Lusajo,
Ndivyo China walivyofanya na nchi kama Maleysia, Vietnam na sasa Urusi wote wamefanya na mabadiliko tunayaona sio sisi tuliogawa kila kitu bila kuzingatia malengo ya nchi ila matakwa ya watu...Mfumo wa tanzania unajaribu kuwabadilisha watu na mazingira yawe sawa na yale ya nchi zilizoendelea wakati ni maendeleo ndio hubadilisha watu na Mazingira..
Kwa hiyo toka Ujamaa kosa kubwa tulilolifanya ni kujaribu kubadilisha watu na mazingira yetu ili yafanane na hao tunaowaiga ndipo tulipojikuta tumeshindwa kila kitu..
Ndivyo China walivyofanya na nchi kama Maleysia, Vietnam na sasa Urusi wote wamefanya na mabadiliko tunayaona sio sisi tuliogawa kila kitu bila kuzingatia malengo ya nchi ila matakwa ya watu...Mfumo wa tanzania unajaribu kuwabadilisha watu na mazingira yawe sawa na yale ya nchi zilizoendelea wakati ni maendeleo ndio hubadilisha watu na Mazingira..
Kwa hiyo toka Ujamaa kosa kubwa tulilolifanya ni kujaribu kubadilisha watu na mazingira yetu ili yafanane na hao tunaowaiga ndipo tulipojikuta tumeshindwa kila kitu..