Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Poa poa mkuu.
Mm na ww peace n love.
UWe na usiku mwema.
wasalimie..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poa mkuu.
Mm na ww peace n love.
UWe na usiku mwema.
Kafanye basi kazi zako sie humu ndo kazini kwetu tumeajiliwaaa
wasalimie..!
Hahaa hilo neno tu MUKE YA....kalianzisha Mange MUKE YA MUZUNGU..Mange kawa affect kila sehemu lazima mshinde humu kumsakama.Chukua basi break kidogo ukasafishe ikulu ubadil na kuful ndo uje uendeleze majungu.
Lara Can you explain kwa nini mtoto wake anasoma Charter school.Do you know the meaning of charter school .kunawakati alipost alipost mwanae amefanya vizuri .Unasemaje hapo
hakuna jambo baya kama kuishi kwa kufata mkumbo,na kuwa mtumwa wa binadamu mwenzio. kwahiyo mange ndio mwanzilishi wa lugha ya uswazi na vichombezo vyote.... dah kumbe kweli mtoto wa tandale. unajua watoto wa kishua hawajui hivyo vimisemo ila nenda tandale kwetu utasikia.muke ya fundi viatu... muke ya ...... sasa ye muke ya muzungu.....dah sio mrs tena.. jasiri haachi asili kwa kweli
Kwa niaba ya Matola sitawsita tena majobless camp,nitawaita online business dealers Camp.
Mtaji simu faida likes:-\:O
Lara Can you explain kwa nini mtoto wake anasoma Charter school.Do you know the meaning of charter school .kunawakati alipost alipost mwanae amefanya vizuri .Unasemaje hapo
hahahaha lara harudi tena hebu mwaga hapa hiyo maana lol
Acha mara moja kulitumia jina langu vibaya nakueleza kutoka moyoni sipendi jambo hili na hili siyo jukwaa la jokes.
aliyeileta hii thread nina seriously relationship naye na pia hujawaona walio na mtazamo tofauti na Lara 1 hakuna hata mmoja aliyerusha personal attacks kwangu.
so stop this nonsense, mimi uzuri naelewa all this drama ninao muda wangu in private kumpa ushauri tu do and don'ts but/lakini sina uhalali wa kuingilia uhuru wake wa kutoa maoni bila kujali ni ya kijinga au mazuri.
mambo ya msondo muwaachie wenyewe, I will always set the record very clear and simply am a radical.
Nimesoma discussion za mtanzania Mwenzentu ndugu yetu mange nimeshtushwa kusoma Kwenye blog yake mwenyewe kuwa mtoto wake anasoma charter school .charter school ni shule ya watoto ambayo wazazi wao maskini mnooo.serikali ndio inadaidia hapo Yaani hiyo charter school ili mtoto akubaliwe lazime awe Hana uwezo kabisa .Nimechanganyikiwa sielewi atakuwaje tajiri na wakati serikali na state imemkubali mwanae .Pia hiyo shule Lazima ufanye vizuri usipofanya vizuri tu unafukuzwa.Huwezi ukawa middle class mtoto wako akasoma charter school.some thing is serious wrong here