Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Charter schools serve significantly higher percentages of minority or low-income students than the traditional public schools.
You can't claim to be wealthy and send your kid to charter schools. ..
Ustaadh Swaleh
Nadhani swala hapa si ubora wa elimu ..ni kuwa ni shule za familia wa kipato cha chini
Ustaadh Swaleh
Ok sorry wewe ndio unayeongelewa kwenye hii post?
No, but I know a thing or two about charter schools and I can't sit idly by and let people distort the truth just because they have an aversion to someone.
Huna mambo ya msingi ya kuchanganyikiwa hadi mambo binafsi ya mtu yakuchanganye????
Mkubwa ww ndo ulianza kuniatack kwa ku quote coment nlokua namjibu mtu mwingine na kuandika utumbo.Kiherehere chako kimekuponza.Ulianza dharau sasa umekutana na mwenye kujua dharau zaid yako sasa unajigeuza victim.Na ww koma kujipendekeza kuni quote afu nikikupa za chembe unajigeuza victim.
Hahaaaaa.
Mtaji simu faida likes.
Huna mambo ya msingi ya kuchanganyikiwa hadi mambo binafsi ya mtu yakuchanganye????
Si shule za watu wa kipato cha chini tu. Hata wa kipato cha kati pia husoma kwenye hizo shule.
Hii sentensi hapa chini haisemi kuwa hizo shule ni za watoto wanaotoka kwenye familia za vipato vya chini tu.
"Charter schools serve significantly higher percentages of minority or low-income students than the traditional public schools."
Huna mambo ya msingi ya kuchanganyikiwa hadi mambo binafsi ya mtu yakuchanganye????
Maria Roza imaney kipps njoon muoneambo huku shoga yenu mnaemuonea wivu kazi kuvaa mawigi na miwan mikubwa halaf mtoto anasoma st kayumba za Marekani, Kim nana TATIANA Lady kim ICHANA Mrembo by Nature
Teh teh miss neddy njooni