Hahahahaaaa! Hio sio siri UKIMUANZA LAZIMA ALITAFTE DUSHELELE LAKO ALIWEKE BOND,! Hahahaaaaa! Lazima uwe mpole! Bora uwe makini na dushelele lako! Usiku mwema!
HAHAHAAAA NAONA UNAONA CLEAR SASA? Hahaaaa! Hata mkiniona mfalme hamnipi kunya! Halooo! Mmezoe kumuonea mtotowa watu leo apumue kidogo! Dooooh!Mikombora km ipi wewe sie tunKuona juha tu kubishana na vivuli watu behind keyboard !wewe mwenyewe hufahamiki ila unaatract attention negative image kwa yeye anayefahamika mange,any way birds of the same feather....uko km yeye hamkubali kujishusha hili li thread litafika alfu lela ulela hovyooooo
JIDE NI JIDE NA MANGE NI MANGE!
Mange ni mpare na ni asili yake kupenda kesi, na kama mtu anahamu ya kuchbwa kwanini asichambwe? Beef hizi hizi za uswazi Vodacom kila mwaka wanamuongezea hela sababu traffic inakua. Ye hana akili afanye beef na Mwammy wakati Mwammy bosi huko voda akose mkate!
HAWA HAWA WANYONGE, WASIOENDA SHULE KINA BEDUI, SITAHARISHA, BINTI MWALUBADU ATAWATUMIA KAMA CHAMBO! Na mipapa haitolewi bond ngooooo! Hahahaaaaa!
Unajua...walau nikijua mwaka aliohitimu hapo UDSM na kozi aliyosomea itakuwa rahisi ku-cross check na watu waliomaliza mwaka huo na pia nitaangalia kwenye vile vi-booklets vinavyoorodhesha wahitimu na majors zao kabla sijaenda utawala kwenye ofisi ya registrar.....
Get my drift? Na hapo ni kwa UDSM tu.....bado Marekani....ambako ni rahisi zaidi kujua kama kweli alisoma college au la!
Mtoto anawanyima usingizi kwa uzuri wake
Hahahaaaa! Warumi unaniangusha! Na wewe unamkubali Mbuta?Mdomo tu yule ngoja arud TZ watu wamshughulikie mbona mzungu atamsahau, watu wamempania kitu mbuta nanga ndan atajuta mwaka huu.
Hahahaaaaa! NDO MAANA NAKWAMBIA MJINI MGENI BADO!Ndo mana hamgusi mwamvita ng'oooo...!kumbe anajua kunyenyekea km ye mwanammke haswaaa...!amguse aone km ajarudi bongo kwa meli ya mizigo...!kumbe ana wanyonge wakeee...baaas kuanzia leo nshamjua!
Hahahaaaa! WEWE UMETUMIA POST YA MBUTA KAMA REFERENCE,! Okay alibakwa! Mahakama gani ilidhibitisha? Alifungua kwsi wapi vileeee? Na mbunge kachukuliwa hatua gani? Aiseee! Kumbe chama kina wabakaji! Nijibu hayo kwanza tutarudi kwa mashoga zake! Tukiwa njiani kurudi HIVI MASJOGA ZAKE WALISEMA KWANINI VILE HAWAONGEI NA MANGE TENA.?Kwa hyo mange kazaliwa mwaka gani?kaanza lin elimu yake na kuhitimu lin?wazazi wake ni kina nani? Nijibu hayo kwanza alafu tuendelee
Alibakwa,,,eeh mange kwa nn aligombana na Mashaka zake(mwamy na kiki),,kwa nn alimsusa mama ake(Mungu amlaze pahala pema)
Hahahaaaaa! NDO MAANA NAKWAMBIA MJINI MGENI BADO!
Alimgaragaza chaliii kwa mazito kwenye UDAKU SPECIALLY sio kwenye blog yake! Aaaaaaaah! Ilikuwa nomaaa nomani! Daaaah! NILIFAIDI UMBEA MPAKA ROHO IKANISUUZIKA!
Ila mliopitwa mlipitwa ! Ukisearch humu jf Mwammy unaweza yapata kidogo labda! Hahahaaaaaa!w
HAHAHAAAA NAONA UNAONA CLEAR SASA? Hahaaaa! Hata mkiniona mfalme hamnipi kunya! Halooo! Mmezoe kumuonea mtotowa watu leo apumue kidogo! Dooooh!
Tupe na sie umbea tusuhuzike,,haya ndo mambo ya who is mange kimambi tumjue leo kinaga ubagaHahahaaaaa! NDO MAANA NAKWAMBIA MJINI MGENI BADO!
Alimgaragaza chaliii kwa mazito kwenye UDAKU SPECIALLY sio kwenye blog yake! Aaaaaaaah! Ilikuwa nomaaa nomani! Daaaah! NILIFAIDI UMBEA MPAKA ROHO IKANISUUZIKA!
Ila mliopitwa mlipitwa ! Ukisearch humu jf Mwammy unaweza yapata kidogo labda! Hahahaaaaaa!w
HAHAHAAAA NAONA UNAONA CLEAR SASA? Hahaaaa! Hata mkiniona mfalme hamnipi kunya! Halooo! Mmezoe kumuonea mtotowa watu leo apumue kidogo! Dooooh!
asa kumbe wote wana michezo michafu yule mkimbizi...!huyu kalazimisha ndoa!
Ila mwambie bosi wako uchorii watamchoma moto mama angu mzazi...!
ANANGOJA MWAMMY ATUMIE ID YAKE KUANZA KUMCHOKOA AFU KAMA KAWAIDA YAKE ANAMALIZIA VITA! Mwamy mjanja katumia fake id kuanza vita na kamalizwa kwa fake id! Hahahaaaaaaa!Kama mwanamke kweli amchambe live sio kutumia fake id.Yeye si kazoea kuchamba basi amchambe live kwenye blog yake kama hajalala njaa na marekani yake.
Hahahaaaaa! NDO MAANA NAKWAMBIA MJINI MGENI BADO!
Alimgaragaza chaliii kwa mazito kwenye UDAKU SPECIALLY sio kwenye blog yake! Aaaaaaaah! Ilikuwa nomaaa nomani! Daaaah! NILIFAIDI UMBEA MPAKA ROHO IKANISUUZIKA!
Ila mliopitwa mlipitwa ! Ukisearch humu jf Mwammy unaweza yapata kidogo labda! Hahahaaaaaa!w
Hahahaaaaa! Unadhani sina hamu ya kuyatoa basi! Mmmmmh! Ila COLLATERAL DAMAGE ndo nawahurumia kina Mwammy, tuache yaliyopita si ndwele! TULIOFAIDI TULIFAIDI BAAAAAAAAASSS!Tupe na sie umbea tusuhuzike,,haya ndo mambo ya who is mange kimambi tumjue leo kinaga ubaga
Kabanwa hadimahakama iamue???hakunaga hyo kubakwa ni tendo linaweza kuwa la siri au hadharani kujamiina pasipo ridhaa.mahakama haihisiki au mahakama inabaka siku hzi?!!!!eeh nipe manondo,,mzungumzie utakuwa umesaidia 'who is mange kimambi'inajumlisha kila kituHahahaaaa! WEWE UMETUMIA POST YA MBUTA KAMA REFERENCE,! Okay alibakwa! Mahakama gani ilidhibitisha? Alifungua kwsi wapi vileeee? Na mbunge kachukuliwa hatua gani? Aiseee! Kumbe chama kina wabakaji! Nijibu hayo kwanza tutarudi kwa mashoga zake! Tukiwa njiani kurudi HIVI MASJOGA ZAKE WALISEMA KWANINI VILE HAWAONGEI NA MANGE TENA.?
Mi ya marehemu sijihusishi coz hata mkimsingizia hawezi kurudi kujitetea!
kumbe ndo alikua yeye she is pathetic baass...km ye mwanamke si angemtukana yeye nakumbuka afu kumbe kule udakuni anajitumiaga msg ndo manq mbuta nanga alimpa kubwa