kipps
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 180
- 109
Sasa kilichowaleta na wenyew humu nn kama sio umbea, waende uko jukwaa la mapishi uku watuache miaka mia, watu wamekuja na mashoka wameshindwa sasa yeye anakuja na panga ataweza?
kaja na kisu cha kukatia mkate. hafu hapa ni ukweli na uwazi.sasa kwa wasio penda ukweli ndio wanapata tabuuuu