lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
- Thread starter
- #21
alijua sio yeye anaeanzisha thread yet akaweka picha ya Max kule ili iweje is that how educated people handle stuff??? aliona hapendezwi angeongea nae yet akaweka picha yake kwenye blog yake.
ni sawa sa hivi aanze kumu attack Mack Zuckerberg kisa kuna kina fundenge wana post stuff and other shit kumuhusu yeye fb na insta.why dealing with the third part????
blog ka yake it's quite different na JF
MBONA MAX ZINAWEKWA PICHA ZA WATU WENGI HUMU HAFANYI CHOCHOTE? Na PICHA YA MAX IMEWEKWA BLOGS KIBAOOOOOO KWA MICHUZI, HADI GAZETINI THATA TIME ANASUMBUANA NA SERIKALI KUWEKA MANGE IWE BIG ISSUE.?
HIVI WE UNAFIKIRI MAX UNAMUOMBA TU AFUTE TOPIC HOT ANAFUTA..? Dhubutuuuuuuuuuuuuu! The blogging and socialmedia game is about traffic! NDO MAX HAKUOMBA MANGE AMTOE ALICHUNA TU, COZ ALIJUA VYA MANGE KAVIACHIA VINGI SANAAAA!
Tena nasisitiza WALIMTUKANA MAX NI WATU AKA PUBLIC AMBAO WANAMJUA MAMNGE HANA KOSA ITS HIS BAD, KAMA ILIVOKUWA HER BAD WADAU MNAVOMTUKANA HUMU JF!
MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU MCHUNGU EEEEEEEH!