Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Afu sikuelewi ujue!
Mimi nadai haki hapa? Sidai haki yoyote..
Ila ya kaisari mpeni kaisari..
Mumemuanza wenyewe kaja msiempenda mnakuja kulia lia tulieni awanyooshe. Ili mkimtia jela sawa lakini kawafunua ufuska wenu wote
Huwezi kuelewa
 

Mtoto wa Mlaki hajsmtukana bali amekua aki like anapochambwa Mange na vi vomment vya kawsida. Tabu kubwa ni ndugu wa ambao hawana time nae msishani na pia rafki wa mashosti zake waliokuwa karibu before. Mashosti hao ambao sliwachafua sanaaa akiwemo mdogo wa waziri, na kushindwa kuihia kuona maisha yao yanazidi kupaaa na yake yakiporomoka.
 
Watajuana huko
 
Watu wazito huwa wanampa mtonyo inbox,
Mange ana act kama vuvuzela la taifa. akiamua kureveal wanayoyajadili huko inbox hapatatosha hapa.


Na inawezekana si Hugo tunayemdhani may be ni jina tu, kwa ustaarabu Wa kitanzania so rahisi kwa uandishi ule,ni zaidi ya kujitoa mhanga! any way ngoja tuangalie na tujifunze pia
 
Very true
 
Hii ndio uzushi. Tukana na wewe.
 
Mange wape wape mama , huyo mama rita mlaki alikataze kwanza hilo toto lake chizi linalojibishana na Mange.....hapo atasalimika
 
Kama uzi unavyojieleza , yule mwanamama aliyeshindikana hapa Tannzania na mwenye uwezo wa kumchamba mtu yoyote anayeingia 18 zake haijalishi awe na ndevu za shaba au za kipilipili , wigi la brazilian au msuko wa twende kilioni , mpanda vogue au bodaboda , anayeishi masaki au kwa bibi mfuga paka , siku tatu hizi ametoa dozi za uhakika kwa Rachel Temu mdogo wa miss Tanzania Hoyce Temu na leo kaiamkia familia ya mama etu Rita Mlaki , maneno aliyowachamba kimaadili hayafai kuyaposti hapa.....
Nawapa pole wanaoendelea kumchokoza huyu dada, wa Mwache na maisha yake tu ili asiwadhalilishe , hasa wadada manaomtukana kwa accont zenu orijino mnawaponza wazazi wenu.....Sumu haijaribiwi kwa kurambwa , muwe na wikend njema!!!



Chanzo cha ugomvi hao watu wato wanamtukana Mange na familia yake hasa watoto wake walifikia hadi kuedit picha za bint Mange na kuzirusha mtandsoni akiwa uchi, kwahiyo Mange akaamua kudeal na Rachel Temu ambaye alimwambia Mange baba ake alijiua baada ya kulawitiwa....sasa Mange amemwamlia Rachel ambaye saivi anataka kuolewa na Mzee mmoja wa UN wa Kizimbabwe anasema atahakikisha ndoa haifungwi na kwa kuanza kaingia kwenye mawasiliano yote ya huyo baba na kumpelekea kichambo hadi kwa mabosi zake UN ... Na ametangaza kiama cha matusi kwa yeyote atakayetangaza hiyo ndoa kwenye page yake ataifahamu kama laki si pesa katika awamu hii ya Tano.
Kuhusu Mama Rita Mlaki anamtukana kwasababu binti yake pekee Nambole sijui anashinda kwenye page ya kichwa panzi kumtukana Mange, Mange anasema alishawahi kumtukana huyo mama hadi alimfuata analia amsamehe akamwacha, lakini anasema huyo mama Mlaki ameshindwa kumdhibiti huyo binti yake wa miaka zaidi ya 40 ambaye hajaolewa na anaishi kwao kumtukana Mange kila siku. Kama huamini pitia pages za wanaomtukana Mange utamkuta binti wa Mama Rita akimtukana Mange.....Mange kasema huyo binti akinyamaz naye atamwacha mama ake na baba ake, na anamtukana huyo mama sababu huyo binti hata akitukanwa ni don bother !!!
 
Je ni sawa mtu akigombana na wewe awatukane ukoo wako wote, marafiki zako, kila aliye karibu na wewe? Huo ni ukichaa
 
Ujumbe murua huu
 
S
Siyo Mpinzani ni MwanaCCM anayekosoa Serikali mpenda Democracy.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…