Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Ni bilioneaa ana blog, ni machinga wa nguo,pia kafungua website ya kuuza nguo online akaiba na trademark za watu, ni bilionea balaa ila hajapenda tu mtoto wake asome st kayumba basii tu ni bahati mbayaa
Halaf pia ni boss wa lara 1

Mange huyu huyu anayeish Beverly hills? Mange huyu aliyejifungulia hospital wanayojifunguliaga akina Kim? Mmh mange ana balaa wizi yeye kila mabalaa anayo yule mtoto ,itakuwa laana sio bure
 
Last edited by a moderator:
Ni bilioneaa ana blog, ni machinga wa nguo,pia kafungua website ya kuuza nguo online akaiba na trademark za watu, ni bilionea balaa ila hajapenda tu mtoto wake asome st kayumba basii tu ni bahati mbayaa
Halaf pia ni boss wa lara 1

Mange huyu huyu anayeish Beverly hills? Mange huyu aliyejifungulia hospital wanayojifunguliaga akina Kim? Mmh mbona mazito haya
 
Last edited by a moderator:
Too much of Kumchukia mtu is uzushi Limited mwe !

hatumchukii ila tunataka ajifunze kuheshimu watu wengine na aache kudharau watu na kujiona ye ndio tajiri na she is perfect. wenzie wabaya wana
mapua makubwa utadhani kawaumba yeye. wamezaa na wanaume wengi wakati ye mwenyewe ana mtoto wa nje
 
Shoga nimekumiss ulikuwa wapii juz tulikua tuna maswalii kweli lakin halikujibiwa hata mojaa,hatumchukii banaa watu wanazid chunguzaa kwanini anaonewa wivu boss wenu

Niliona Mapovu yanavyowatoka wanawake nyie ! nikaishia kuwa Mtazamani maana sterling Lara alitosha kabisa ,
 

Heheheee...very black n beatuful daughter.....!!!!?
Halafu kafanana na Souzy mpua mweeeee!!!
 
hatumchukii ila tunataka ajifunze kuheshimu watu wengine na aache kudharau watu na kujiona ye ndio tajiri na she is perfect. wenzie wabaya wana
mapua makubwa utadhani kawaumba yeye. wamezaa na wanaume wengi wakati ye mwenyewe ana mtoto wa nje


Nakuelewa na kila mtu anakasoro zake hasa ukiwa na hasira ! Mange kasoro yake akichokonolewa hana utu , hana utu hata kidogo but Jamani naye katukanwa sana , hasa wazazi wake ndio hasira zake we unazani kuambiwa Baba yako kaliwa Kiboga ni vizuri ?? and Yes Tumeshamjua mkorofi tunamfatafata na mambo yake wa nini ?? tunashabikia aibu yake mitandaoni ili iweje ?? si tumuache ??
 
Heheheee...very black n beatuful daughter.....!!!!?
Halafu kafanana na Souzy mpua mweeeee!!!


Yes she is Black and Beautiful very Beautiful ...usifuate kasoro za Mama yake kukosoa Watu kama unajua kuumba No , Mnyonge Mnyongeni na haki yake Mpeni ...she is Beautiful
 

Kwani baba yake hakuliwa kiboga?au unataka kutuaminsha kwamba kasingiziwa?heheheh
 
Mange ni Mwanamke muhangaikaji wa Kitanzania anayeumiza vichwa vya BAADHI ya Wanawake wenzie wale MBURULA (in Le Mutuz Voice

Awaumizee kwa lipi alilonalooo nyie ndio anawaumizaa
 
Mi nimeshalisha ng'ombe majani nakula movie la bure hapa mange anagawa mapesa mwanawani

Watu wa mujini wana mambo,jana niliona kuna mtu alitoka mapovu kuwa wengi wetu humu ni majobless.Hajui wengine sisi wakulima-wafugaji na tumeshavuna na tunasubiria minada ya ng'ombe.
 
Yes she is Black and Beautiful very Beautiful ...usifuate kasoro za Mama yake kukosoa Watu kama unajua kuumba No , Mnyonge Mnyongeni na haki yake Mpeni ...she is Beautiful

Kweli kwan tumebishii sio mzuriii ni mzurii mnoo
 
Watu wa mujini wana mambo,jana niliona kuna mtu alitoka mapovu kuwa wengi wetu humu ni majobless.Hajui wengine sisi wakulima-wafugaji na tumeshavuna na tunasubiria minada ya ng'ombe.

Hajuii hillo na atakuja muda si mrefu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…