Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Naomba kujua hivi mbali na blog kinachompa umaarufu huyu bibi ni kipi?
Dinazarde bila shaka anamjua kiundani

Umaarufu wake umetokana na kugombana gombana na wenziee kuchambana kwa blog ndipo alipofahamika zaidii lakin sio wote wanamjuaa
 
Last edited by a moderator:
jamani jamani ata trace ip adress zetu afu atuweke kwenye blog yake aanze kuwananga...!!!!

A tracy tu hamna anayejali ma dia hamna kitu kipya kama michambo ile ile hata kuweka picha mbaya siku hizi kawaida tu ajipange na ajirekebisha
 
Ni bilioneaa ana blog, ni machinga wa nguo,pia kafungua website ya kuuza nguo online akaiba na trademark za watu, ni bilionea balaa ila hajapenda tu mtoto wake asome st kayumba basii tu ni bahati mbayaa
Halaf pia ni boss wa lara 1
NYIE WATOTO WENU WANA SOMA WAPI? Hahahaaaaaa! Naona mmenitaja kimya kimya mpaka thread imefika mbali! Ningekuja kuendesha sensa wangapi watoto wenu wapo IST NYOOOOOOOOOOOOOOOOO!
 
usitafute umaarufu kunuka kwangu, it takes some years with matured thread and comments tobecome a famous here in jf.

nina credibility na reputation power za kutosha kwahiyo achana na mimi, ban is not my option for now, am too old for this falla wewe. kama na wewe mpapa unakuwasha sema.

Did i hear you calling urself famous?
Sasa huo umaarufu wako ws jf umekusaidia kusaini mikataba mingapi ya kuwa brand ambassador hadi mm niutake?
HUo umaarufu wako unakuingizia ngapi kwa mwezi hadi niutake?
huo umaarufu wako umekusaidia kununua bikini ngapi za kuvaa ukiwa unatoa matured coments kwenye thread zinazohusu mambo ya beach?

Nakukumbusha tena,ww mwenyewe ndo ulinifata,ukaanza kuleta dharau,sasa ulivyo quote coment ambayo sikuelekeza kwako si ilimaanisha unataka majibishano na mm?sasa mbona nikikujibu unaleta udictator wakutaka kutaka nikae kimya?

Hizo reputation power zako pelela bank basi uka exchange upate pesa!!

Majobless bana.
Mtaji simu mapato liles.
m.z.x
 
Ukiangalia muda wachawi wetu wa maendeleo wameanza kuandika micoment yao na ukiangalia muda waliolala jana utaona tu hawa ni majobless.Angalia muda wenye kaz tumeongia humu.Ukiwaambia wanakuja na risala za GMT.
 
Nimeshafunga biashara yangu ya genge sasa hivi nina muda waku mingle na majobless wetu maarufu.

Kuna yule mmoja jana matusi yake yalinisaidia sana niwe kwenye mood nzuri,naombeni mumpe ujumbe kuwa namuomba aje tena atukane zaidi ya jana itanisaidia sana kutengeneza mood.
MTAJI SIMU MAPATO LIKES.
 
Kweli JF Sio Magazeti Pendwa Useme Utahonga waandishi .........
 
NYIE WATOTO WENU WANA SOMA WAPI? Hahahaaaaaa! Naona mmenitaja kimya kimya mpaka thread imefika mbali! Ningekuja kuendesha sensa wangapi watoto wenu wapo IST NYOOOOOOOOOOOOOOOOO!

Tumekuitaa zamaniiiii sijui ulikua umebanwa wapiii,kwani sie tunajidaii basiii teh teh kuna tule tushule twa kulipiaa ndio tunawasomeshaaa
 
Ukiangalia muda wachawi wetu wa maendeleo wameanza kuandika micoment yao na ukiangalia muda waliolala jana utaona tu hawa ni majobless.Angalia muda wenye kaz tumeongia humu.Ukiwaambia wanakuja na risala za GMT.
Mimi kama rais wa majobless wamenituma nikueleze kwanza wako very proud kuwa majobless, ila bundle zao ni monthly subscribe unlimited bundle.

Bundle zina speed ya 4g point something, sasa wewe mjasiariamali unayetumia bundle za jero za promotion free 50mb ziko limited speed na time so that u cant enjoy the taste of internet.

Pia kuna ujumbe wako kutoka kwa majobless kwamba wengine wamefanikiwa kuajiliwa hapahapa jf baada ya jf kutangaza ajira za umoderator, kwahiyo majobless wanakutumia tu ujumbe wewe ndio loser maana wenzio wanaenjoy mtandao huku wanalipwa na jf kwa kazi yao ya umoderator.

Last but list, hili niangalizo nakupa mimi sijui hata umejiunga lini utakapoanza kulambwa ban za mwezi mpaka miezi mitatu ndio utaijuwa power of majobless.

Maana majobless wapo ndani chombo cha maamuzi, ogopa sana majobless popote pale uwakutapo, majobless kina kawawa waliokuwa wapiga gumzo mnazi mmoja ndio walileta uhuru wa Tanganyika.
 
Mtoa mada unahitaji tuite masheikh wakusomee kisomo si bure una matatizo wewe.
Yaani unatia huruma,hivi umesoma ulichoandika lkn?yaani ukachanganyikiwe kabisa sbb ya mtu ambaye hakujui humjui?

Hlf sasa unazidi kutia huruma sbb charter school sio za wstoto maskin tu kama mnavotaman iwe.
Mlichoona ni hapo tu pa low income huko kwingine hata hamjaelewa kuna maanisha nini.

Mtoa mada na majobless wenzio,tafuteni jingine kwa hili la charter school imekula kwenu daaadeekii.
Mpaka dk hii sijaona lolote mliloongea la kumuaibisha Mange,jipangeni upya wachawi nyie wenye roho za kutopenda kuona wenzenu wamewazidi.
 
Umaarufu wake umetokana na kugombana gombana na wenziee kuchambana kwa blog ndipo alipofahamika zaidii lakin sio wote wanamjuaa
Kweli umaarufu unatafutwa kwa namna yeyote, nakumbuka ticha wangu mmoja alikuwa anatushauri
"vijana jitahidini kutafuta umaarufu, jamba hata mbele za watu uwe maarufu"
 
Ukiangalia muda wachawi wetu wa maendeleo wameanza kuandika micoment yao na ukiangalia muda waliolala jana utaona tu hawa ni majobless.Angalia muda wenye kaz tumeongia humu.Ukiwaambia wanakuja na risala za GMT.

Aiseee hongeraa kwa kunichekeshaaaa
 
Sie ndio tushajuaa ni st kayumba za Marekanii,halaf et watu wanamuoneaa wivuuuu kwa lipii

Kusema ni St. Kayumba za Marekani ni kuonyesha ujinga (ignorance). Nasema hivyo kwa sababu Marekani ni kubwa sana na school districts zinatofautiana.

Kama hujaishi Marekani kwa muda mrefu huwezi kuelewa ninachokisema.

Hii mada inapotosha sana.

Kuna charter schools ambazo ni nzuri sana. Kwa hiyo, hata kama hamumpendi mtu walau basi jitahidini kumrushia madongo ya kweli na mliyoyafanyia utafiti wa kina.
 
Eti tunawaita majobless halafu tunashinda hapa na nyie!!Nani ashinde hapa na majobless!!angarien vizur muda wenye shughuli zetu tumeingia na muda nyie majobless mmelala jana na muda mmeingia hapa leo.Eti Gmt,sasa nyie mnafanya kaz/biashara saa ngap ilhal,jana nzima mko hapa hadi usiku,na leo tena hao mmejikusanya mmeshinda hapa na mtalala hapa na mtsamkia hapa,au nyie siku moja ina 72 Hours,maana kama n 24 hrs bas mmh ujobless ni mzigo.
Sishangai mkitumia muda mwingi kuharibia wenzenu shughuli zao sbb nyie niii
Mtaji Simu mapato likes.
Mtoa mada tafuta kazi ufanye hata Mange akijulikana ni maskini haitakufanya ww tajiri.
Mtaji simu........
 
Hivi kuna mtanzania sio mwizi?
kuanzia majobles hadi viongoz wa din na kisiasa?
mnawaona wachina wanavokuja juu kiuchumi?moja ya sbb inayowapandisha ni wizi wa kucopy vitu vya watu na kutengeneza kama vyao.
Namsifia sana Mange kuwa na akilu kama ya wachina.
Endeleeni kumwita chorii chorii kuna siku mtakua proud kuwa wafua makofuli yake.
Endeleeni Kuwekeza kwenye likes.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom