Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Naona ishu ya nauli umeiminyiaaaa! Hahaaaaa!
Subiri mama yako akikute
Ekeza 20yrs n more ndo uje ufungue bakuli lako hapo, my cousin hai hold water!
UDODE MARA NGAPI.? Hahaaaaa!
nauli nayo ya kwenda nje...?!!!kwani ye si alikua anaenda kusoma amaa na anapelekwa?!!si alikua anaenda kuuza nyapu ili apate wa kumsitiri bongo angedoda nani akubali mamba huyooo aliechoma gari la hawara motooo...ukweli ana roho mbaya sanaaa...!!!!
Lara wengine hatuongei maisha yetu sio maarufu...!ila huo nimekupa mfano tu..!
And thnx to lord my momy passed away 10years agoo...!!!
Niko na mama mlezi...!!!