Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
angekua hapumui tungekua tunaongelea habari nyingine sa hivi....tena habari mbaya sana inavyoonekana hatà maana ya kupumua huijui...... BRN inakuhusu.

haya kakojoe ulale....

mambo yako yamekushindwa kutwa kumsema sema mange, unatafuta nini kwenye blog yake kafie mbaliiii, hile ni blog yake anaposti anachotaka fungua yako na wewe
 
Watu wanaanzisha nyuzi JF wapate views kwenye Blog zao, hongera na mimi nimekuja huko nimeongeza traffic maana nilikua siijui . :ranger:
 
Mods naomba mfanye hivi vitu 3
1) Naomba muweke hii thread sticky
2) Naomba mu edit heading isomeke "Girls only"
3)Naomba mua appoint special Mods awe ana moderate hii thread
Asante .
Wako katika ujenzi wa jf.
 
Anajipa
Moyo eti"nimewachamba"anaogopa kibarua kitaota nyasi,sijaona lolote zaidi ya matapishi,,anazunguka huku mara kule hata aeleweki..bora angenyamaza kajipendekeza kubaya lara 1 leo umejizalilisha umekuwa lala 0

kweli leo lara 1 hata me sijamuelewa huwa namuonaga bonge la fighter. hajamchamba mtu hafu hapa hatuchambani tunapeana ukweli na uwazi.
 
We binamu uko busy na Wema/diamon/Kajala umbea wa wasomi /watoto class huuwezi nini? ahaa

Wasomi wa kina nani? Mange? Anayegombana na vishumundu na cheap people its soo sad kwa msomi kama mange, mbona jide ata shule hajaenda ila huwez kukuta hata siku moja et achambane na shilole kwanza kwa lip? Watagombania nn haswa kama sio jide kujishushia heshima, jide hajasoma ila kaweza kuitikisa clouds media group kampuni tata sana apa nchini na yenye nguvu zaidi nakumbuka pia alimchamba live january makamba yan she deals with classy n educated people, hiz ndo bifu za kisomi binamu ambazo mange angetakiwa ajifunze sio kugombana na local people kweny mitandao inamshusha sana, mi nilimdharau tu alivyogombana na sintah yan mange anapoteza kabisa mda kwa ajili ya sintah? Duh
 

Anadhani uhudumu Wa mbele ni sawa na huu Wa bar zetu huku dunia ya mia3?
Shame on her sijui ana mavi ubongoni huyu lara
 
Toto lake bayaaa, jeusiiii, km dumeee...anajitahidi kulivalisha halipendeziiii ( kama yeye anavyowasema wale wamama wa watu bila kosa....eti wamepauka kama wanakula cement..)

Ye mwenyewe ana sura mbayaaa, miguu kama anatembelea mikono...

Jamanii umenikumbusha kule udaku special Mange anachambwaa jamaniii eti" unasema wenzio wabaya we mbona domo kama hotpot hatusemi hm,bhoke mwenyewe sura kama anapigwa lipu "
Watu wana michambo jamaniiiii
 

Jaydee ni smart anajua anachokifanya, Mange ana watu anawaonea hawezi thubutu kugombana na classy people sababu wapo juu kumzidi, .
Anapenda maugomvi yasiyo na tija halafu anaona sifa.
Mimi Mange kwakweli nilikuwa namuadmire zamani lkn baadae nikagundua huyu mtu ana shida. Sisi hatujui maugomvi yao chanzo ni nini,lakini hata kama walimuudhi yeye angeact kisomi kama wenzake kina Mwamy,kiki,shamim etc sasa matokeo yake ye ndio anaonekana kama hana akili.
Anatakiwa ajifunze kujishusha/kuwa mjinga kitu ambacho Mange hataki.We kila mtu akikuudhi unaanzisha vita si utapigana na kijiji ,maana ubinadamu kazi.
 

Mama mamasters hajui hayo kwamba public figure details zake ni public and influential
 

I only wonder from primary to university ila mtu bado ana ji behave local n cheap like that, Elimu imemsaidia nini huyu? Au kujaza vyeti ndani tu maana sidhan kama hiyo elimu iliingia kichwan naona iliishia kwenye vyeti tu. Atleast she could beefing with watu ambao wanajielewa, sasa mange anagombana na akina sintah? Mbuta nanga? Halafu ndo msomi huyo tena anaishi ulaya anakaa kila kukicha kufuatilia maisha ya wabongo mbaya zaidi na matusi juu, anapata wap mda wa kutafuta picha za uchi za chagga barbie ili amuwek mitandaon? MUKE YA MZUNGU huyo, sasa angeolewa na akina muhogo mchungu sijui ingekuwaje
 

Do u think kila MTU no mwajiliwa au anafanya kazi kma ww?
Ache I kufananisha maisha
Ww mbn unapata muda Wa kuingia jf huna kazi za kufanya au?
 
Mama mamasters hajui hayo kwamba public figure details zake ni public and influential

Mmh huyo mange kusoma kote shule nzur ndan na nje ya nchi, kumaliza mastaz,kuolewa na mzungu na kuishi ulaya yani bado tu hajajitaid ku adopt some of the fruitful behaviour like ustaarabu? Na kuacha uswahili , halaf ndo tunaambiwa kaishi mbezi beach mmmh wonders shall never end in this land, na huyo mzungu kaz anayo we ngoja watamfuata mpak uko kwa mumew wamuonyeshe adabu
 
Yaan Lara huu uzi ungekua mzuri kama ungetujibu maswali yetu sio kupanik na kuanza kuchambaa ooo vinuka mkojo kwani Mange anakojoa soda au wine au hakojoi kabisaaa

Mi naona unachamba tu hujatuwekea fact hiz na hiz bali unasifiaa upuuzi tu sasa hivi Lance kahamia huoston kwao maisha taiti life gumu pamoja na umarekani original teh teh,#!!!

Halaf kuna watu washambaa yaan kutolewa out mnaona jambo kubwaaa wakati ni kawaida tu jamanii,Mange anavyopenda sifa angekua na mjengo wa maana angerusha picha na ingekua ni habarii mitandaonii, lakini sasa hata sitting room anaogopa kuipiga picha amekalia kupiga picha mahoteli tu hahhhhhhhhaahhhaa

Hana jipyaa hujaorodhesha mali alizonazo anazidiwa hadi na Kina Millen Magese, Us mambo magumu kama hujajipangaaa

Halaf wenye navyo kimyaa kina Klyn wametuliaaaa lakini mambo yao balaaaa, kina kapuku Mange kelele nyingiii, yaan Mange badoooo sanaa wa kawaidaa mnoi mzungu pori tu huyo aliempata haba pesaaa


Lara umeshindwa kujibu hoja zaidi unachamba tu yaan leo tumekufuta ukubwa la maaduii huuweziiii kabisaaa
 

Unakimbiaaaa maana hujatujibu yaan kama ni mwanasiasa we bonge la ongo na mjanja maswali yetu hujatupa majibu
Pliz an plz. Mi namuomba Boss aje atujibu maana we kijakazi umeshindwaaaa kaziiii hufai kumjibia boss maana huna vielelezoo uknow mi Hujanishawishii Lara labda Aje Mange hapaaa
 
Lakini Jide hajarithi, usimlinganishe na Mrithi oyote.
 

We umefata ninii humu njoo tukuajirii maana nawe huna kaziii naonaaa, kanye tikitiii hukooooo mtaa wa 3
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…