Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
 
Hahahahaaaaa! I GUESS HIO NDO NJIA NYINGINE YA KUSEMA HAMNA CREDENTIALS ZINAZO HOLD WATER! Hahahaaaaa! Mkuki kwa Mange kwenu mchungu kama tula tula au ndulele!

hahahahahahaha toa za mange basi tujue yaliyomo yamo mi cv yangu haijakamilika ingawa ndo naikamilisha soon kwanza mi sio celeb mpaka niweke details zangu hapa we uzi wako uliuweka ili tujue mbivu nq mbichi naona unakwepa kijanja unatuone vidagaa haya ustaadh huyo hapo unamkwepa tu hahahaha
 
Hahhaaaaaaa! ILA MZAZI WAKE ALI AFFORD KUMPELEKA NA AAKA AFFORD KUPATA MIMBA! How old was she again? 20 or 21 n YET AKAENDELEA KUMSOMESH! Pamoja na yote she wnt ahead got herself a masters, na mume MMAREKANI ORIGINAL! Wengine mmedoda tu hapa bongo, kusoma hamsomi, kuzaa hamzai, nje hamuendi! Hahaaaaqa!

THE IRON LADY HERSELF,!
 
NIMESEMA HAPA NATAKA FAIR PLAY UNATOA YAKO NAKUPA YA MWENZKO UNAWEZA KUWA FORM 4 UMEENDA NJE UNACHAMBA VIZEE HUKO NA KUOSHA VYOO afu unataka cv ya mwenzio ya KAZI GANI? Hahaaaaaa! UNATOA CREDENTIALS ZAKO UNAPEWA ZA MWENZIO! Hahahaaaaaaa! BALANCE OF TRADE!
 
mie hata najua kuhusu details nyingine basi najua alisoma Ud. ukiuliza mwaka sijui masters ndio hiyo Dubai...

tukaambiwa education is sexy na sie tukawa inspired ie Lara one na ye kapata yake inshaalah na mie nikikazana nitakua nayo soon.......

Mange anaishi ulaya tena maisha mazuri kama anavyodai yeye, kwa nini kila siku ahangaike na wabongo mitandaoni kutukanana ovyo? Anapata wapi uo mda?, ivi k-lyn aka bosslady anapata wapi huo mda kwa mfano? . Mimi nina wasi wasi kama sio YAYA aka mama wa nyumbani na hana kazi za kufanya na ndio maana anapata mda wa kurumbana na kujua maisha ya akina SINTAH ambao wako bongo wakat yeye yupo ulaya
 
Leyla ana miaka 20 ni mtu mzima anajua anachokifanya mwambieni mama water mark aback off haitaji 'ushauri' wake....
 
mi hata akipata sina hasara akikosa pia ila sielewagi kwa nini ana roho mbaya ya kutaka afanikiwe yeye tu...?!!!
Hahahaaaa! YA LINDA BEAUTY WA KIJIJI YAMEKUSHINDA KUASIMAMIA MWEEEEEEE.? Hahaaa! Utahangaika sanaaa kuitete migumegume iliomshinda mtume!
 
Jamani hivi mimi naishi sayari gani?, mbona simjui huyo mange wala pua kubwa wala yeyote hapa? Au mie ni msukule? Nizindueni mashosti maana umbea naupenda! Lol
 

Nadhani sasa yaliyobaki ni mazungumzo baada ya habari kwa sababu mjadala nimeumaliza.

Sasa naondoka ila mkizidiwa tu niiteni.

Wasalaam, Ustaadh Swaleh aka Mr. Fact-Checker -Myth Debunker.
 
ndo umalaya wa utotoni kukitanulisha tanulisha hovyoo...hadi leo anakua na stress za ajabu
mi nipo bongo sina haraka ya maisha
nashkuru nimezaa mungu mkubwa
ila yeye mambo yake yaendane na elimu yake mtu mzima hovyooo....!
 
Leyla ana miaka 20 ni mtu mzima anajua anachokifanya mwambieni mama water mark aback off haitaji 'ushauri' wake....
Hahahaaaa! THE DROP OUT OF HIGH SCHOOL KID!!!! Amakweli anajua anachokifanya kuuza bar! Ni profession pia lakini.
 
ndo umalaya wa utotoni kukitanulisha tanulisha hovyoo...hadi leo anakua na stress za ajabu
mi nipo bongo sina haraka ya maisha
nashkuru nimezaa mungu mkubwa
ila yeye mambo yake yaendane na elimu yake mtu mzima hovyooo....!

Hahaa na MALAYA WA UZEENI DADA YAKO LINDA VIPI? Na alietundika mpapa anaikimbiza 40 nae vipi? hahaahhaaaaaaa!
Hongera kwa kuzaaa yakhe walau umejulikana SIO MGUMBA ATIII!
 
Nadhani sasa yaliyobaki ni mazungumzo baada ya habari kwa sababu mjadala nimeumaliza.

Sasa naondoka ila mkizidiwa tu niiteni.

Wasalaam, Ustaadh Swaleh aka Mr. Fact-Checker -Myth Debunker.

ustaadh anataka details zako ili akupe za mange mpe hata nusu cv hahahaha ingawa kaishiwa hoja mpe point tatu za bureeee
 
Mange gets PAID BY VODACOM kila mwezi pesa ndefuuu kuleta traffic pale kwenye blog, So automatically mda lazima aupate coz analipwa meeeen! Na mitandao kwake ni economic activity. Sintah mpapa wake uko bond hana ujanja saivi! HAHAAAAAAA!
 
usiku mwema wadau.... sikuona fact yoyote zaidi dizaini ilikua kama promotion ya bidhaa Fulani. hivi Leyla baba yake ni NANI???? kwa jina?? maana lawama anapewa Mama, baba yake yupo????

alamski CASE CLOSED.

leyla babake makongoro ila anatumia jna la mama kwa sababu ktk uislam mtoto wa nje ni wa mam ndo maana anatumia ukoo wa mama ake
 

hahaaaaa......!umeonaaah...!!!!leo hapana leo!!!hamma facts hamna evidence umetuchenga sana leo...!
 

Ahahah ahah ukapige picha hadi wakat unajifungua kwenye hospital aliyojifungulia KIM KARDASHIAN si eti eeh?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…