Hahaaaaaaaaa! Hongera kwa KUKOPESHEKA MAANA UNGEUMBUKA MJINI HAPA! Hahaaaaa! Wewe si uliniita nitoe jibu NIKAWAJIBU KWA MPIGOimekuwaje unataka kunigeuzia kibao kwanza sio siri nasoma kwa mkopo na unadhani kila mtu anakopesheka mpaka uwe na sifa hahahaha kantangazeeeeeee na chuo changu kinatimiza miaka hamsini next year kwani naficha mie inahuuuuu mjibu Ustaadh Swaleh au umesahau kichwa cha uzi tena who is mange maswali yajibiwe bhana
I know mange ni msomi, but maisha yake hayaendani na kisomo chake, atleast ningependa kusikia walau ana mafanikio kama MWANVITA MAKAMBA au hata LADY JAYDEE, maana nimeona bi dada katiririka CV yake lakini sijaona hata sehemu akizungumzia miradi au mali anazomiliki mange achilia mbali elimu yake nzuri na BLOG ya U- TURN anayodaiwa kumiliki, sasa sijui na zenyew ni sehemu ya utajiri wake au lah.
Kuwa na BLOG ni kitu cha ku consider like ni mafanikio ya kihivyo? Like seriously?. JIDE sio msomi kama mange ila huwezi kufananisha maisha ya JIDE na MANGE japokuwa mange anaish ulaya, jide yupo mbali sana kimafanikio ingawa ana elimu ndogo, so asijitape sana na elimu kubwa wakat haijamsaidia chochote kumletea mafanikio yanayostahili kwa mtu wa elimu yake.
ustaadhi haya maswali ya mtoa mada au na sie wengine yanatuhusu?????
RINGIA BAHATI BIBI WEEEE, WATOTO 4 KILA MTU BABA YAKE ! Hahaaaaa! Kweli mzuri hta mi naona! NA BANKRUPTCY CLAIM JUUU AAAAAAH MZURIJE SASA? Mpaka KASAGWA NA KUTANGAZA MWENYEWE! Hana mpinzani kwa kweli! Ni mzuri Mno mno! Dont detect any sarcasam because there is NONE! Hahaaaaaaa!bado mzuri ukimueka nw bosi wako anaonekana km kijakazi vile....!ndo katoka kwao kijijjn kaja kuanza kazi kwa LINDA chezea watu na miili yao...!
Wewe Mange kwa sie wambea wa mahakamani kashinda kesi ya mirathi mmmmmmmh! Angekuwa mmbea angsema ila kimyaaaaaa! Kina Jide ilikuwa choice yao kutangaza mali zao, yeye hajaamua. STAY TUNED atakuja siku kusema mimi naomba nisiseme mengi! JUST STAY TUNED! Mlisema KAWA DEPORTED US ATAIONA KWENYE TV TU YUPO WAPI SAIVI? Eeeh? SIO NYIE MLIJIAPIZA AKIKANYAGA MAREKANI SIO NYIE.? Ndo kahamia kabisaaaaaa! Hahaaaaa!
AAAAA now I gat it "NEVER HAD BEST RELATIONSHIP WITH HER MOTHER" AM no body to judge but with this nimepata majibu yote.
we acha ndo mana shosti roho inamuuma hamzidi kwa lolote...!mtoto show rangi ya jogoo...!
NIMEOMBA CREDENTIALS ZENU WAULIZA SWALI ZA HUKO YALE NA HAVARD SIPEWI! Ndo nangoja! Credentials za muuliza swali zina influence jibu langu! Hahahaaaaa!we jibu tu heaven nishaona lara anayakwepa kijanja
Lara muulize boss wako vipi amekosa hela ya kushonea weaving nyingine maana alionayo ni toka mjamzito mpk sasa nyweli haninuki kweli...? Ni karibia miezi 5 lolz anatuaibisha.....
RINGIA BAHATI BIBI WEEEE, WATOTO 4 KILA MTU BABA YAKE ! Hahaaaaa! Kweli mzuri hta mi naona! NA BANKRUPTCY CLAIM JUUU AAAAAAH MZURIJE SASA? Mpaka KASAGWA NA KUTANGAZA MWENYEWE! Hana mpinzani kwa kweli! Ni mzuri Mno mno! Dont detect any sarcasam because there is NONE! Hahaaaaaaa!
Hahaaaaaaaaa! Hongera kwa KUKOPESHEKA MAANA UNGEUMBUKA MJINI HAPA! Hahaaaaa! Wewe si uliniita nitoe jibu NIKAWAJIBU KWA MPIGO
KAMA RAISI NA NYIE WAZAZI WENU WAKAWASOMESHE COLLAGE NJE MSIKOP KOPE MJINI HUMU! Hahahaaaaaaaa!
HAHAAAAAAA MBONA BEUTY WA KIJIJI ALIKOSA NATIVE AMERICAN KAZI KUCHUKUA MIGRANTS.? Hahaaa! Na kudumu nao shughuli! Hahaa ndo maana nikakwambia RINGIA BAHATI UZURI HATA TWIGA ANAO! Uzee ule kuishi kama refugeee wakati nchi yako ina amani? Kweli? Hahahaaaaaaa! Chezea migrants wewe?Si aliiba ndo mana...?na alifight kweli mpaka kaolewa na mmarekani ili aende tena by the way yule mtu wa michezo michafu so hashndwi kicheza rafu ili afike anapopataka by hook or crook thats why yupo radhi asake umaarufu kwa maugomvi na watu...!!!!
we jibu tu heaven nishaona lara anayakwepa kijanja
Hahaaaaaaaaa! Hongera kwa KUKOPESHEKA MAANA UNGEUMBUKA MJINI HAPA! Hahaaaaa! Wewe si uliniita nitoe jibu NIKAWAJIBU KWA MPIGO
KAMA RAISI NA NYIE WAZAZI WENU WAKAWASOMESHE COLLAGE NJE MSIKOP KOPE MJINI HUMU! Hahahaaaaaaaa!
They are open to anyone who has answers. So have a crack at them if you can.....
Ukikopa inatakiwa uwe na dabu sio kujifanya KUMNYALII MTU MZAZI WAKE KAMLIPIA MIDOLARI YA NAULI, ACCOMODATION, ADA, AFYA, ILI APATE A CHANCE OF BETTER EDUCATION. Hio ni ndoto ya kila mzazi sema ndo uwezo unabanaaaaa! Msonde vitu ambavo mzazi wa mtu kajitahidi.Kwani kukopa dhambi?Kama serikali inakopa sembuse mwananchi wa kawaida?Kwani wewe umesoma wapi chuo?
we jibu tu heaven nishaona lara anayakwepa kijanja
Hahahaaaaaaaa! MKUKI KWA MANGE KWENU MCHUNGU EEEH? Mpaka unakopa uwezo huna bwanaaaa, huwezi kuwa na mihela afu ukubali uingie kwenye midata base ya kukopeshana! Hahaaaaa!hahahahaha ushaaanza kuishiwa kubwa la maadui unaanza kuniangusha tena aaarrrgh ustoke nje ya mada bhana jibu maswali ya ustaadhi tujue ka yaliyomo yamo mtu kukopeshwa so kwamba hana uwezo basi kaamua tu kujaza form kwanza napata kote kote serikalini na home hahaha tu pocketmoney ninayotumia per day yaweza kuwa budget yako ya wiki nzima lol
Hahaaaaaa! Kwenda nje ULIZA NAULI TU MPAKA US SH NGAPI ACHA HUO UTITIRI WA NCHI ZINGINE, ACCOMODATION, NA MATUMIZI MENGINE!
Kuolewa na muafrica ndo kuukata?
Aliomba mumuongelee!
Mama yako alikutelekeza kwa baba yako au unachetuka tu hapa?
NA UTADODA BONGO SI KIDOGO CHEZEA MAMTONI WEYEEE!
anapenda kumuongelea ndo maana anaanzisha mabeef na watu maarufu kusudi ili aongelewe
Hata angenitelekeza nisingemdharau mama angu mana couzin yangu alitelekezwa na miezi mi3 ila alimtafta mamake yuko chuo mwaka wa pili na alimpata tena NAIROBI..
Na wacha tuendelee kudoda hapa bongo kuliko fake life mamtoni mpaka mnaiba vitu vya watu...
Life ngumu jamani
rudini nyumbani...
Kuna watu wana africans na wako vizuri