Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Sa si ungepiga kimya kama ndo ulikuwa na haya mautumbo yako,,umemshushia hadhi mange,,'eti who is mange kimambi'alafu ndo unaishia hapa,,maswal hujibu sijui haumjui unabahatisha tu?!!!..u-turn hakuna hii mada,
 
JIDE NI JIDE NA MANGE NI MANGE!

Mange ni mpare na ni asili yake kupenda kesi, na kama mtu anahamu ya kuchbwa kwanini asichambwe? Beef hizi hizi za uswazi Vodacom kila mwaka wanamuongezea hela sababu traffic inakua. Ye hana akili afanye beef na Mwammy wakati Mwammy bosi huko voda akose mkate!

HAWA HAWA WANYONGE, WASIOENDA SHULE KINA BEDUI, SITAHARISHA, BINTI MWALUBADU ATAWATUMIA KAMA CHAMBO! Na mipapa haitolewi bond ngooooo! Hahahaaaaa!
 
Sa si ungepiga kimya kama ndo ulikuwa na haya mautumbo yako,,umemshushia hadhi mange,,'eti who is mange kimambi'alafu ndo unaishia hapa,,maswal hujibu sijui haumjui unabahatisha tu?!!!..u-turn hakuna hii mada,
Hahahaaaaa! USINIPANGIE NAANDIKA NACHOJISIKIA NAISHIA NAPO TAKA! FLORA KESI YA KUBAKWA KIBOGA NA MBUNGE INAENDELEAJE USIZUGE SI UMEMTUMIA FLORA KAMAOINTOF REFERENCE! Jibu hoja!
 

Kumbe mtu mwenye ndo alivyo means hata tukeshe apa ni kazi bure ndo alivyo? Mweeh ngoja nilale kumbe najiangaisha kumbe kweli mange anapenda maugomvi nashukur umejua binamu, aya sasa ngoja tulale
 
Hivi lara una usingizi ama?Umeulizwa shost yako atatoa hilo weaving lake lini wewe unaenda kumkurupukia leila.Ama kweli leyla anakunyima usingizi kha!!!!

hahaaaa....!kachoka bwana eeh!tatizo mtoto mzurjeee...!
 
Kumbe mtu mwenye ndo alivyo means hata tukeshe apa ni kazi bure ndo alivyo? Mweeh ngoja nilale kumbe najiangaisha kumbe kweli mange anapenda maugomvi nashukur umejua binamu, aya sasa ngoja tulale
Hahahahaaaa! Hio sio siri UKIMUANZA LAZIMA ALITAFTE DUSHELELE LAKO ALIWEKE BOND,! Hahahaaaaa! Lazima uwe mpole! Bora uwe makini na dushelele lako! Usiku mwema!
 
Sa si ungepiga kimya kama ndo ulikuwa na haya mautumbo yako,,umemshushia hadhi mange,,'eti who is mange kimambi'alafu ndo unaishia hapa,,maswal hujibu sijui haumjui unabahatisha tu?!!!..u-turn hakuna hii mada,

hahahahahaha uwiiiii miya umenichekeshaje nenda u turn chini kabisa click habari zilizopita yatakuja maisha ya mange na mapicha yake utapata intro who is she then urudi hapa ila hii mada huko haipo
 
Kwa hyo sa hvi ni flora sio 'who is mange'tena,,badili heading nikujibu,
 
hahahahahahha hili swali hakujujibu vile mbona wigs za sample bado anazo hajataka tu lol
Nimejibu hapo kwa honey faith! Maana hamkawii kuishupalia hio point moja!
 
Sio wewe mdogo wako ANAINGIA NA TOCHI HAHAHAAAA! My bad, nitarudi kusoma vizuri.kwa hio mumeo nae fisadi au yupo na Zito kwwnye movemwnt zake ndani ya chama?

ndo mimi mimi siku ike siuchangia sana nlitingwa kweli zito achana nae si tunasonga mbele haturud nyuma mamluki yule afu ujue mdogo wangu ndoa yenyewe ishaamshjnda nusu ntoe uzi acha tu yani tochi imezimika...!
 
Kwa hyo sa hvi ni flora sio 'who is mange'tena,,badili heading nikujibu,
WE SI UMESEMA FLORA KAPOST SIJUI TUKITU GANI ABT MANGE NDO NAESTABLISH CREDIBILITY YA ALIEPOST HIO HOJA YAKO ULIOITUMIA,

Haya uliokota post kwake KESI YAKE YA KUBAKWA TIGO NA MHESHIMIWA MBUNGU INAENDWLEAJE..? Imagine kasema yale juu ya mbunge wenu wa chadema sasa atashindwa kusema nini juu ya mnage!NACHOTAKA NI UNIAMBIE JE ALIVOSEMA MBUNGE KAMBAKA NI KWELI? MLIDHIBITISHA.? Na Tigo ililiwa kweli? Tuanzie hapo! Ni mtu muhimu sanaa Floramkwenye argumwnt yako!
 
Kwa hyo mange kazaliwa mwaka gani?kaanza lin elimu yake na kuhitimu lin?wazazi wake ni kina nani? Nijibu hayo kwanza alafu tuendelee...
 
Kumbe mtu mwenye ndo alivyo means hata tukeshe apa ni kazi bure ndo alivyo? Mweeh ngoja nilale kumbe najiangaisha kumbe kweli mange anapenda maugomvi nashukur umejua binamu, aya sasa ngoja tulale

Umeona binamu eeeh.Kumbe shost mtu yeye anapenda ugomvi na hiyo yote kudraw attention kwa watu ili waingie kwenye blog yake ili apate ulaji la sivyo ataumbuka muke ya mzungu.Ila na mume wake ana kazi aiseee yani mke kila siku yeye ni ugomvi duh yani huyo mume nahisi ni design za kinabushoke wanaopelekeshwa na wake zao
 
Hahahaaaaa! Lazima uone maruwe ruwe mikombora imekukolea mujarabuuuuuuuuuuuuuuu! Mtoa mada mie LARA 1! Miss neddy yumo kichwani kwako!
Mikombora km ipi wewe sie tunKuona juha tu kubishana na vivuli watu behind keyboard !wewe mwenyewe hufahamiki ila unaatract attention negative image kwa yeye anayefahamika mange,any way birds of the same feather....uko km yeye hamkubali kujishusha hili li thread litafika alfu lela ulela hovyooooo
 
ndo mimi mimi siku ike siuchangia sana nlitingwa kweli zito achana nae si tunasonga mbele haturud nyuma mamluki yule afu ujue mdogo wangu ndoa yenyewe ishaamshjnda nusu ntoe uzi acha tu yani tochi imezimika...!
Hahahaaaaa! Tochi imeishiwa betri! Dogo nunda sanaaa! Kwa hio wewe upo na WACHAGA WENZANGU? Mr. Mmbunge nini, naona upo na winning team! Hahahaaa!
 

jaydee next level mange pamoja na masters yake hamfikii jaydee kwa lolote sanasana anachomzidi elimu tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…