Gilbert simon
Member
- Apr 12, 2017
- 58
- 29
Kumbe mnsotukana ni wale mliofoji vyeti pamoja ns bashite.serikali haina mtu/Rc bashite.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya Mangi Kinambi inakuhusu nini? Kwani anakula kwako?Twambie anafanya kazi gani maana kihelehele kama unamjua....yule kazi anayofanya ni 'umalaya' na hii inathibitisbwa na aina ya matusi anayoporomoshea watu inaonesha kuwa sio mzima...
acha mamy naona anazuga na sale jana si alijifanya kidumeKuna msala aisee
Ya Leo Kali
Hivi wolper yuko ktk hali gani?
We mwenyewe unaongelea humu jf ambapo all ur infos are confidential,unadhani kuikosoa serekali publically ni kazi rahisi???
Esp awamu hii ya wateka nyara???
Charity begins at home,anza ww ulioko hapa tz tuone ujasiri wako then ndio uje umshambulie Mange,usikute unemfollow kabisa na anakupasha habari vzr kuliko hata vyombo vya habari hapa nchini vinavyopindisha habari kwa kuiogopa serekali!
asiyetaka RC aongoze ana matatizo, lakini asiyetaka RC atuoneshe cheti cha taaluma ana matatizo makubwa saana.Pia wakati Richmond wanawakamua watanzania sh152m kwa saa.mlikaa kimya kwa kuwa mlikuwa mnalipewa gawio Rc hana shida.shida ninyi hamtaki kuongozwa na mtu mnae0na kawapita kushoto.acheni ukandalizim
asilimia 75 yuko sahihi kabisa ukiachana na masuala ya mipasho na wadada wenzieasilimia kubwa ya habari za Mange ni za kweli. mfano alisema, siku za nyuma kuna gari ford ranger Lebaharia alitangaza kwenye insta yake inauzwa na baadaye Bashite akainunua, baada ya kusema hivyo Lebaharia akakataa ford ranger ya Bashite na ile aliyotangaza inauzwa ni magari mawili tofauti, Mange akatoa ushahidi zaidi na Lebaharia akaumbuka.
I think BOTHNani mjinga zaidi Mange au watu wanaomchukulia Mange seriously.!?
Hahahaha hali yake ni mbaya sana..kafuta post zote alizomtaja mangeKuna msala aisee
Ya Leo Kali
Hivi wolper yuko ktk hali gani?
Hahahaaaa umenikumbusha, nilikua hko si mda mrefu... Huyu dada kibokoNenda insta utapata habari zake leo ni ligi yake na worper kuna michambo ya harari[emoji23][emoji23]
Kazi ya Mangi Kinambi inakuhusu nini? Kwani anakula kwako?
Mbona akitukana watu nyie mnashangilia kwani anakula kwenu?Kazi ya Mangi Kinambi inakuhusu nini? Kwani anakula kwako?
Nyie mnaoongozwa na bashite mmeongezeka iq kiasi gani?
Kweli..sisi ni wajinga..ila katufumbuwa macho wengi sana... Kwani pale ndy hasa BASHITE.. Alipopatikana.....NA ulikuwa unamjuwa BASHITE WEWE?na hata alivyoanza KUMTAJA BASHITE si alionekana CHIZI?leo imegundulika kumbe BASHITE KAFOJI KWELI.....uzuri wa huyu DADA anaongea na evedence....hapayuki tu.....yule haongei bila DATA...na anatupiwa na watu wa huku tanzania...na wapo watu kama wewe mnampa FALSE EVIDENCE.... na huwa ana CROSS CHECK kabla hajazitoa hewani
.maana kishajuwa kuna watu kama wewe mmetumwa kupotosha..ili ionekane anaongea UONGO......KWA wale wa LUMUMBA nina hakika HAMTAMUELEWA kamwe...LABDA YESU ASHUKE...sababu ANAPIGA PALE PALE kwenye KIDONDA KIBICHI....maumivu lazima
Mkuu taarifa si wanatoa wale uliowavulia chupi? Kwani wewe unadhani Mange details anatoa wapi? Ni watu wanamtumia na yeye anaweka kwenye mtandao wake na 99% zinakuwa za kweli.
Hayo ni matokeo ya SERIKALI za kiafrica..kimsingi ni suala la mange kimambi.... Kutufumbuwa macho..ni sawa na WEWE. UONYESHWE ANAYE KUGEGEDEA MKEO..na ukafanya uchunguzi unakuta ni kweli JAMAA ANAMGEGEDA.MKEO... Kwa hyo KUACHA MKEO NI JUKUMU LAKO...wewe mwenye mke... Ni sawa na issue ya BASHITE.. Tushajuwa Madawa nae yumo...vyeti fake yumo..MTOTO yumo...FISADI yumo....kwahyo jukumu la kumtoa pale alipo ni la MKUU..sio sisi wafuasi wa mimambi..na mbumbumbu ni wewe unaeshabikia UPUUZI...unaona kabisa MTU ANAPAPASA... UNAULIZA kama ana macho au kipofu?So baada ya Bashite kujulikana nini kimetokea? Maana Bashite bado ni RC anapiga kazi kama kawa na pesa anaingiza, ninachoona wafuasi wengi wa mange ni mbumbumbu wasio na kazi na wenye wivu wa kike. Itakua mnataka mtu mwenye PHD ndo awe RC hata kama hatofanya maendeleo yeyote.