Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
I pray for you so that GODS OVER LOOKS THIS COMMENT AKUJALIE UZEEKE UONE WAJUKUU ZAKO NA WATOTO WA WAJUKUU ZAKO! Hujui ulinenalo! Awaepushie wanao KIKOMBE CHA MANGE HATA WAKIWA NA MIKA 40 NA ZAIDI.

Bibi wewe kila mtu atakufa siku yake ikifika usitake kutumia wazazi wake kufariki kama kigezo cha kumfanya anahatia sana yeye anayowafanyia wenzie kuwatukana na kuwadhalilisha vile ni sawa?halafu kifact mtu mzima wenye mume na watoto huwezi kumuita yatuima unaweza kumuita yatima mtoto aliechini ya miaka kumi na nane ambaye hana uwezo wa kujitegemea mwenyewe sasa lile zee zima utaliitaje yatima.....kwahy usitake kunitisha na hayo maneno yako kama Mungu akipanga niwaache wototo wangu wakiwa bado wadogo hapo kweli watakuwa ni yatima lakin kama nikiwaacha wazee wazima na familia zao wanahaja gani ya kujiita yatima wakati tayari ntakuwa nimewaacha wakiwa na uwezo wa kusimama wenyewe zaidi zaidi watakuwa ni watu waliofiwa na mzazi wakiwa katika hali ya utu uzima mbona watanzania tunapotosha maana ya vitu basi kama yeye bado ni yatima hawezi kujitegemea mwemyewe aende katika vituo vya kulelea yatima ooooohhhh did i say vituo vya kulea yatima nimesahau kama ni mama anayelea ila hana busara hata kidogo mama mdomo mchafu sijui na mwanae yule mwenye sura mbaya ka ---- la mbuta nanga atakuwaje maana mama adabu hana
 
tatizo yule mtoto anayakimbilia maisha ujue naskia hata shule kashindwa kumaliza na kazi ya bar ina risk sana hasa kwa binti mbichi ka leyla atauza bar mpaka lini Heaven je future yake itakuwaje hapo badae am just thinking lol

Wakati unaendelea kuthink hebu sema nikuhudumie kinywaji gani upoze koo kwanza
 
Last edited by a moderator:

Haaaaaa mi leo kaz yAngu kutoa like....naomba nikupe like za kumwaga
 
Last edited by a moderator:

Hebu ustadhi tupe darsa kidogo kwa hiyo hapa tunadanganywa eeeh????
 

fact kama hizi ndio tunazihitaji

ustaadhi please tupe neno hapo... sie kweli tuko Bongo twala vumbi tujuze japo kidogo
 
AAAAA now I gat it "NEVER HAD BEST RELATIONSHIP WITH HER MOTHER" AM no body to judge but with this nimepata majibu yote.

na kwa kutopatana na mamake mzazi ndo kumemfanya leo awe vile na maisha yake yatakua hivyohivyo kupata negative publicity mpaka siki atakayojua thamani ya mama na kumuandika km anavyoandikaga mama ww wenzie kwa kuwasfia ndo ile nafsi ya ushetank itaondoka na damu ya kunguni itaisha kwake
wenzie wanaelewana na mama zao hata wakikosana wanasolve ye anajfanya kajizaa...!
 
Hayaaaa! MWENZIO NASHUKURU MUNGU NA UZEE HUU NAIKIMBIZA 30 WAZAZI WAKO HI NA KOLA SIKU NAMUOMBA MUNGU AWEKE HAI ZAIDI NA ZAIDI! Kila mtu na Mungu wake! Kila kheri!
 
 
Kabla hajakupa aweke zake za HAVARD NA YALE PLEASEEEEE! Watu kw multiple ids ! Hahaaaa!

ko huyo kaja na I'd mpya.....

Lara hata wale kupiga picha kuonyesha vipapa wawachie teenagers... ndio maana wanakuja kudhalilishwa vile.....

sema SUUU lols...... mkuu wa kaya jaman ka enzi tuko utoto mambo ya Suuui
 
Na kupiga picha mipapa muaachie teenagera! Hahahaaa!

na kuchepuka pia kwenye ndoa waachie wasio na ndoa mana km ulijua huwezi kuhudumia ndoa uliolewea nin....?!!!kuolewa kwa show off mbaya sana bora usubiri tu hakuna kaburibla mjane....jamani mnaolewa afu bado bado mnapga za nje...duuuh...!!!
 

Ahahaha...Kuna video moja Linda alijirekodi anamtukana mange....na alirekodiwa na mwanae Leila..uliiona?
 

anasema leyla wa watu anauza bar ye bhoke kamlea kwa maadili eti hajui upande mwingine wa maisha yake na haters wake

yaani kale ka leyla juzi kalipanga fact insta hatariii kalijieleza vizuri kuhusu elimu yake na hiyo kazi yk ya baa yaani kanajielewa sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…