TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
umeona ninavyokupenda ingawa hamniitagi movie zikinoga lol chukua kigoda kabisaaaaaa hapa leo hapatoshi atapanguliwa mmoja baada ya mwingine
Hahahahaa....kweli nimeamini unanipenda... **hugs*** to you.
Yaani hapatatosha kabisa leo.. mi nimeshaanda wine yangu nacheki hii movie itaishaje maana naona watu wamejipanga...
Mi leo nna majonzi sana.