiyo ya nyumba kuanzia like late 90s-2004 hivi walifanya hivyo wakizingatia rate ndogo ya 30/fixed ambapo kuna siku ilikuwa inafikia hadi 4.750. Na wale waliokuwa wanachukua PARM au ARM au hizo FHA loans walikuwa wakitarajia hilo hilo kwamba baada ya miaka michache na baada ya kuziongezea thamani nyumba zao wangeweza kuziuza na kuweza kulipa deni la msingi na kubakiwa na cash ambayo ingeweza kuwapa usalama zaidi wa maisha. Wrong.

Walioweza kufanya hivyo ni wale waliokuwa wana flip houses (real estate) na wao waliweza kutengeneza mamilioni ya dola. Wale wenzetu na siye ambao tulinunua nyuumba tukipiga hesabu kuwa in 2007 au 2008 nitakuwa nimeshapa vijunior viwili na hivyo kutafuta nyumba kubwa nikishauza hii ya zamani ndio tukajikuta tumeliwa kwani kufika 2007/2008 thamani ya nyumba imeshuka, deni la benki bado liko kubwa na wakati mwingine kupita thamani ya nyumba yenyewe! Matokeo yake ni kuwa hatumudu tena kulipa mortgage, malipo ya gari n.k imekuwa ngumu.. Matokeo yake tunaanza kulag behind katika malipo mwisho wake Benki wanataka nyumba yao!

hilo limetokana na tamaa inayotengenezwa na ubepari na siyo ujinga tu. Ubepari unaahidi kuwa unaweza kutengeneza hiyo fedha kwa haraka kama ukiwa na mtaji mzuri (which in this case ni ule mkopo wa benk). Tatizo ni kuwa unapoleta bidhaa sokoni, hakuna wa kununua na unashusha bei matokeo yake inakubidi uuze vitu kwa bei ya bure na kabla hakijakudodea.

Sasa ni kweli watu binafsi wanawajibika kwa kiasi kikubwa kwa kuingia mkenge huu lakini waliingia kwa sababu mfumo huu wa kibepari ulitengeneza mazingira hayo na sasa kama alivyosema yule mchungaji "the chickens have come home to roost"!

Hata mimi nilifanya kazi Wells Fargo Home Mortgage na Wells Fargo Home Equity on both the front end and the back end of the loan process. Kwa hiyo hata mimi ninaongea kwa authority. Idadi kubwa sana ya watu walipendelea ARMs kuliko fixed rate kwa sababu interest rate yake kwa kawaida inakuwa iko chini ukilinganisha na fixed kitu ambacho kinamwezesha mtu "kumiliki"/ kununua/ kukopeshwa nyumba ambayo otherwise asingeweza kuimudu kama rate and term zikiwa fixed. Matokeo yake kwa sababu ARMs zinabadilika baada ya miaka michache na zikibadilika hakuna guarantee rate itashuka (mara nyingi hupanda juu) mtu anajikuta anapata shock kwa sababu monthly note inapanda na anakuwa hawezi tena kumudu.

Pia, 100% financing na yenyewe imeumiza watu. Unakuta mtu anapewa mkopo with no money down au wakati mwingine anapata hata 105%. Sasa kama huwezi kuweka chini hata 20% ya mkopo wote hiyo siyo dalili nzuri ya wewe kuweza kumudu gharama za umilikaji nyumba. Kwanza inaonyesha huna akiba just in case there is an unforeseen adverse economic circumstance.

Kwa hiyo uwajibikaji kwa upande wa borrowers na wenyewe ni muhimu kuzingatia hapa kwa sababu mtu unajua kabisa huwezi kumudu malipo ya mkopo lakini unaingia mkenge na kununus nyumba ya bei mbaya, on top of that you go buy a car that matches the house (I'm sorry to say this but the foreclosure rate in the African American community is through the roof), and at the end of the day you end up strugling to pay your bills.
 
Hata mimi nilifanya kazi Wells Fargo Home Mortgage na Wells Fargo Home Equity on both the front end and the back end of the loan process. Kwa hiyo hata mimi ninaongea kwa authority. Idadi kubwa sana ya watu walipendelea ARMs kuliko fixed rate kwa sababu interest rate yake kwa kawaida inakuwa iko chini ukilinganisha na fixed kitu ambacho kinamwezesha mtu "kumiliki"/ kununua/ kukopeshwa nyumba ambayo otherwise asingeweza kuimudu kama rate and term zikiwa fixed. Matokeo yake kwa sababu ARMs zinabadilika baada ya miaka michache na zikibadilika hakuna guarantee rate itashuka (mara nyingi hupanda juu) mtu anajikuta anapata shock kwa sababu monthly note inapanda na anakuwa hawezi tena kumudu.

Pia, 100% financing na yenyewe imeumiza watu. Unakuta mtu anapewa mkopo with no money down au wakati mwingine anapata hata 105%. Sasa kama huwezi kuweka chini hata 20% ya mkopo wote hiyo siyo dalili nzuri ya wewe kuweza kumudu gharama za umilikaji nyumba. Kwanza inaonyesha huna akiba just in case there is an unforeseen adverse economic circumstance.

Kwa hiyo uwajibikaji kwa upande wa borrowers na wenyewe ni muhimu kuzingatia hapa kwa sababu mtu unajua kabisa huwezi kumudu malipo ya mkopo lakini unaingia mkenge na kununus nyumba ya bei mbaya, on top of that you go buy car that matches the house, and at the end of the day you end up strugling to pay your bills.

Very strong, saafi sana!
 
Sasa ni kweli watu binafsi wanawajibika kwa kiasi kikubwa kwa kuingia mkenge huu lakini waliingia kwa sababu mfumo huu wa kibepari ulitengeneza mazingira hayo na sasa kama alivyosema yule mchungaji "the chickens have come home to roost"!


tatizo si ubepari, tatizo ni politics za "deregulations" toka kwa GOP......Wall Street ilikuwa inajiendesha bila oversight yeyote ya maana toka Washington, DC! So, its deregulation stupid na sio ubepari kama ubepari ninavyoelewa mimi. Ndio maana hata hii bailout inakuwa ngumu kwasababu inaonekana ni kama kuwapa hawa wajinga wachache golden parachutes, bila sheria zozote za maana kuwabana incase wakiharibu!! Again tatizo ni deregulations na ma-loopholes kibao ktk sheria....na sio ubepari.
 
..communism na kina Nyerere wanaonekana kama hero kwa sababu tuu ya market crisis,capitalism still the best wakuu na imefanya mengi sana ya maana kuliko ujamaa katika maendeleo ya binadamu,ujamaa is simply evil na kama mnataka kurudi stone age rudisheni ujamaa bongo....ups & downs za market ni kawaida sana na zitaendelea kuwepo,kweli i cant stand ujamaa nikifikiria vile viduka vya serikali vya kuuza sukari na vishule visivyo na walimu wala madarasa

Kuna posti inayozungumzia hili jambo na nikawaambia hawa jamaa kuwa walikuwa wanasubiri sana kwa hamu haya mambo yatokee wapige kelele.

Mfumo wa maisha una sifa mbili kubwa: uwe resilient na dynamic. Resilient kwa maana uwe unaweza kukabiliana na kujirekebisha (self correcting mechanism). Dynamic uweze kubadilika na wakati kwa maana ubepari wa mapinduzi ya viwanda ni tofauti na wa sasa.

Wajamaa hawana sifa hizo mbili. Ujamaa ukidondoka, umedondoka (Hakuna self correcting mechanism). Na uliweza kukaa muda mrefu kwa sababu ya injection ya misaada kutoka kwa mabepari.

Ujamaa sio dynamic. Na kama hipo dynamic basi ya kurudisha nyuma. Kama leo unaweza kuvaa viatu, basi ukifuata ujamaa keshao kuna hatari ya wewe kwenda pekupeku.
 
Hapa wakuu wangu naona lugha nyingi sana lakini sote tunaukimbia ukweli wa yote haya...
hakuna Ubepari wala Ujamaa wenye kusimama peke yake...Nimeona maelezo mengi kuhusiana na Morgage na sijui watu walifanya nini ili kupata nini lakini ukweli ni kwamba soko linapoanguka hakuna tena hizo sababu...Ukweli ni kwamba hata Ubepari hauko dynamic unahitaji kukombolewa tena na maskini ambaye hela yake ni ya ngama..
Soko la nyumba limeanguka, sasa hivi hao hao Mabepari ambao walikuwa wakisema Ujamaa ukianguka huwafuata Mabepari kwa msaada, iweje leo Ubepari unaanguka mnafuata serikali kuwakomboa?..
Hata kama mkikataa kama alivyojaribu Nyerere na kusema hawezi kugeuka jiwe, ukweli utabakia kwamba sasa hivi Wall street haiwezi kufanya kitu bila serikali (watu) ku inject hizo fedha zao..
Tatizo ni masharti yanayokuja na Ujamaa, mabepari wanajaribu kuchambua wakati Ujamaa una fail mashatri yao hupokelewa tena kwa kusimangwa...Nyerere alitukanwa sana, kina Lenin na wengine vitabu kuandikwa na kuwataja wao na siasa zao kuwa ndio sababu kubwa ya kuanguka uchumi wa nchi hizo, lakini Great Depression haizungumzwi wala hutamsikia kiongozi au mtu akinyooshewa kidole..
Ni baada ya kukombolewa na serikali ndipo mashirika mengi yalianza kusimama tena ya na baadaye kuuzwa tena...UK na Marekani walikuwa na mashirika mengi chini ya serikali...

Binafsi nadhani tunachoshindwa kutazama hapa ni mahala nchi hizi zimefika tofauti na sisi. leo hii Marekani, UK na nchi za kibepari ama zilizoendelea zina middleclass karibu asilimia 80 na hao masikini ni chini ya asilimia 10. Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kuijenga nchi kupitia Ubepari wakati sisi hapa tuna karibu asilimia 80 ya maskini na hao matajiri pengine chini kabisa ya 0.01 jambo ambalo huwezi kuutukuza Ubepari ikiwa huna matajiri wenye uwezo wa kuanzisha soko. Badala yake unategenmmea nguvu kutoka nje nguvu ambazo zinakuja na masharti magumu yasitazama maendeleo ya nchi ama watu wake... Kwa hiyo sidhani kama ni akili nzuri kutumia mbinu sawa na wtu hawa kwa sababu tunayatazama haya mataifa makubwa...

Ubepari unafaa tu ukiwa utaanzia ndani sawa na Ujamaa lakini tunapokopa kila kitu iwe hata Ujamaa wenyewe tunaiga kutoka China ama Urusi ndipo tunapopotea kwani mazingira yetu hayafanani pamoja na kwamba mahitaji yetu yanaweza kuwa sawasawa...
 
Kwa hiyo ni vizuri kuchukua "Best of both worlds" yaani Ujamaa na Ubepari kwa sababu nadhani vyote vina umuhimu na upungufu wake, lakini kwa nchi zinazoendelea nadhani zingechukua huku na huku au haiwezekani?
 
Hata mimi nilifanya kazi Wells Fargo Home Mortgage na Wells Fargo Home Equity on both the front end and the back end of the loan process. Kwa hiyo hata mimi ninaongea kwa authority. Idadi kubwa sana ya watu walipendelea ARMs kuliko fixed rate kwa sababu interest rate yake kwa kawaida inakuwa iko chini ukilinganisha na fixed kitu ambacho kinamwezesha mtu "kumiliki"/ kununua/ kukopeshwa nyumba ambayo otherwise asingeweza kuimudu kama rate and term zikiwa fixed. Matokeo yake kwa sababu ARMs zinabadilika baada ya miaka michache na zikibadilika hakuna guarantee rate itashuka (mara nyingi hupanda juu) mtu anajikuta anapata shock kwa sababu monthly note inapanda na anakuwa hawezi tena kumudu.

Pia, 100% financing na yenyewe imeumiza watu. Unakuta mtu anapewa mkopo with no money down au wakati mwingine anapata hata 105%. Sasa kama huwezi kuweka chini hata 20% ya mkopo wote hiyo siyo dalili nzuri ya wewe kuweza kumudu gharama za umilikaji nyumba. Kwanza inaonyesha huna akiba just in case there is an unforeseen adverse economic circumstance.

Kwa hiyo uwajibikaji kwa upande wa borrowers na wenyewe ni muhimu kuzingatia hapa kwa sababu mtu unajua kabisa huwezi kumudu malipo ya mkopo lakini unaingia mkenge na kununus nyumba ya bei mbaya, on top of that you go buy a car that matches the house (I'm sorry to say this but the foreclosure rate in the African American community is through the roof), and at the end of the day you end up strugling to pay your bills.

Kumbe wewe ni mkali wa mortgages...?
Nimekubali no doubt.Swafi sana.
 
Kwa hiyo ni vizuri kuchukua "Best of both worlds" yaani Ujamaa na Ubepari kwa sababu nadhani vyote vina umuhimu na upungufu wake, lakini kwa nchi zinazoendelea nadhani zingechukua huku na huku au haiwezekani?

Lusajo,

I kinda concur especially after watching the Chinese Premier talking on CNN.
Hapa ni wazi kua ile "invisible hand' inachachamaa kiaina.Just a thought though.
 
Back
Top Bottom